Kwanini huwa tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati ardhi tumeikuta ipo bure? Why?

Kwa sheria za Tanzania ardhi ni mali ya serikali. Wewe unakua mpangaji tu kwa muda, aidha miaka 33 au 99.

Sina uhakika kama na nchi zingine wana huu utaratibu
 
Kwa sheria za Tanzania ardhi ni mali ya serikali. Wewe unakua mpangaji tu kwa muda, aidha miaka 33 au 99.

Sina uhakika kama na nchi zingine wana huu utaratibu
hata bibilia ina agano la kale na jipya!
hizo sheria ni kitu gani hata zisifutwe?
 
devel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…