Kwanini huwa Yanga wanaisema Simba sana katika midomo yao kuliko hata timu yao Yanga?

Kwanini huwa Yanga wanaisema Simba sana katika midomo yao kuliko hata timu yao Yanga?

Tupo juu tunawapumulia huko kwenye rank za CAF...au unataka tuwanyee kabisa ndo ushtuke..😃😃😃
Nyie si mmeshazoea kuharisha kila mnapopigwa bao kadhaa....leo watishia kunya???
 
Kazi ya rekodi ni kuweka kumbukumbu hivyo kama rekodi zipo tutaendelea kuwakumbusha...kuwa hakuna jipya ambalo mnyama hajawahi fanya...
Kama mnyama basi Nyau tu kwasasa...🤣🤣🤣
 
Mwakarobo, Robo fainali sio Ushindi wa kujisifia...waambie na Kolo wengine akina OKW BOBAN SUNZU 🤣🤣🤣 tatizo atakimbia hapa
Bana ww Azarel najua wajua na nimeshakujuza zaidi...faida ya hizo robo..kama hujaziona basi fainali yako ungekua kileleni muda huu...
 
Nilifikiri nimegundua hilo pekee yangu mkuu.

Umefanya tafiti tosha, kudos!
 
Bana ww Azarel najua wajua na nimeshakujuza zaidi...faida ya hizo robo..kama hujaziona basi fainali yako ungekua kileleni muda huu...
Kolo hamna kitu zaidi ya ngengenge nyingi.....mmeishia kubwabwaja
 
Washabiki wa hiyo timu nawaonaga kama waswahili fulani wa uchochoroni tu
 
Nyie si mmeshazoea kuharisha kila mnapopigwa bao kadhaa....leo watishia kunya???
Vyote tunakupa unachohitaji....ww tuu maana kama uko chini huchagui kitakachokuja unapokea tuu...
 
THatha tuongee nini, mbona nyie mnaongeleaga mwiko wetu?
images - 2024-09-17T214947.957.jpeg
 
Bana ww Azarel najua wajua na nimeshakujuza zaidi...faida ya hizo robo..kama hujaziona basi fainali yako ungekua kileleni muda huu...
Mwakarobo kumbuka Quarter Final sio kitu cha kujivunia hasa mbele ya Wanaume...
 
Mwakarobo kumbuka Quarter Final sio kitu cha kujivunia hasa mbele ya Wanaume...
Mmekimbizana miaka karibia 20 hamjaingia klabu bingwa sasa hivi ndo mnajiona mmeshakua vyura kiziwi...😃😃😃
 
Si ndio maana napokea makombe na mataji tu Mwakarobo???
Sisi ni wakubwaaa...tunatambulika ukanda wote wa africa...nyie endeleeni kujifunza kutoka kwetu...Majayanti...😊😊😊😊
Utopolo aka mazuzu mna la kujifunza kutoka kwetu...
 
Mmekimbizana miaka karibia 20 hamjaingia klabu bingwa sasa hivi ndo mnajiona mmeshakua vyura kiziwi...😃😃😃
😄kwel unayo nguvu ya kubishana na washabiki wa uto😅😅😅😅
 
Mmekimbizana miaka karibia 20 hamjaingia klabu bingwa sasa hivi ndo mnajiona mmeshakua vyura kiziwi...😃😃😃
""The End justifies the Means"" unaujua huo usemi Mwakarobo?

Leo mnaongea nini na usajili wenu wa Timu nzima?🤣🤣🤣
 
Hapo vip!!
Hii tabia au hali kama hii ipo wazi sana na nimejaribu kuchunguza muda mrefu nimeona wanayanga na viongozi wao huwa wanaiwaza Simba sana kuliko hata timu yao

Yaani yule msemaji wao sijui anaitwa ally kamwe.Yaani kila akiongeo na chombo cha habari chochote au na mtu yeyote lazima aiseme Simba sc ila wanaSimba hawana muda na kusema sema mambo ya yanga.

Washabiki wa yanga sasa wanaisema Simba mpaka mishipa ya kwenye uso zinasimama masikini ila wanaSimba hawana hata muda nao ila wanawalazimisha Simba waongee juu yao.

Inaonekana hawa jamaa wanateseka dhidi ya Simba na nafikiri ni jamii yenye tabia zinazofanana fanana kwanza wote wana silika moja.

Wanasimba wengi sana ni watu wakimyaa,sawa wanaongea ila kwa uchungu wa kuisemea timu yao pale ambapo wanaona inaseama ndivyo sivyo.

Hata ukiangalia threads nyingi humu ndani ni za kuisema Simba.

Nini tabia ya watu wanaopenda kufiatilia kusema sema maisha ya watu sana....

Sio kosa kuisema timu nyingine ila hawa jamaa wamekuwa too much..mpaka unajiuliza nikwamba Simba imewachomekea mkuki sehemu fulani na wamekataa kuchomoa...
Umeongea kinyume. Hiyo tabia anayo sana Ahmed Ally. Nadhani unalengo la kufanya sensa Yanga wangapi na Makorokocho wangapi.
 
Sisi ni wakubwaaa...tunatambulika ukanda wote wa africa...nyie endeleeni kujifunza kutoka kwetu...Majayanti...😊😊😊😊
Utopolo aka mazuzu mna la kujifunza kutoka kwetu...
Ninyi mnajulikana kwa kuishia Robo fainali zaidi ya mara 4...hilo hatukatai
 
Uto Azarel
""The End justifies the Means"" unaujua huo usemi Mwakarobo?

Leo mnaongea nini na usajili wenu wa Timu nzima?🤣🤣🤣
Usajili umekuuma sana naona...🙄🙄🤒tusingesajili mngewatoa wapi wastaafu wetu kuja kwenu??
 
Back
Top Bottom