Kwanini huyu bondia Mtanzania aliyeshinda Uingereza anajiita Hassan Mwakinyo?

[emoji23] [emoji23] kweli na hizo ngumi hazihitaji cheti cha form4 ndiyo upigane. Kwanza kajiweka wazi kimalikia hakipandi ana mkalimani
Sasa je ... Bado wanataka jina la Nini sijui au wanataka kumroga nini wamzimishe Nyota aaaaa! Sio fair taratibuni jamani ...

Mazoezi yenyewe mmeona anafanya kwenye tairi la gari ...

Mwacheni bana jina halina nafasi kwenye professional zinazo hitaji performance katika eneo la tukio ...

Hayo Mambo wambie Bashite anaekula kiyoyozi ofisini hatuoni lolote zaidi ya makelele tu ...
 
Kamati ya Roho mbaya ishaanza kazi yake. Wabongo aisee , acha mambo ya kichawi mtoto mdogo, hata ukijua hayo na mengine ukweli utabaki palepale "kapiga mtu" katuletea heshima anastahili pongezi na support kupandisha na si vinginevyo
 
Jina lake linakuhusu nini?? Acha umbea..
 
Respect the hustle bro, jina wala umri havikusaidii. Hainakufeli
 
Wabongo kwa ufukunyuku tupo vizuri. Tunatafuta vijimakosa vidogo vidogo ili kupata gia ya kumdhalilisha mtu. Fanya yako mkuu kila mtu apambane kimpango wake
 
Bila shaka utakuwa mfuasi wa cdm.
Kila jambo jema au mafanikio lazima uyapinge.
Unajua miaka 30 kwenye masumbwi inamaanisha nini?
 
Inabidi atuweke wazi maana hata umri wake unatia mashaka kwa kweli.
Hii hamu ya kuwekwa wazi imekuja baada ya kusikia jamaa kafanya vizuri huko mbele sio?
Sasa kaanza kuwa maarufu mnaanza kumchimba.
Hii haki uliyojipatia ya "Inabidi atuweke wazi" umeitoa wapi?
 
Hassan Mwakinyo ni aka tu! Hilo limetokana na rafiki yake anaitwa Hashim Mwakinyo ambaye anapigana kick Boxing. so jamaa ni role model wake Ndio maana anatumia jina hilo!
 
Kamati ya Roho mbaya ishaanza kazi yake. Wabongo aisee , acha mambo ya kichawi mtoto mdogo, hata ukijua hayo na mengine ukweli utabaki palepale "kapiga mtu" katuletea heshima anastahili pongezi na support kupandisha na si vinginevyo
Ila ametumia jina ambalo sio lake.
 
Hassan Mwakinyo ni aka tu! Hilo limetokana na rafiki yake anaitwa Hashim Mwakinyo ambaye anapigana kick Boxing. so jamaa ni role model wake Ndio maana anatumia jina hilo!
Umeona sasa, kumbe ameiba jina la mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…