Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeMimi na familia yangu tutaenda kila mwaka kwenye sanamu la Magufuli kupiga picha na kumuombea huko alipo
Hili sanamu la Kigwangala ni dharau kubwa kwa Mwalimu. Afadhali la Nyerere squre pale Dodoma.Tena alishirikiana na KIGWANGALAView attachment 1843154
Alikuwa jambawazi kuliko wenzakeNimeshtushwa Sana na Tangazo la kuwa kuna ujenzi wa sanamu ya Magufuli Uwanja Wa Maonesho ya Sabasaba kwa Gharama ya Tsh. milioni 420.
Sikatai ila nina hoja:
Kwanini Magufuli?
Mwinyi je?
Mkapa je?
Kikwete je?
Hao Wote Walikuwa ni MARAIS wa NCHI na Kuna MAMBO MAKUBWA hata NAO WALIIFANYIA NCHI hii.
Kama Tunataka Kujenga SANAMU ya MAGUFULI Basi TUJENGE na SANAMU za MWINYI, MKAPA na KIKWETE.
Pia soma
- Sanamu la Magufuli na ukarabati wa kumbi za kisasa kujengwa kwa Tsh milioni 420 viwanja vya Sabasaba
Kati ya hawa wote uliowataja nani Amefia madarakani?Nimeshtushwa Sana na Tangazo la kuwa kuna ujenzi wa sanamu ya Magufuli Uwanja Wa Maonesho ya Sabasaba kwa Gharama ya Tsh. milioni 420.
Sikatai ila nina hoja:
Kwanini Magufuli?
Mwinyi je?
Mkapa je?
Kikwete je?
Hao Wote Walikuwa ni MARAIS wa NCHI na Kuna MAMBO MAKUBWA hata NAO WALIIFANYIA NCHI hii.
Kama Tunataka Kujenga SANAMU ya MAGUFULI Basi TUJENGE na SANAMU za MWINYI, MKAPA na KIKWETE.
Pia soma
- Sanamu la Magufuli na ukarabati wa kumbi za kisasa kujengwa kwa Tsh milioni 420 viwanja vya Sabasaba
Marais wote wastaafu wamejengewa nyumba kwa pamoja na magufili,alifariki kabla hajazikabidhi lakini mapema kabla ya kifo aliwahi kufanya ziara za kuzikagua. Na wote walipewa tausiMwinyi kapewa gari, Kikwete - nyumba, Mkapa - tausi, Magufuli - sanamu
Kwani umeambia sanamu linajengwa kwa kwa sababu tu amefia madarakani?ni ujinga na ushamba tu ulio tokana na nchi kukabidhiwa kwa kabila la kishenzi ambao walitaka mila na desturi zao ziwe mila na desturi za taifaKati ya hawa wote uliowataja nani Amefia madarakani?
Mkapa ovyo sana haina maana kujengewa sanamu!! Legacy ya Magu inajitetea ndio mana unaona mpaka Statue inajengwaMkapa alishakufa, tena Sanamu lake linatakiwa litangulie kabla la Magufuli
Kama Legacy inajitetea na watu wanaiona, kuna haja gani ya kujenga sanamu?Mkapa ovyo sana haina maana kujengewa sanamu!! Legacy ya Magu inajitetea ndio mana unaona mpaka Statue inajengwa
Mkapa mumemuweka wapi kwani?Hao uliotaja hawajafa bado.. kizazi cha sasa ukifa ndipo unakuwa lulu
Mkapa kapumzika tu pale Lupaso anasubiria muda ufike arudi kwa baba...Hao uliotaja hawajafa bado.. kizazi cha sasa ukifa ndipo unakuwa lulu
Itatusaidia kuokota vichwa vingine vya treni bandariniKuuliza si ujinga......hivi hiyo sanamu itakuwa na manufaa gani kiuchumi?
Unataka kuwaambia nini Wakatoliki?Sanamu ya mtu aliyekwisha fariki ni ishara ya kuabudu mizimu
Mkuu, umesahau kuwa Mkapa hatuko naye pua....!!Hao uliotaja hawajafa bado.. kizazi cha sasa ukifa ndipo unakuwa lulu
Huyu Artists wa Kigwangalla asihusishwe kabisa. Itakuwa ni upotezaji pesa tu.Tena alishirikiana na KIGWANGALAView attachment 1843154