Kwanini ikifika saa 7 mchana wanyama wanatulia sana

Kwa mujibu wa wanazuoni Majini yanakuwa yameenda kuswali
 
Huku Dodoma kuna vi-mawingu mawingu vya uzushi toka juzi....bora mvua inyeshe tu na huvi jioni kuna baridi, inyeshe tukumbatiane.
Niko hapa Waswano Pub nakula muwa ili nipate stimu ya 'kukazana'
Duuh!!Umenidindisha kinyoko Madam,,ngoja nami nimalizie kuvuta jani korofi nijisogeze rainbow hapo nikachape k-vant kubwa na kitimoto ndizi choma!!
 
Mbona nyie mnavimba ndani tu humu... Lakini mkiombwa kupiga wenzenu tough mnakausha!!!! Au ndo kila mtu apambane na hali yakeπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Vyumba vya Logde ya mikumi vinanuka mavi raia wakishalewa wanafumuliwa marinda mpaka wanakunya
Mmmmh mkuu ni mikumi ya huku chamazi hiyo lakini au unasemeq mikumi ipi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Njaaa
Muda huo njaa inapiga mpaka kichwa kinakuwa kizito.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…