Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
😂😂😂 Acha kabisa best.Mwasibu anataka kupiga chabo kwenye mitihani😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Acha kabisa best.Mwasibu anataka kupiga chabo kwenye mitihani😂😂😂
Kishajibiwa mwasibu wetu, kuwa kutunza kiu ni sehemu ya mtihani 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 kwa kweeli.Kishajibiwa mwasibu wetu, kuwa kutunza kiu ni sehemu ya mtihani 🤣🤣🤣🤣
Inahitaji elimu ya spelling errors hahahaa ngoja nicheke, hata waingereza wenyewe wanafanya makosa ya hizo makitu.Imetusaidia sisi wengine kuelimika. Kubali kuelimika kwa manufaa yako ya baadae
Yes inahitajika. Niliposoma comment yako sikuelewa umemaanisha nini nimekuja kuelewa baada ya kurerekebishwa.Inahitaji elimu ya spelling errors hahahaa ngoja nicheke, hata waingereza wenyewe wanafanya makosa ya hizo makitu.
Mimi nilishavuka steji ya kiingereza cha spelling,nahitaji tu muundo na grammar, spelling nitamwuliza Google nikihitaji. Kama imekusaidia kuelimika nishukuru, asante
Narudia tena, mimi sina cha kufanya na spelling nilishavuka huko, nikataka kutafuta inaandikwaje Google ingenipa majibu. Hivo nakushauri jikite kwanye uzi na kama kuna kitu umejufunza kichukuwe ufanyie kaziYes inahitajika. Niliposoma comment yako sikuelewa umemaanisha nini nimekuja kuelewa baada ya kurerekebishwa.
Ungekuwa umevuka vzr stage ya spelling usingekosea kirahisi hivyo.
Ni kwamba hukuwa unajua inaandikwaje.
Acha ubishi ndugu. Naamini umeshukuru kimoyomoyo kusahihishwa. Now you know!Narudia tena, mimi sina cha kufanya na spelling nilishavuka huko, nikataka kutafuta inaandikwaje Google ingenipa majibu. Hivo nakushauri jikite kwanye uzi na kama kuna kitu umejufunza kichukuwe ufanyie kazi
Duh naona umepata challenge siku ya leo, yaani nishukuru kwa ajili ya spelling?? Basi nitakuwa nishafeli pakubwa. Haya asante M-Brit..Acha ubishi ndugu. Naamini umeshukuru kimoyomoyo kusahihishwa. Now you know!
Kwani ni vyuoni tu, shule ya msingi na sekondari maji yanaruhusiwa?Water is not a bevarage Perce, it is just a healthy bevarage hivo naamini una haki ya kunywa maji ukiwa kwenye chumba cha mtihani. Mnapaswa argue na hizi sheria za kikoloni vyuoni.
Maswali mengine hayatakiwi kuulizwa na wewe! Maji yamekatazwa ndani ya chumba cha mtihani, lakini kama umekuja nayo ukayaacha nje ya chumba cha mtihani, ukibanwa na kiu si unaruhusiwa kwenda kunywa au hujui madhara ya maji kwenye karatasi?Wasalaam.
Tangu nikiwa chuo ilikuwa hairuhusiwi. Nikaja kwenye professional examination ilikuwa hivyo. Hata wakati nafanya CPA na ACPB na kisha CPSP niliona wakikataza.
Swali linajieleza lenyewe. Sababu hasa ya kukatazwa ni nini?