mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
Alietunga kitabu cha aya za shetani nayeye alikuwa swahaba wa mtume? Vip barnaba alikuwa ni nani kwa Yesu? naona unajaribu kulinganisha visivyo kuwepo komaa kwenye mada
Nani kaghushi ? unaweza kuthibitisha angalau andiko moja ambalo wewe unahisi limeghushiwa kwadalili zilizo wazi
Nani alikuwa na mamlaka ya kuikataa injili ya barnaba? halafu kama hoja ni hizo mbona tofauti zipo hata kwa kina MATHAYO, Marko na yohana lakini hamkuvifuta kama hoja ni kutofautiana
masudi hebu achana na hayo makaratasi fake ya Barnabas fake...[emoji53] [emoji12] baba kasim anasimulia siku hiyo itakavyo kuwa [emoji117]