Kwanini Instagram na Facebook bado wanamlilia Magufuli?

Kwanini Instagram na Facebook bado wanamlilia Magufuli?

JF unaweza ku argue na fake account 10 zote zinazoendeshwa na mtu mmoja...
 
Wewe ndo una povu had ukaanza personal attack, kuwa mvumilivu ndugu. Mwanaume mzima una I'd nyingi sijui ka Nini hafu siuende huko FB na IG unakoona Wana msifia mwendazake.mda wote tu jf ya sikuhizi si nzuri huku unaendelea ku comment na Wala hauachi.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji220]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli, tabaka kubwa la wapiga kura wa nchi hii ni huko Instagram na Facebook ambako pia ndipo linapopatikana tabaka kubwa pia la wananchi wenye upeo mdogo sana wa kufikiri.
Bado tuna safari ndefu kama nchi.
Hata wewe unayehisi una upoe mkubwa kufikri Hauna huo upeo
 
miaka ya hivi karibuni facebook kwa hapa tz umebaki kuwa mtandao wa watu wajinga ambao ni less informed kuhusu masuala mbalimbali yanayoendelea ndani ya nchi yao.

kule instagram majority ni millennials, hawa interest yao ni kufatilia page za udaku na ubuyu zimepost nini kuhusu scandal/drama za mastaa wa bongofleva na bongo muvi.

kwa muktadha huo usitegemee kijana wa instagram aandike paragraph tatu au zaidi kuchambua utawala wa jiwe. wengi huishia kuweka picha tu.
Are you really informed au wewe unachojua ni kupata tetesi
 
Nchi hii kura haziheshimiwi aisee labda USA huko na nchi za dunia ya kwanza. Nchi Ina illiteracy level ya 80% utegemee wafanye maamuzi serious kwa nchi?
[emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo 80% sijui umeitoa wapi
 
Baada ya ishu ya CAG nikasema niingie mitandaoni nione reaction ya wananchi juu ya serikali ya JPM.

Twitter na JF kama kawaida ni matusi tu na kejeli kwa mwendazake, ila awa ni wachache na tumeshawazoea hawanaga madhala.

Nikasema niingie kwa majority ya wananchi huko Facebook na Instagram penye watumiaji 90% wa social media wa Tanzania.

Nikakuta vilio na kukata tamaa kwa wananchi baada ya kuona kipenzi chao JPM anazushiwa uongo na mema yake yanapondwa.

Wananchi imani yao kwa Magufuli ni kubwa sana, waite wajinga awajaelimika ila kuna namna JPM aligusa maisha yao na akatengeneza connection nao. Hakuna kitu mtafanya sasa hivi kufuta hii love ya raia kwa JPM.

Nawashauri CCM na wapinzani mnaoendeleza vita na JPM wasibeze hivi vilio maana awa wananchi watawaadhibu siku moja. Kumpuuza Magufuli ni kuwapuuza majority ya watanzania 93%.

Msije sema hamkuambiwa.
View attachment 1748149View attachment 1748150View attachment 1748151View attachment 1748152View attachment 1748153View attachment 1748154
There is no way mjinga ataweza kureason mambo.

Napata shida mtu ana akili zake timamu anaponiambia meko anazushishwa.

Hivi kipindi anajitoa kwenye mikataba ya transparency alikuwa na malengo gani? Hili nalo watu hawajiulizi.
 
Wewe ndo una povu had ukaanza personal attack, kuwa mvumilivu ndugu. Mwanaume mzima una I'd nyingi sijui ka Nini hafu siuende huko FB na IG unakoona Wana msifia mwendazake.mda wote tu jf ya sikuhizi si nzuri huku unaendelea ku comment na Wala hauachi.


Sista unapofanya mijadala na watu achana na maneno kama haya 'mwanaume mzima' jifunze kutetea hoja zako bila excuse za kijinga kama hizo!!
 
Ni kweli tena MTU na akili zako kweli unashinda Facebook kutafuta nini labda, insta kumejaa umbea tu hakuna cha maana huko
Huwezi kuwa great thinker ukawa na mawazo kama haya. Mtu aache kuendesha biashara zake katika platform yenye population kubwa eti kwa kufofia kuonekana ni kilaza?

Hata humu JF vilaza ni wengi mno.
 
Sasa hawa ndiyo wanajiona GT na kuwadharau users wa FB. Huo uzi ndiyo ulionyesha kiwango cha uelewa mdogo wa members wengi hasa Pro-Chadema,comments nyingine nilikiwa nasoma naishia kucheka hadi naangalia Profile ya aliyeandika.
Kwani JF zama hizi bado watu wanaitana GTs? sidhani. Ningeliijua JF ikiwa hivi ingenifikirisha sana kujifanya mmoja wake.

Nilitamani kumuhoji Mzee Mwanakijiji kwenye bandiko lake lakini nikaona wote ataona ni wakosoaji hewa. Siku izi unakuta mada nzuri lakini ukiangalia mjadala unasema nisipoteze muda wangu.

Lakini ni matokeo yakutoa mwanya mchache wa watu kuwasilisha kero zao. Ukisoma dhana ya representative democracy unagundua kuwa ni haki yao watu kutumia mitandao kusema ukweli wawakilishi wayajue. Hawakuwa karibu nao kwa miaka na mikaka leo wapo wote kwenye jukwaa moja la melo.
 
Comments za fb nimekuja kugundua huwa zinasukumwa na upepo, inaweza kuanzishwa mada ukakuta kundi la wapinzani ndio wana comment tu kuelekea upande wao, lakini pia inaweza kuanzishwa mada nyingine ukakuta kundi la CCM tu ndio lina comment kuelekea upande wao, all in all napo kuna mgawanyo wa wapiga kura.

Lakini huku jf ni kikundi kidogo sana cha wapiga kura kisicho na impact yoyote, ID nyingi ni zile zile miaka nenda rudi, tofauti na fb huko kila siku zinazuka ID mpya.
 
Back
Top Bottom