cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Bora useme wewe maana wananishambulia bila sababuHuko wapumbavu ni wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora useme wewe maana wananishambulia bila sababuHuko wapumbavu ni wengi
[emoji3][emoji3][emoji3]Shule zinafunguliwa juma tatu factbook ni mtandao wa vitoto viko jozi
Hayo maneno na mtazamo wako, ukishirikiana na huyo changu, wanaume wengine hasara kweliHalafu unajiona GT [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3]Hiyo ni typing error mkuu.huko mnakoshinda fb huko ndo mamburula yako huko ,namanisha waliofeli kidato cha NNE.
My Kaka sikuhizi una mipasho Sana haya ni maoni yangu ka yalivo yako unavoona kuwa FB Kuna great thinker it's okay, Mimi naona kule majority ni zero IQ ka wewe unavowaona akili kubwa mbona hamna shida.Kwamba mtu akitumia FB sio great thinker? Hizi ni akili za wapi jamani? Haya mambo ya kuiga maneno just for the sake of it sio poa hata.
[emoji3][emoji3][emoji3]kweli ka k ya Bibi yakoHuna Lolote We Kenge Acha Kujimwambafai... Sura Mbaya Kama K
Ulitaka upinzani washinde ndio uwe halali?,Mimi pia nilikuwepo kwenye mchakato wa upigaji kura.Hapakuwa na kiongozi wa kumshinda JPm kwenye sanduku la kura.Nchi hii kura haziheshimiwi na mwaka Jana hakukuwa na uchaguzi Bali ilikuwa uchafuzi wa kiwendawazimu nilikuwa kituoni na nilishuhudia kwa macho.
Hafu kujiita mnyonge ni kujitukana na kuji undermine uwezo wako ka binadamu, tunatakiwa kukwepa kukiri udhaifu badala yake tukiri positive affirmation
Sina comment maana ndo nilichokuwa nawaza kuandika ko kaona tyari ushamalizaNikuulize wewe?
Mimi ni muumini wa haki hata Kama shetani angekuwa kwenye uchaguzi angeshinda fair nisingekuwa na tatizo lolote.Ulitaka upinzani washinde ndio uwe halali?,Mimi pia nilikuwepo kwenye mchakato wa upigaji kura.Hapakuwa na kiongozi wa kumshinda JPm kwenye sanduku la kura.
Ooh okaySina comment maana ndo nilichokuwa nawaza kuandika ko kaona tyari ushamaliza
Kwanini hutaki kukubali kuwa tawala zilizopita kabla ya JPM zilizalisha matabaka likiwemo la watu wasio na sauti ndio hao wanyonge?Ukweli lazima usemwe.kujifanya hatuyaoni haya nayo ni mojawapo ya unafiki.Nchi hii kura haziheshimiwi na mwaka Jana hakukuwa na uchaguzi Bali ilikuwa uchafuzi wa kiwendawazimu nilikuwa kituoni na nilishuhudia kwa macho.
Hafu kujiita mnyonge ni kujitukana na kuji undermine uwezo wako ka binadamu, tunatakiwa kukwepa kukiri udhaifu badala yake tukiri positive affirmation
Una huoni hafifuMitandao ya wenye akili ndogo hyo huwezi kuta great thinker anaitumia hyo
My Kaka sikuhizi una mipasho Sana haya ni maoni yangu ka yalivo yako unavoona kuwa FB Kuna great thinker it's okay, Mimi naona kule majority ni zero IQ ka wewe unavowaona akili kubwa mbona hamna shida.
Sasa na weee si ungeenda huko huko ukahuzunike na wenzako. IdiotWapiga kura na majority ya watanzania wapo huko. Hizi ID ambazo hazifiki hata 100 zinazoshnda JF kupiga spana ni kama tone la mchanga kwenye bahari.
Mitandao ya wenye akili ndogo hyo huwezi kuta great thinker anaitumia hyo
Bongo Kura ni kiini macho tu, siamini kwa kuraNa ndio mitandao yenye wafuasi na wapiga kura wengi
The way you responded to me ilikuwa as if maoni yangu ni dhambi kubwa na nilichofanya ni kosa la uhaini loh.Kabisa nimekuwa na mipasho? Mbona sioni mipasho hapo...I've respected your opinion but chose to disagree.
[emoji3][emoji3] real it's okayUna huoni hafifu
Matabaka yapo tangu enzi za king Daudi, Hadi wakati wa Yesu na matabaka hayatakaa kamwe yaishe mpaka mwisho wa ulimwengu, so hata kwa huyo mwendazake nothing new, maana wanyonge hawajui kesho zao, katunga misheria katandamizi huko bodi ya mikopo waliokuwa wanalipa kaamua kukomoa kabisa. So unaposema matabaka sijui wewe unaangalia angle gani nduguKwanini hutaki kukubali kuwa tawala zilizopita kabla ya JPM zilizalisha matabaka likiwemo la watu wasio na sauti ndio hao wanyonge?Ukweli lazima usemwe.kujifanya hatuyaoni haya nayo ni mojawapo ya unafiki.
Sikuchukulia kama dhambi mdogo wangu, ila kwa upeo wako katika mijadala niliona umehemkwa zaidi ya kuongea facts.The way you responded to me ilikuwa as if maoni yangu ni dhambi kubwa na nilichofanya ni kosa la uhaini loh.