Kwanini Iran haitaacha Kutoa sadaka waarabu katika malengo ya kuifuta Israel

Kwanini Iran haitaacha Kutoa sadaka waarabu katika malengo ya kuifuta Israel

Hypersonic WMD

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,337
Reaction score
1,876
Usichangie uzi kama una mihemuko. Katulizeeee ukoo ikishuka njoo na kichwa chenye akili.

Kujua hili lazima tujue serikali hii ya iran iliingiaje madarakani
✅1979 Kundi lenye itikadi kali lilipindua serikali ya kifalme ya shaa

✅Komeni muanzilishi wa itikadi kali alikua akipitisha mahubiri yake misikitini, vijiweni na kila sehemu kupitia rekodi za sauti ambazo alikua akirekodi kutoka ughaibuni

✅Serilikali ya Mfalme Shaa & Marekani haikukuwai kudhan kama komeni alikua hatari hivo ilimpuuza

✅Kitu ambacho haikujua Komen alitumia upenyo huo kuwalisha harakat na itikadi kali wananchi wake

✅Baada ya kuona ana wafuasi wengi ndipo komeni alirudi na kuipindua nchi!

✅Ikumbukwe n rahisi sana kupindua nchi kama wananchi wengi wapo upande wako

✅Kifupi unaweza upindue hata bila silaha
 
KWANINI IRAN INASISITIZA KUIFUTA ISRAEL BILA KUJALISHA WANGAPI WATAKUFA

✅Utawala wa itikadi ya komeni unaamini kua Damu ya mwisho ya Israel ndio utimilifu wa UNABII

✅Unabii upi??
✅Kwene imani ya shia wanaamini kuna shekhe mmoja kati ya wale mashekh 12 wa mitume alikimbia alienda mafichoni
✅Na ataonekana siku watakavoiangamiza Israel yote
✅Kwa maneno mengine unabii hauwezi kutimia bila israel kuharibiwa
 
LAKIN IRAN INAWEZAJE KUIFUTA ISRAEL WAKAT IKO MBALI?
✅Iran inahitaji jeshi la Iran nje ya mipaka yake
✅Iran inahitaji kuwasapoti wote wanaoendana ki itikadi
✅Iran inahitaji kuisapot palestina siyo kwasababu wanaonewa ila kwasababu wataisaidia kutimiza ndoto yake
✅Iran ina ichukia Israel kuliko hata wapalestina wenyewe
✅Lakin inahitaji kuanzisha jeshi la iran nje ya mipaka ya iran
✅Ndipo wazo la kuanzisha Hezbollah linakuja
✅Hawatakua wanajeshi wa iran moja kwa moja bali watakua wakipewa na kuongozwa na kuchukua amri kutoka kwa iran
✅Kuifanya Hezbollah yenye nguvu , wanaua kila anaewapinga nchini Lebanon
✅Hivi ndivo Iran iliweza kuanzisha Jeshi nje ya iran.
✅Jeshi moja halitoshi wana support kila kikundi ya waislam wa shia nje ya iran huku itikadi zikiwa zile zile kutoka TEHRAN
 
LAKIN IRAN INAWEZAJE KUIFUTA ISRAEL WAKAT IKO MBALI?
✅Iran inahitaji jeshi la Iran nje ya mipaka yake
✅Iran inahitaji kuwasapoti wote wanaoendana ki itikadi
✅Iran inahitaji kuisapot palestina siyo kwasababu wanaonewa ila kwasababu wataisaidia kutimiza ndoto yake
✅Iran ina ichukia Israel kuliko hata wapalestina wenyewe
Ngoja wajuvi waje.
 
Tawala za itikadi kali za kidini hazina nafasi katika dunia ya leo! Kizazi cha Ayatollah kilichohodhi madaraka ndio kinapita hivyo; not more than 15 yrs kitakuwa simulizi.

Government by the people and for the people ndio mpango mzima kwa kizazi hiki. Zama za kufadhili makundi ya kigaidi enzi za akina Ghadaffi et. al. nazo zinapita kwa kasi.
 
LAKIN IRAN INAWEZAJE KUIFUTA ISRAEL WAKAT IKO MBALI?
✅Iran inahitaji jeshi la Iran nje ya mipaka yake
✅Iran inahitaji kuwasapoti wote wanaoendana ki itikadi
✅Iran inahitaji kuisapot palestina siyo kwasababu wanaonewa ila kwasababu wataisaidia kutimiza ndoto yake
✅Iran ina ichukia Israel kuliko hata wapalestina wenyewe
✅Lakin inahitaji kuanzisha jeshi la iran nje ya mipaka ya iran
✅Ndipo wazo la kuanzisha Hezbollah linakuja
✅Hawatakua wanajeshi wa iran moja kwa moja bali watakua wakipewa na kuongozwa na kuchukua amri kutoka kwa iran
✅Kuifanya Hezbollah yenye nguvu , wanaua kila anaewapinga nchini Lebanon
✅Hivi ndivo Iran iliweza kuanzisha Jeshi nje ya iran.
✅Jeshi moja halitoshi wana support kila kikundi ya waislam wa shia nje ya iran huku itikadi zikiwa zile zile kutoka TEHRAN
Hii #3 ina mantiki inaweza kuwa sahihi.
 
KWANINI VIFO VYA WATU WENGI NI MUHIMU
✅Unajua propaganda?? Basi propaganda inafanya vizuri kama watu wako upande wako
✅Utafanyaje watu wawe upande wako?
✅Waoneshe ubaya wa Adui yako kwa kumfanya adui afanye kinachoonekana unyama mbele ya watu
✅Hivo ndivo Iran inachofanya, Inaichokonoa Israel halafu inaenda kuficha silaha na vilipuzi kwene msongamano wa watu wengi
✅Pindi vikilipuliwa au watu wakifa basi inachukua maiti na majeruhi inawakimbiza kwene tv,picha na video kuonesha dunia ubaya wa Israel
✅Kwa mbinu hii dunia lazima imchukie aliyechokozwa hata kama hana ubaya!
✅Hivo katika aina hii ya propaganda kadiri vifo vinavyozidi kua vingi,ndivo propaganda inazidi kufanya kazi! hivo watu husahau nani mchokozi
✅Dunia ikishakua upande wa Iran, wanaanza kuomba vita isitishwe, na kutoa msaada upande wa wahanga ambao Iran imewategesha
✅Misaada inakusanywa safari hii haiendi kwa wahusika ila inaenda kwa wapiganaji na kununua siraha
✅Kumbuka dunia iliomba vita isitishwe!! Ni wakati huu Iran inatumia kujipanga upya na kujiandaa kabla ya kushambulia tena.
✅Kumbuka sasa kundi /makuni yana hela za michango ya dunia kutoka watu mbali mbali ambao wanadhani michango inawafikia waathirika, na pia ya silaha kutoka Iran hivo nguvu inakua mara mbili.
✅Ikitolewa misaada ya chakula Hamas au Iran inachukua chakula hicho na kukiuza bei mara kumi ya bei yake! Hela zinazopatikana inazitumia kulipa mishahara wapiganaji, na kununulia vilipuzi vita inaendelea
✅Hivo ndivo Jinsi ugaidi unavoshinda vita, Hivo ndivo iran inapata support ya dunia kutimiza malengo yake
 
Tawala za itikadi kali za kidini hazina nafasi katika dunia ya leo! Kizazi cha Ayatollah kilichohodhi madaraka ndio kinapita hivyo; not more than 15 yrs kitakuwa simulizi.

Government by the people and for the people ndio mpango mzima kwa kizazi hiki. Zama za kufadhili makundi ya kigaidi enzi za akina Ghadaffi et. al. nazo zinapita kwa kasi.
Kwa iran ni tofauti kabisa na imetengeneza jeshi la kulinda mfumo wake
Jeshi na Mgambo wa kulinda kiti cha Supreme leader
Lakin pia kuna serikali ya mfumo wa kawaida
Kwaiy vyombo vya ulinzi vinangozwa na supreme leader
 
mkuu, unaruhusiwa kuleta hoja
Nilete hoja gani wakati uzi ulio uanzisha hauna hoja ?

Iran inaitumia kete ya Israel kutafuta ushawishi kwenye ulimwengu wa kiarabu kama anavyo utumia mpango wake wa kinyukilia kucheza na akili za wamagharibi ila kwa sababu nyinyi ni vilaza hamuwezi kulielewa.
Iran ananufaika na uwepo wa Israel na wala kufutika kwa Israel hakuna masilahi yeyote kwake.
Israel ikifutika Iran itakuwa imepoteza kila kitu kwenye ulimwengu wa kiarabu maana kete yake anayo itumia kuteka nyoyo za waarabu itakuwa imekufa.

Israel isinge ivamia na kuikalia Lebanon Iran inge pata wapi kisingizio cha kuikalia Lebanon kwa mgongo wa Hizbullah ili kulinda masilahi yake huko Lebanon?kwa maana hiyo Israel kuivamia na kuikalia Lebanon kuliipa faida Iran.


Israel isinge kuwa imeikalia kimabavu Palestina Iran angetumia sababu gani kupata ushawishi kwa wapalestina?kwa maana hiyo Iran inanufaika na Israel kuikalia Palestine.

Marekani isinge ivamia Iraq na kumtoa Sadam Iran inge thubutu hata kuikanyaga ardhi ya Iraq achana na sasa hivi ambapo ame anaidhibiti karibia serikali nzima ya Iraq?kwa maana hiyo Marekani kuivamia Iraq na kumtoa Sadam kumeleta faida kwa Iran

N.korea na S.korea wasingekuwa maadui Marekani angepata wapi kisingizio cha kupeleka wanajeshi wake S.korea?kwa maana hiyo uadui wa mataifa hayo ni manufaa kwa Marekani.

Ulaya na Urusi wasinge kuwa maadui Marekani inge pata wapi kisingizio cha kuikalia Ulaya kijeshi? Kwa maana hiyo uadui kati ya Ulaya na Urusi ni faida kwa Marekani.
Hizi siasa za kimataifa zinaendeshwa kwa akili na inahitaji akili kubwa kuzielewa tofauti na hapo uta kuwa mbumbumbu mpaka unakufa.
 
Nilete hoja gani wakati uzi ulio uanzisha hauna hoja ?

Iran inaitumia kete ya Israel kutafuta ushawishi kwenye ulimwengu wa kiarabu kama anavyo utumia mpango wake wa kinyukilia kucheza na akili za wamagharibi ila kwa sababu nyinyi ni vilaza hamuwezi kulielewa.
Iran ananufaika na uwepo wa Israel na wala kufutika kwa Israel hakuna masilahi yeyote kwake.
Israel ikifutika Iran itakuwa imepoteza kila kitu kwenye ulimwengu wa kiarabu maana kete yake anayo itumia kuteka nyoyo za waarabu itakuwa imekufa.

Israel isinge ivamia na kuikalia Lebanon Iran inge pata wapi kisingizio cha kuikalia Lebanon kwa mgongo wa Hizbullah ili kulinda masilahi yake huko Lebanon?kwa maana hiyo Israel kuivamia na kuikalia Lebanon kuliipa faida Iran.


Israel isinge kuwa imeikalia kimabavu Palestina Iran angetumia sababu gani kupata ushawishi kwa wapalestina?kwa maana hiyo Iran inanufaika na Israel kuikalia Palestine.

Marekani isinge ivamia Iraq na kumtoa Sadam Iran inge thubutu hata kuikanyaga ardhi ya Iraq achana na sasa hivi ambapo ame anaidhibiti karibia serikali nzima ya Iraq?kwa maana hiyo Marekani kuivamia Iraq na kumtoa Sadam kumeleta faida kwa Iran

N.korea na S.korea wasingekuwa maadui Marekani angepata wapi kisingizio cha kupeleka wanajeshi wake S.korea?kwa maana hiyo uadui wa mataifa hayo ni manufaa kwa Marekani.

Ulaya na Urusi wasinge kuwa maadui Marekani inge pata wapi kisingizio cha kuikalia Ulaya kijeshi? Kwa maana hiyo uadui kati ya Ulaya na Urusi ni faida kwa Marekani.
Hizi siasa za kimataifa zinaendeshwa kwa akili na inahitaji akili kubwa kuzielewa tofauti na hapo uta kuwa mbumbumbu mpaka unakufa.
Ni perpective hizo unazoongea mi naongelea root cause wewe unaongelea justification!
Haujakosea lakini pia nilichokiandika ndicho chenyewe!!
Hamna nchi inaamka na kutaka kutengeneza mabovu na kushambulia nchi nyingine bila sababu.
Iran imejiunda hivo kwa sababu
Na hizo ndio sababu!!……..
Israel imevamia nchi nyingi lakini si sababu inayofanya iran kutumia nchi hizo.

Syria ,Egypt, pia zishawai vamiwa na Israel lakini huko huwezi kuona kama Lebanone lazima ufahamu chanzo!!
 
Usichangie uzi kama una mihemuko. Katulizeeee ukoo ikishuka njoo na kichwa chenye akili.

Kujua hili lazima tujue serikali hii ya iran iliingiaje madarakani
✅1979 Kundi lenye itikadi kali lilipindua serikali ya kifalme ya shaa

✅Komeni muanzilishi wa itikadi kali alikua akipitisha mahubiri yake misikitini, vijiweni na kila sehemu kupitia rekodi za sauti ambazo alikua akirekodi kutoka ughaibuni

✅Serilikali ya Mfalme Shaa & Marekani haikukuwai kudhan kama komeni alikua hatari hivo ilimpuuza

✅Kitu ambacho haikujua Komen alitumia upenyo huo kuwalisha harakat na itikadi kali wananchi wake

✅Baada ya kuona ana wafuasi wengi ndipo komeni alirudi na kuipindua nchi!

✅Ikumbukwe n rahisi sana kupindua nchi kama wananchi wengi wapo upande wako

✅Kifupi unaweza upindue hata bila silaha
kaa chini uisome historia vizuri,bila mihemko utaujua ukweli siku moja
 
Back
Top Bottom