Kwanini Iran imezipita Ethiopia na Liberia?

Kwanini Iran imezipita Ethiopia na Liberia?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Zote, hasa Ethiopia na Iran, ni nchi kongwe. Zimekuwepo tokea kipindi Biblia inaandikwa.

Nchi zote tatu hazikuwahi kutawaliwa na Wazungu.

Lakini Iran imezipita zote kwa mambo mengi.

Kwa ubabe, imo! Inatunishiana misuli na mataifa makubwa kama Israel na Marekani.

Kama ni nguvu ya kiuchumi, imo.
Nguvu ya kijeshi, imo.

Kisayansi, imo. Hivi Sasa ipo katika harakati za kutengeneza mabomu ya nyuklia.

Ingawa inadaiwa kutokuwa na Demokrasia, lakini ni wazi kuwa imepiga hatua kubwa sana kiuchumi na Kisayansi kuzidi Ethiopia na Liberia.

Nini kimewakwamisha ndugu zetu, Ethiopia na Liberia?
 
Zote, hasa Ethiopia na Iran, ni nchi kongwe. Zimekuwepo tokea kipindi Biblia inaandikwa.

Nchi zote tatu hazikuwahi kutawaliwa na Wazungu.

Lakini Iran imezipita zote kwa mambo mengi.

Kwa ubabe, imo! Inatunishiana misuli na mataifa makubwa kama Israel na Marekani.

Kama ni nguvu ya kiuchumi, imo.
Nguvu ya kijeshi, imo.

Kisayansi, imo. Hivi Sasa ipo katika harakati za kutengeneza mabomu ya nyuklia.

Ingawa inadaiwa kutokuwa na Demokrasia, lakini ni wazi kuwa imepiga hatua kubwa sana kiuchumi na Kisayansi kuzidi Ethiopia na Liberia.

Nini kimewakwamisha ndugu zetu, Ethiopia na Liberia?
 
Zote, hasa Ethiopia na Iran, ni nchi kongwe. Zimekuwepo tokea kipindi Biblia inaandikwa.

Nchi zote tatu hazikuwahi kutawaliwa na Wazungu.

Lakini Iran imezipita zote kwa mambo mengi.

Kwa ubabe, imo! Inatunishiana misuli na mataifa makubwa kama Israel na Marekani.

Kama ni nguvu ya kiuchumi, imo.
Nguvu ya kijeshi, imo.

Kisayansi, imo. Hivi Sasa ipo katika harakati za kutengeneza mabomu ya nyuklia.

Ingawa inadaiwa kutokuwa na Demokrasia, lakini ni wazi kuwa imepiga hatua kubwa sana kiuchumi na Kisayansi kuzidi Ethiopia na Liberia.

Nini kimewakwamisha ndugu zetu, Ethiopia na Liberia?
Ngojea wagalatia wa tz waje kutapika matusi,we ulieleta thread utaambiwa kobaz
 
Iran wanawekeza sana kwenye science na wanavumbua vitu vingi sana
Wanasayansi wao wanasakwa usiku na mchana na wengine kuuwawa na maadui ila wamo tu

Na hivi karibuni kuna mwana sayansi kavumbua gari inayotembea kwa maji yes maji ya kunywa


Screenshot_20230809_182517_Instagram~2.png
 
Soma kwanza kuhusu Kingdom of Aksum upate kujua historia ya Ethiopia. Ndipo uweze kuona. Kisha soma kuhusu Achaemenid Empire upate kujua historia ya Iran. Achaemenid Empire was a very big empire imeanzia maeneo ya Pakistan mpaka Uturuki.
Wakati Kingdom of Aksum was very small kingdom ambayo ilichukua maeneo ya Yemen mpaka Northern Ethiopia.

So huwezi ukalingamisha Ethiopia na Iran hata kwa thumuni.
 
Iran wanawekeza sana kwenye science na wanavumbua vitu vingi sana
Wanasayansi wao wanasakwa usiku na mchana na wengine kuuwawa na maadui ila wamo tu

Na hivi karibuni kuna mwana sayansi kavumbua gari inayotembea kwa maji yes maji ya kunywa View attachment 2739135View attachment 2739135
Aisee! Mwenye gunduzi zilizofanywa na weusi atuwekee hapa alau na sisi tujipongeze.
 
Hii hapa Ramani ya Historia ya Iran.
Achaemenid Empire

1693852916688.png


Hii hapa historia ya Ethiopia
Kingdom of Aksum

1693852988366.png


Kumbuka waanzilishi wa kuabudu Mungu mmoja ni Wa Persia.

Vile vile ukumbuke Kuwa hawa jamaa iran wamepigana vita vingi sana.
1. Wamepigana na Russia Empire miaka nenda rudi

2. Wamepigana na Alexander the Great king of Macedonia.

3. Wamepigana na Roman Empire

4. Wamepigana na Mongols Empire

5. Wapigana na Arab Empire (Rashidun Caliphate)

Ethiopia haina historia hiyo brother.
 
Back
Top Bottom