Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,790
- 8,330
Sasa kilanga kilichokufanya UIINGIZE Liberia ni niniIliyotajwa ni Ethiopia na Iran.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kilanga kilichokufanya UIINGIZE Liberia ni niniIliyotajwa ni Ethiopia na Iran.
Iran wanajitahidi kwa demokrasia uchaguzi mtu anashinda kwa haki kabisa!!Zote, hasa Ethiopia na Iran, ni nchi kongwe. Zimekuwepo tokea kipindi Biblia inaandikwa.
Nchi zote tatu hazikuwahi kutawaliwa na Wazungu.
Lakini Iran imezipita zote kwa mambo mengi.
Kwa ubabe, imo! Inatunishiana misuli na mataifa makubwa kama Israel na Marekani.
Kama ni nguvu ya kiuchumi, imo.
Nguvu ya kijeshi, imo.
Kisayansi, imo. Hivi Sasa ipo katika harakati za kutengeneza mabomu ya nyuklia.
Ingawa inadaiwa kutokuwa na Demokrasia, lakini ni wazi kuwa imepiga hatua kubwa sana kiuchumi na Kisayansi kuzidi Ethiopia na Liberia.
Nini kimewakwamisha ndugu zetu, Ethiopia na Liberia?
Wapo wengi sana na kwa haraka tu watu weusi wamevumbua vitu au bidhaa 50,000 ndio elfu hamsini popote walipo wengi wakiwa watumwa au wafanyabiashara huko 🇺🇸Aisee! Mwenye gunduzi zilizofanywa na weusi atuwekee hapa alau na sisi tujipongeze.
Shida ni mtu mweusi. Angalia HaitiZote, hasa Ethiopia na Iran, ni nchi kongwe. Zimekuwepo tokea kipindi Biblia inaandikwa.
Nchi zote tatu hazikuwahi kutawaliwa na Wazungu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Liberia imetajwa kwenye mathayo ngapi ngapi huko kwenye BIBLIA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Liberia ameingiaje hapa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kilanga kilichokufanya UIINGIZE Liberia ni nini
Asante kwa elimu mkuuHii hapa Ramani ya Historia ya Iran.
Achaemenid Empire
View attachment 2739139
Hii hapa historia ya Ethiopia
Kingdom of Aksum
View attachment 2739140
Kumbuka waanzilishi wa kuabudu Mungu mmoja ni Wa Persia.
Vile vile ukumbuke Kuwa hawa jamaa iran wamepigana vita vingi sana.
1. Wamepigana na Russia Empire miaka nenda rudi
2. Wamepigana na Alexander the Great king of Macedonia.
3. Wamepigana na Roman Empire
4. Wamepigana na Mongols Empire
5. Wapigana na Arab Empire (Rashidun Caliphate)
Ethiopia haina historia hiyo brother.
Nashukuru mkuu. Ngoja niangalie google nione kama nitapata cha kusema.Hii hapa Ramani ya Historia ya Iran.
Achaemenid Empire
View attachment 2739139
Hii hapa historia ya Ethiopia
Kingdom of Aksum
View attachment 2739140
Kumbuka waanzilishi wa kuabudu Mungu mmoja ni Wa Persia.
Vile vile ukumbuke Kuwa hawa jamaa iran wamepigana vita vingi sana.
1. Wamepigana na Russia Empire miaka nenda rudi
2. Wamepigana na Alexander the Great king of Macedonia.
3. Wamepigana na Roman Empire
4. Wamepigana na Mongols Empire
5. Wapigana na Arab Empire (Rashidun Caliphate)
Ethiopia haina historia hiyo brother.
Sidhani kama bara lina tatizo. Afrika Kusini na Misri zipo barani Afrika, lakini angalia zilipo Kiuchumi, ni mbali sana ukizilinganish na nchi nyingi za Afrika.Tatizo ni bara la africa.
Inasemekana hakuna uhuru wa kujieleza! Kwamba, utawala wake ni wa kidikteta, kwa mujibu wa wakosoaji wake.Iran wanajitahidi kwa demokrasia uchaguzi mtu anashinda kwa haki kabisa!!
Haikutawaliwa na Mzungu.Liberia ameingiaje hapa?
Nakubaliana nawe kwa asilimia tisini, na napingana nawe kwa asilimia kumi.Tatizo la Africa ni viongozi tulionao.
Ni tusi baya sana, lakini kama vile lina ukweli ndani yake.Kaburu Pick Botha alisema weusi hakuna wanachoweza. Wanachoweza ni kupenda sana ngono,kuoa wake wengi na kucheza ngoma.
Mkuu, unaweza ukafafanua kidogo maana ya INTELLIGENCE BRANCH YA ASSASIN?Iran ina historia ya kuongoza dunia kupitia wafalme wake miaka hiyo na pale ndio iliasisiwa intelligence branch ya assasin aka hashashin duniani wote wamecopy na muanzilishi hassan i sabah kizee cha mlimani pale mlima Alamut mountain aka ya mlima "eagle nest" pia kwa sasa wao ni matajiri sana wa mafuta wanayo mengi na pia inawatu mchanganyiko iranian jews ,persian ,arabs ,afghans ,armenia etc ,etc pia tukumbuke ustaarabu wa dunia ulianzia mesopotamia iran ikiwemo.
Popote penye mtu mweusi ni matatizo, Haiti ni mfano halisi!Shida ni mtu mweusi. Angalia Haiti