Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hiati kiboko aisee yaani huwaambii kitu kwa uchawi na shirkLiberia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiati kiboko aisee yaani huwaambii kitu kwa uchawi na shirkLiberia?
Sijawahi kuwa na muda wa aina hiyo mkuu! Mara nyingi nimelazimika kuahirisha mambo mengine kwa sababu ya kutokuwa na muda wa kuyafanya.Muda wako mwingi ambao huna kazi unautumia kufanya nn
Naichukia hiyo kauli, lakini sina point zenye mashiko kuthibitisha uhalali wa pingamizi langu.Popote penye mtu mweusi ni matatizo, Haiti ni mfano halisi!
Hata aliyetengeneza drones za kivita USA ni Mnaijeria, alipovumbua tu akapewa uraia wa USA jumla jumla.Wapo wengi sana na kwa haraka tu watu weusi wamevumbua vitu au bidhaa 50,000 ndio elfu hamsini popote walipo wengi wakiwa watumwa au wafanyabiashara huko [emoji631]
Kuna alievumbua Traffic light na hata alievunbua refrigerator za malori ni mtu mweusi
Tumo kwenye historia ila tatizo la mtu mweusi anapovumbua kitu haendelezi kama mtu mweupe anakuwa na patent na kuwa na shirika endelevu na kurithishana kama wazungu.
Hapa ni baadhi ya bidhaa tulizovumbua weusi
Ukosoma zote utashangaa sana ila ndio hivyo tena
Wamevumbua na mzungu akaendeleza huko huko kwao ila sio UK wala Germany ni USA.
View attachment 2739183
Mexico je? Maana Trump alilazimika kujenga ukuta wa mpaka kukataa Wahamiaji haramu toka Mexico.Popote penye mtu mweusi ni matatizo, Haiti ni mfano halisi!
Aisee!Hakuna nchi ya Afrika iliyowahi kuwa huru.
Tuna uhuru wa bendera. Hawa viongozi wetu ni mawakala wa mabwana zao whites.
Ni km jela Nyapara anavyocontrol wafungwa ili kumsaidia Askari Magereza.
Hapana! Huenda wewe ni Profesa wa Historia. Na sitashangaa nikiambiwa wamiliki wa ChatGp wanafanya kazi nawe kama mtaalam wa Historia.Ndugu Venus Star kasema mimi ni ChatGpt a.k.a robot, truth be told I'm flattered.....
Sidhani kama tatizo ni ngozi. Nafikiri, tatizo kuu ni mtazamo wa kilimbukeni.Ngozi nyeusi haziwezi demokrasia na zikishika udikiteta ndio kabisa Nchi inakuwa jehanam
Hongera! Inaonesha wewe ni msomi mwelewa na mstaarabu!Samahani sana ndugu yangu kwa kukukosea.
Naomba nikae nisome vizuri hii comment yako kisha niweke comment yangu vizuri.
Lakini wewe umeanza kuongelea karne 5 BCE. Mimi nimeongelea 4000BCE kumbuka miaka ilikuwa inasomeka kwa reduction before CE.
Vilevile hujaiomgelea kabisa Ethiopia kuiweka chungu kimoja na Iran.
Ngoja nimalizie kazi kisha niandike maelezo kwa undani.
Inatia moyo!Hata aliyetengeneza drones za kivita USA ni Mnaijeria, alipovumbua tu akapewa uraia wa USA jumla jumla.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Lakini nafikiri nchi nyingi za Kiafrika hazijaifikia Mexico kiuchumi.Mexico je? Maana Trump alilazimika kujenga ukuta wa mpaka kukataa Wahamiaji haramu toka Mexico.
Au Trump alikurupuka tu bila ya upembuzi yakinifu kabla ya kutekeleza ujenzi wa ukuta?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kajitahidi sana. Anastahili pongezi. Tumtie moyo.Kwa kuunganisha Guta
Ila kwa kweli hata gari langu la box nilipokuwa na miaka 6 ni zuri kuliko la masudi
Wanaifikia Nigeria? Nigeria huenda ikawa inaongoza barani Afrika kwa kuwa na wachawi nguli.Hiati kiboko aisee yaani huwaambii kitu kwa uchawi na shirk
Kutiana moyo katika vitu vya kipuuzi ni kurudishana nyuma. Anatakiwa kuchekwa.Kajitahidi sana. Anastahili pongezi. Tumtie moyo.
Serikali yao inaamini katika uchawi?Haiti achana nao hao ni mizimu inayotembea
Yaani kila nyumba lazima ukute misanamu
Sokoni bidhaa nyingi na wauzaji wengi sana wanauza bidhaa za ushirikina tu hata magari yao yote wameweka voodoo
Wanaamini uchawi sana kuliko dini
Kwa mantiki hiyo, unataka kusema tatizo ni mtu mweusi? Usijibu kwa sababu nahisi sitalipenda jibu utakalolitoa. Inafikirisha na kukasrisha.Africa kusini makaburu bdo wako mkuu nchi inawazungu wakutosha ila na misri wale jamaa ni waarabu ila cjui walifikaje huku [emoji23][emoji23]
How? Mbona Israel ni adui yao mkubwa?Iran has people of jewish ancestry and that's why their IQ is higher compared to Africans.
Kama ndivyo, kwa nini na Ethiopia nayo isiifananie Iran japo kwa mbali? Inasemekana Waethiopia chimbuko lao ni Uyahudi!Iran has people of jewish ancestry and that's why their IQ is higher compared to Africans.
75% uchumi wa Mexico umetokana na biashara haramu (madawa ya kulevya) si kwenye inshu za technology, elimu, diplomacy, maendeleo ya uchumi halali sawa na Mataifa mengine ya kihistoria kama Greek, Uajemi, Italy n.k.Lakini nafikiri nchi nyingi za Kiafrika hazijaifikia Mexico kiuchumi.
Naamini asilimia ishirini ya Watanzania wangefanya alau "vitu vya kipuuzi" kama Masoud Kipanya nchi ingeongeza kasi ya kupiga hatua kimaendeleo.Kutiana moyo katika vitu vya kipuuzi ni kurudishana nyuma. Anatakiwa kuchekwa.