Kwanini Iran na Yemen wamekuwa na mipango ya miaka mingi kulipua Mecca na Medina?

Kwanini Iran na Yemen wamekuwa na mipango ya miaka mingi kulipua Mecca na Medina?

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Nimewahi kufanya kazi na watu wa jamii hizo mbili na wanaichukia sana hiyo miji iliyopo Saudi Arabia?

Wanasema kwamba Marekani na Israel ndio zilianzisha utaratibu wa kutembelea hiyo miji ili kukuza kipato cha Saudi Arabia na kuunganisha jamii za mashariki ya kati.

Pia wanaeleza utaratibu huo uliingizwa kinyemela kwenye kitabu cha dini kabla toleo la mwisho halijatoka.

Wataalamu mnaweza kutupa maelezo zaidi.
 
Nimewahi kufanya kazi na watu wa jamii hizo mbili na wanaichukia sana hiyo miji iliyopo Saudi Arabia?

Wanasema kwamba Marekani na Israel ndio zilianzisha utaratibu wa kutembelea hiyo miji ili kukuza kipato cha Saudi Arabia na kuunganisha jamii za mashariki ya kati.

Pia wanaeleza utaratibu huo uliingizwa kinyemela kwenye kitabu cha dini kabla toleo la mwisho halijatoka.

Wataalamu mnaweza kutupa maelezo zaidi.
Kila kitu inasemekana. PUMBAFU. usirudiae tena kuweka habari za kitoto hapa. Siku hizi JF imevamiwa na vitoto vingi sana
 
Umetoka kuchangia uzi huu hapa, umekuja kuanzisha mashudu mengine huku.View attachment 2392252
Screenshot_20221019-211159.png
 
Nimewahi kufanya kazi na watu wa jamii hizo mbili na wanaichukia sana hiyo miji iliyopo Saudi Arabia?

Wanasema kwamba Marekani na Israel ndio zilianzisha utaratibu wa kutembelea hiyo miji ili kukuza kipato cha Saudi Arabia na kuunganisha jamii za mashariki ya kati.

Pia wanaeleza utaratibu huo uliingizwa kinyemela kwenye kitabu cha dini kabla toleo la mwisho halijatoka.

Wataalamu mnaweza kutupa maelezo zaidi.
Vp yesu nae umefanya nae kazi?
 
Nimewahi kufanya kazi na watu wa jamii hizo mbili na wanaichukia sana hiyo miji iliyopo Saudi Arabia?

Wanasema kwamba Marekani na Israel ndio zilianzisha utaratibu wa kutembelea hiyo miji ili kukuza kipato cha Saudi Arabia na kuunganisha jamii za mashariki ya kati.

Pia wanaeleza utaratibu huo uliingizwa kinyemela kwenye kitabu cha dini kabla toleo la mwisho halijatoka.

Wataalamu mnaweza kutupa maelezo zaidi.
Kwa lugha nyepesi DIINI YA UISLAM ina mapote mengi kama ulivyo UKIRISTO... Mfano kwenye ukiristo kuna pote linaitwa Mormonism ambalo wana theologia wengi wa kikiristo WANAAMIN ni CULT NA SII THEHEBU LA DINI...


Nirudi kwenye mada; mataifa uliyoyataja YAANI IRAN NA YEMEN [Wahuthi wanaoongoza] yana dhehebu LINAITWA SHIA! Dhehebu hili au pote linajinasibisha na UISLAM lakini kwa uhalisia kwa maoni ya wanachuoni wa KIISLAM pote hili sii WAISLAM ni Cult... HAWA SII WAISLAM NA MISINGI YA IMANI YAO MINGI IKO MBALI NA KINYUME NA UISLAM

Nitakupa mfano:
Wanaamini Malaika wa Mungu Jibril alifanya Hiyana kumletea Wahay [neno la unabii] MUHAMMAD badala ya Alliy

Wanaamini Maswahaba wote walikufuru baada ya MUHAMMAD isipokuwa wachache

Wanaamini kitabu cha QURAN kinachotumiwa na waislam hakijakamilika...

Na imani nyingine mbovu kama NDOA ZA MKATABA AU MUDA MAALUM

Hata kuhiji wanahiji Mji wa NAJAF IRAQ na wala sii MAKKAH na daima ni wenye kuficha IMANI ZAO HALISI NA KUSEMA KINYUME NA WANACHOAMINI KWAO NI IBADA...

Watu hawa ni waovu na wana CHUKI SANA NA WAISLAM HIVYO KUTOKANA NA CHUKI YAO HII WANATAMANI LEO AU KESHO KUISHAMBULIA NA KUIHARIBU MIJI MITUKUFU YA MAKKAH MADINA... na katu hili halitafanikiwa mpaka qiyama kinasimama maana MOLA MLEZI AMEAHIDI KUILINDA MIJI HII NA HUENDA NDIYO sababu amejaalia hata MAKAO MAKUU YA SAUDIA KUWA RIYADHI NA SII KATIKA MIJI HII MITUKUFU...
 
Back
Top Bottom