Kwanini Iran na Yemen wamekuwa na mipango ya miaka mingi kulipua Mecca na Medina?

Kwanini Iran na Yemen wamekuwa na mipango ya miaka mingi kulipua Mecca na Medina?

Nimewahi kufanya kazi na watu wa jamii hizo mbili na wanaichukia sana hiyo miji iliyopo Saudi Arabia?

Wanasema kwamba Marekani na Israel ndio zilianzisha utaratibu wa kutembelea hiyo miji ili kukuza kipato cha Saudi Arabia na kuunganisha jamii za mashariki ya kati.

Pia wanaeleza utaratibu huo uliingizwa kinyemela kwenye kitabu cha dini kabla toleo la mwisho halijatoka.

Wataalamu mnaweza kutupa maelezo zaidi.
Dohhh hii ni hasara kubwa yani marekani na israel ndio walioanzisha hija? nikupe tu taarifa iyo miji pamoja na watu kwenda hija ilikuwepo kabla ayo mataifa mawili ayajaanzishwa na cha kuongezea kwenye uislamu hakuna toleo jipya la kitabu chetu
 
Maulana Sheikh Hemed Jalala ametoa darsa zuri kuhusu u-Shia ulivyosimama kuhakikisha yale aliyotaka Mtume yana tekelezwa .

Tofauti na madhehebu mengine ndani ya Uislamu ambayo wanahukumu bila kwanza kuingia kwa undani kujifunza na kusoma kwa bidii kuelewa ukweli bila kuupindisha.


Source : Asadiqmedia
 
Huyo jamaa Execute hana Kazi zaidi ya kushinda Jf ni zao la vijana waliokosa akira tokea ajinge haujatimiza wiki kawa Expert member na kapata BAN hapo wataalamu wanaelewa jinsi gani alivyo kisirani ikichangiwa na kukosa mimi wa kumuoa mpk sasa..
Mkuu umenifumbua macho, dah ni kweli jamaa Hana hata mwezi ila ni expert member post 1000+.
Note. Jamaa anapoint hapa ajibiwe Kwa hoja kwanini Shia walio Irani na hawa wayemen wahudhi wanapalia timing Makkah na Madina wapapige kiberiti?
 
Huyo jamaa Execute hana Kazi zaidi ya kushinda Jf ni zao la vijana waliokosa akira tokea ajinge haujatimiza wiki kawa Expert member na kapata BAN hapo wataalamu wanaelewa jinsi gani alivyo kisirani ikichangiwa na kukosa mimi wa kumuoa mpk sasa..
Kijana wangu umaskini unakusumbua na unadhani kila mtu ni maskini. Karibu hapa ununio angalau upate kuona watu waliobarikiwa wanavyoishi.
 
Mkuu umenifumbua macho, dah ni kweli jamaa Hana hata mwezi ila ni expert member post 1000+.
Hakuna sheria ya jf inayozuia mtu asiwe expert memba ndani ya siku moja. Kuandika meseji 1000 kwa wiki ni kitu rahisi kwa mtu anayependa kuandika.
Note. Jamaa anapoint hapa ajibiwe Kwa hoja kwanini Shia walio Irani na hawa wayemen wahudhi wanapalia timing Makkah na Madina wapapige kiberiti?
Asante sana, ngoja tuendelee kuona majibu.
 
bara la amerika kaskazin limegnduliwa miaka ya 1492 hzo ibada za kwenda saudia kwa ajil ya ibada zilikuwepo kabla ya makka mussa ss America wameingia vp hapo mkuu
Taratibu unazoziona sasa hivi duniani nyingi ziliwekwa karne ya 19. America ilikuwepo tayari kama taifa.
 
Sa
Sasa hayo maoni ya mjinga mwenzako tena amekuwekea alama ya kuuliza ili uelewe ndio umeona big deal la kukufanya ufungulia uzi? Pumbavu
Kijana utakuwa na utapiamlo ndio maana unatukana sana.
 
Dohhh hii ni hasara kubwa yani marekani na israel ndio walioanzisha hija? nikupe tu taarifa iyo miji pamoja na watu kwenda hija ilikuwepo kabla ayo mataifa mawili ayajaanzishwa na cha kuongezea kwenye uislamu hakuna toleo jipya la kitabu chetu
Hizi taratibu zimewekwa karne ya 19 na Marekani alikuwepo kama taifa. Quran toleo la mwisho lilikuwa assembled miaka ya karibuni baada ya ottoman kuzichoma nakala za zamani.
 
Maulana Sheikh Hemed Jalala ametoa darsa zuri kuhusu u-Shia ulivyosimama kuhakikisha yale aliyotaka Mtume yana tekelezwa .

Tofauti na madhehebu mengine ndani ya Uislamu ambayo wanahukumu bila kwanza kuingia kwa undani kujifunza na kusoma kwa bidii kuelewa ukweli bila kuupindisha.


Source : Asadiqmedia

Mkuu kwahiyo wewe haukubaliani na hawa wanaosema shia wamepotoka?
 
Shia siyo Waislam

Misingi ya IMANI ya KISHIA NA WAISLAM wengine inatofautiana. Nimekupa mfano hapo kwa mchango wangu uliotangualia. SHIISM ILIANZA KAMA VUGUVUGU LA KISIASA BAADAYE LIKAWA NA THEOLOGIA.

Na itikadi zao ziko TOFAUTI HATA HIJJAH WANAFANYA NAJAF IRAQ NA SIYO MAKKAH!!

Nguzo za UISLAM ZIKO 5. Akivunja mojawapo mtu basi ametoka kwenye UISLAM [nadhani tukisikia masharti na vigezo kuzingatiwa inaelewka vizuri]...
1. Shahada [ Kumwamini Mungu moja na MUHAMMAD Mtume wake]
2. Kusimamisha sala 5
3. Kutoa zaka
4. Kufunga Ramadan
5. Kuhiji Makkah

Nguzo ya kwanza tu SHIA wameipindua HATA KWENYE ADHANA [MUITO WA SALA] UNAWEZA KUSIKIA

NGUZO YA TANO PIA IMEPINDULIWA...

SHIA NI WAONGO [MARA NYINGI HUFICHA UKWELI NA KUDHIHIRISHA UONGO]....

Na itikadi zao nyingi za kufuru....
Vita ya Bakhresa vs Mwamedi, Rostam na Manji
 
siku zote humu ndani nilijua kuna POPOMA MWANDAMIZI mmoja tuu kumbe wapo wengi...
Usimlinganishe Popoma na vitu vya ajabu afadhali yule tunajua ni entertainer huyu mweupe kabisa.
 
Usimlinganishe Popoma na vitu vya ajabu afadhali yule tunajua ni entertainer huyu mweupe kabisa.
Kaa makini maana unamsifia sana huyo popoma, labda ni mumeo
 
Back
Top Bottom