Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hajaelewa basi ana lake jambo huyo na of course ukiangalia post yake hapo alivyomjibu Vita boy utagundua kuwa ana lake jamboKwa lugha nyepesi DIINI YA UISLAM ina mapote mengi kama ulivyo UKIRISTO... Mfano kwenye ukiristo kuna pote linaitwa Mormonism ambalo wana theologia wengi wa kikiristo WANAAMIN ni CULT NA SII THEHEBU LA DINI...
Nirudi kwenye mada; mataifa uliyoyataja YAANI IRAN NA YEMEN [Wahuthi wanaoongoza] yana dhehebu LINAITWA SHIA! Dhehebu hili au pote linajinasibisha na UISLAM lakini kwa uhalisia kwa maoni ya wanachuoni wa KIISLAM pote hili sii WAISLAM ni Cult... HAWA SII WAISLAM NA MISINGI YA IMANI YAO MINGI IKO MBALI NA KINYUME NA UISLAM
Nitakupa mfano:
Wanaamini Malaika wa Mungu Jibril alifanya Hiyana kumletea Wahay [neno la unabii] MUHAMMAD badala ya Alliy
Wanaamini Maswahaba wote walikufuru baada ya MUHAMMAD isipokuwa wachache
Wanaamini kitabu cha QURAN kinachotumiwa na waislam hakijakamilika...
Na imani nyingine mbovu kama NDOA ZA MKATABA AU MUDA MAALUM
Hata kuhiji wanahiji Mji wa NAJAF IRAQ na wala sii MAKKAH na daima ni wenye kuficha IMANI ZAO HALISI NA KUSEMA KINYUME NA WANACHOAMINI KWAO NI IBADA...
Watu hawa ni waovu na wana CHUKI SANA NA WAISLAM HIVYO KUTOKANA NA CHUKI YAO HII WANATAMANI LEO AU KESHO KUISHAMBULIA NA KUIHARIBU MIJI MITUKUFU YA MAKKAH MADINA... na katu hili halitafanikiwa mpaka qiyama kinasimama maana MOLA MLEZI AMEAHIDI KUILINDA MIJI HII NA HUENDA NDIYO sababu amejaalia hata MAKAO MAKUU YA SAUDIA KUWA RIYADHI NA SII KATIKA MIJI HII MITUKUFU...
Mimi ni mkristo ila nakushauri achana na kukashifu imani za watu. Acha kutoa hoja za kudhoofisha imani za watu, scha mada za uchochezi. Kumbuka hilo na Mungu atakubariki.Yesu yupo hai na kila siku tunafanya kazi pamoja. Kaburi lake li wazi lakini lile la kule saudia bado lina mifupa.
Wapi kakashifu unajua mana ya kukashifu.?ifike mahali watu wafahamu hizi dini ni tamaduni tu kama tamaduni zingine nothing new..mambo yaliyotokea miaka 2000 iliyopita hawawezi kuwa na effects kwa miaka hii..hizo ni historia kama historia zingine.Mimi ni mkristo ila nakushauri achana na kukashifu imani za watu. Acha kutoa hoja za kudhoofisha imani za watu, scha mada za uchochezi. Kumbuka hilo na Mungu atakubariki.
Na wewe unamsifia sana Yesu na yule mzugu aliyetundikwa msalabani inawezekana kuwa mmeo..Kaa makini maana unamsifia sana huyo popoma, labda ni mumeo
Hii dini bana, halafu utakuta wanaotokwa povu sana ni waafrika kuliko hata wenye dini yao waarabu ambao wao huchukia sana Waafrika.
![]()
Taka taka!!!!!Hii dini bana, halafu utakuta wanaotokwa povu sana ni waafrika kuliko hata wenye dini yao waarabu ambao wao huchukia sana Waafrika.
![]()
Mhh sasa mbona huwa mnasema watu wote wamezaliwa waisilamu?Shia siyo Waislam
Misingi ya IMANI ya KISHIA NA WAISLAM wengine inatofautiana. Nimekupa mfano hapo kwa mchango wangu uliotangualia. SHIISM ILIANZA KAMA VUGUVUGU LA KISIASA BAADAYE LIKAWA NA THEOLOGIA.
Na itikadi zao ziko TOFAUTI HATA HIJJAH WANAFANYA NAJAF IRAQ NA SIYO MAKKAH!!
Nguzo za UISLAM ZIKO 5. Akivunja mojawapo mtu basi ametoka kwenye UISLAM [nadhani tukisikia masharti na vigezo kuzingatiwa inaelewka vizuri]...
1. Shahada [ Kumwamini Mungu moja na MUHAMMAD Mtume wake]
2. Kusimamisha sala 5
3. Kutoa zaka
4. Kufunga Ramadan
5. Kuhiji Makkah
Nguzo ya kwanza tu SHIA wameipindua HATA KWENYE ADHANA [MUITO WA SALA] UNAWEZA KUSIKIA
NGUZO YA TANO PIA IMEPINDULIWA...
SHIA NI WAONGO [MARA NYINGI HUFICHA UKWELI NA KUDHIHIRISHA UONGO]....
Na itikadi zao nyingi za kufuru....
Nimewahi kufanya kazi na watu wa jamii hizo mbili na wanaichukia sana hiyo miji iliyopo Saudi Arabia?
Wanasema kwamba Marekani na Israel ndio zilianzisha utaratibu wa kutembelea hiyo miji ili kukuza kipato cha Saudi Arabia na kuunganisha jamii za mashariki ya kati.
Pia wanaeleza utaratibu huo uliingizwa kinyemela kwenye kitabu cha dini kabla toleo la mwisho halijatoka.
Wataalamu mnaweza kutupa maelezo zaidi.
Akikujibu huyo mfia dini ya majini nitag.Mhh sasa mbona huwa mnasema watu wote wamezaliwa waisilamu?
Inakuwaje SHIA ambao wanamuamini Muhamad wasiwe waisilamu?
Shia HAWAMWAMINI MTUME MUHAMMAD REHEMA NA AMANI ZIWE JUU YAKE, wamemkhalifu na kwenda kinyume na ujumbe aliokuja nao!!Mhh sasa mbona huwa mnasema watu wote wamezaliwa waisilamu?
Inakuwaje SHIA ambao wanamuamini Muhamad wasiwe waisilamu?
Kijana onyesha ipi ni kashfa hapo. Wewe ni muislamu na hapa unaongea uongo kwa kutumia tekiya.Mimi ni mkristo ila nakushauri achana na kukashifu imani za watu. Acha kutoa hoja za kudhoofisha imani za watu, scha mada za uchochezi. Kumbuka hilo na Mungu atakubariki.