Kwanini Iran na Yemen wamekuwa na mipango ya miaka mingi kulipua Mecca na Medina?

Kwanini Iran na Yemen wamekuwa na mipango ya miaka mingi kulipua Mecca na Medina?

huyoyesu sialigongelewa misuimali akashindwa kujiokoa huouwezo wakuumba vitu ameutoa wapi
Ulitakiwa uulize ni kwanini Yesu Kristo aliamua (au niseme alilazimika) kupitia msalabani ili wanadamu waokolewe badala ya kuja na opinion zako.
 
Haya mzee una kasi Sana uwezi dhani wew Ni member junior utadhani Ni senior member kbsa kumbe Ni kijan wa September 22
 
Yesu huyu huyu aliyekuwa anacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya Leo amekuwa Mungu muumba vyote?

Lete ushahidi wa maandiko ili ujijue kuwa wewe ni tahira
 
Haya maneno umeyapata wapi weka ushahidi wa mandiko tuone
Yohana 1:1-5

1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika.

4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.

5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza
 
Haya mzee una kasi Sana uwezi dhani wew Ni member junior utadhani Ni senior member kbsa kumbe Ni kijan wa September 22
Mimi nipo jf tangu 2006 ila nimejiunga na id hii siku za karibuni.
 
Vp yesu nae umefanya nae kazi?
hv ni kuwa akili zenu fupi au vp , ukute ww ni mtu mzima ilq kujibu hoja huez , funguq threqd halaf weka mamb ya yesu maana huelew hii thread inahusu nin ? km unajiona una panic mapema humu jf hakukuhus nenda tu vijiwen huko ambapo kisa una gari bas kijiwe kizima huongea kwa kurefer unapenda nn
 
Shia ni Cult; shia ilianza kama VUGUVUGU la kisiasa WAKATI wa Khalifa wa nne ALIY BIN ABITWALIB Allah Amridhie, baadaye wakaanzisha THEOLOGIA yao na yote ni kutokana na kukengeuka!! Unajua ni kwa nini SHIA hujipiga mijelede, kujiumiza siku ya maadhimisho ya ASHURA? ambayo ni 10th muharram!!!

Miongoni mwa Itikadi za KISHIA NI KUFICHA KILE WANACHOKIAMINI KAMA SEHEMU YA KIJILINDA NA WANACHOKIDHIHIRISHA SICHO WANACHOKIAMINI...

SHIA WANA ITIKADI NYINGI AMBAZO ZIPO NJE NA MBALI KABISA YA UISLAM!! REJEA MIFANO NILIYOITOA!!

Lakini miongoni mwa Mafunzo ya MUHAMMAD Rehema na amani ziwe juu yake ni kuwaenzi na kuwaheshimu maswahaba LAKINI SHIA WANAWAKUFURISHA SEHEMU KUBWA YA HAO MASWAHABA ISIPOKUWA WACHACHE,

Wanaamini QURAN inayotumiwa na Waislam haijakamilika..


Hata hijjah wao wanahiji NAJAF IRAQ... kwa kifupi ni DEVIANTS of Islamic rightful faith!!!
Asante kwa ufafanuzi,
Ila Shia wao wanajiita waisilamu.
Kati ya Suni, Shia, Ahmadia ni nani waisilamu halisi?
Na je si km ilivyo kwawakristu ambao wote hujiita wakristo bila kujali tofauti ya dhehebu zao?
 
Kwa lugha nyepesi DIINI YA UISLAM ina mapote mengi kama ulivyo UKIRISTO... Mfano kwenye ukiristo kuna pote linaitwa Mormonism ambalo wana theologia wengi wa kikiristo WANAAMIN ni CULT NA SII THEHEBU LA DINI...


Nirudi kwenye mada; mataifa uliyoyataja YAANI IRAN NA YEMEN [Wahuthi wanaoongoza] yana dhehebu LINAITWA SHIA! Dhehebu hili au pote linajinasibisha na UISLAM lakini kwa uhalisia kwa maoni ya wanachuoni wa KIISLAM pote hili sii WAISLAM ni Cult... HAWA SII WAISLAM NA MISINGI YA IMANI YAO MINGI IKO MBALI NA KINYUME NA UISLAM

Nitakupa mfano:
Wanaamini Malaika wa Mungu Jibril alifanya Hiyana kumletea Wahay [neno la unabii] MUHAMMAD badala ya Alliy

Wanaamini Maswahaba wote walikufuru baada ya MUHAMMAD isipokuwa wachache

Wanaamini kitabu cha QURAN kinachotumiwa na waislam hakijakamilika...

Na imani nyingine mbovu kama NDOA ZA MKATABA AU MUDA MAALUM

Hata kuhiji wanahiji Mji wa NAJAF IRAQ na wala sii MAKKAH na daima ni wenye kuficha IMANI ZAO HALISI NA KUSEMA KINYUME NA WANACHOAMINI KWAO NI IBADA...

Watu hawa ni waovu na wana CHUKI SANA NA WAISLAM HIVYO KUTOKANA NA CHUKI YAO HII WANATAMANI LEO AU KESHO KUISHAMBULIA NA KUIHARIBU MIJI MITUKUFU YA MAKKAH MADINA... na katu hili halitafanikiwa mpaka qiyama kinasimama maana MOLA MLEZI AMEAHIDI KUILINDA MIJI HII NA HUENDA NDIYO sababu amejaalia hata MAKAO MAKUU YA SAUDIA KUWA RIYADHI NA SII KATIKA MIJI HII MITUKUFU...
nimependa jibu lako limekaa kisomi zaid kuliko hao wahuni waliouvamiq uislam hawawez hata mjibu mleta uzi kwa hoja badala yake wameweka matusi mbele
 
Shia siyo Waislam

Misingi ya IMANI ya KISHIA NA WAISLAM wengine inatofautiana. Nimekupa mfano hapo kwa mchango wangu uliotangualia. SHIISM ILIANZA KAMA VUGUVUGU LA KISIASA BAADAYE LIKAWA NA THEOLOGIA.

Na itikadi zao ziko TOFAUTI HATA HIJJAH WANAFANYA NAJAF IRAQ NA SIYO MAKKAH!!

Nguzo za UISLAM ZIKO 5. Akivunja mojawapo mtu basi ametoka kwenye UISLAM [nadhani tukisikia masharti na vigezo kuzingatiwa inaelewka vizuri]...
1. Shahada [ Kumwamini Mungu moja na MUHAMMAD Mtume wake]
2. Kusimamisha sala 5
3. Kutoa zaka
4. Kufunga Ramadan
5. Kuhiji Makkah

Nguzo ya kwanza tu SHIA wameipindua HATA KWENYE ADHANA [MUITO WA SALA] UNAWEZA KUSIKIA

NGUZO YA TANO PIA IMEPINDULIWA...

SHIA NI WAONGO [MARA NYINGI HUFICHA UKWELI NA KUDHIHIRISHA UONGO]....

Na itikadi zao nyingi za kufuru....
Kivipi wanaficha ukwel nq kuukubali uongo ? sorry unaezaj juwa huu ukwel na huu uongo ?
 
Huyo jamaa Execute hana Kazi zaidi ya kushinda Jf ni zao la vijana waliokosa akira tokea ajinge haujatimiza wiki kawa Expert member na kapata BAN hapo wataalamu wanaelewa jinsi gani alivyo kisirani ikichangiwa na kukosa mimi wa kumuoa mpk sasa..
ukikosa hoja acha kuharibu radha ya jf , jobles haeza pata bando la kushinda humu kila siku , ukiona mtu yupo humu basi ujue ana kaz hata kama isipokuwa ya kipato kama chako , so jitahid kujibu mada kwa hoja , HUEZ PITA HIVI SIO LAZIMA USHIRIKI
 
Ulitakiwa uulize ni kwanini Yesu Kristo aliamua (au niseme alilazimika) kupitia msalabani ili wanadamu waokolewe badala ya kuja na opinion zako.
kablayakuzaliwa huyokristo wenu kulikuwa namunguyupi? achaujinga wakumwabudu binadamumwenzako
 
Back
Top Bottom