Kwanini Iran na Yemen wamekuwa na mipango ya miaka mingi kulipua Mecca na Medina?

Kwanini Iran na Yemen wamekuwa na mipango ya miaka mingi kulipua Mecca na Medina?

kablayakuzaliwa huyokristo wenu kulikuwa namunguyupi? achaujinga wakumwabudu binadamumwenzako
Yesu Kristo ni Mungu tangu milele na milele, alikuwepo, yupo na ataendelea kuwepo. Yesu alipita kwenye tumbo la Mariamu ili auchukue mwili, sio kwamba pale ndio alianza kuexist.
 
Propaganda za Marekani kuwagombanisha Ili auze silaha zake
duh MAREKAN MBONA MNAMPA NGUVU KAMA MUNGU MTU VILE , ACHEN.KUMKASHIFU MUNGU KILA KITU MAREKAN , INACHOSHA ASEE
 
kama kawaida yenu mkishavaa vijora vichwa vinaacha kufanya kaz
ID yako nimeishaikriri kuwa miongoni mwao members ambao madishi yameyumba humu ndio maana sihangaikagi kukujibu comment yeyote kwani inaelekea una umasikini wa fikra chanya.
 
Mimi ni mkristo ila nakushauri achana na kukashifu imani za watu. Acha kutoa hoja za kudhoofisha imani za watu, scha mada za uchochezi. Kumbuka hilo na Mungu atakubariki.
kakashifu wap au waislam ndo akili mgando , jamaa kauliza ktk mfumo wa nukuu wala hajaireport km taarifa
 
Yesu yupo hai na kila siku tunafanya kazi pamoja. Kaburi lake li wazi lakini lile la kule saudia bado lina mifupa.
Unaweza kuweka ushahidi kuwa Yesu yupo hai ? si ni sawa na kusema Nyerere au 2PaC yupo hai ?
 
Kuna watu hawana kazi za kufanya kutwa kufatilia maisha ya watu na kuupiga vita uislamu.

Mada za kuupiga vita uislamu nowadays zimekua nyingi sana, mara waarabu wabaguliwe, wakashifiwe, wazushiwe uongo n.k
ulipata ngap somo la LUGHA , maana hujui kutofautisha passive voice na active
 
Yesu Kristo ni Mungu tangu milele na milele, alikuwepo, yupo na ataendelea kuwepo. Yesu alipita kwenye tumbo la Mariamu ili auchukue mwili, sio kwamba pale ndio alianza kuexist.
mkuu unakichwakigumu sanakama unashindwa kuelewa kwamba mungu hajazaliwa hajazaa walahafananishwi nakitu chochote ilayeye ndiye ambae ameumbakila kitu ulimwenguni achafikra mgando kumwabudu binadamumwenzako aliezaliwa naakanyonya kwamamake kamawewe
 
Onyesha sehemu nimemtaja huyo jamaa wa kwenye movie. Yesu Kristo ni Mungu aliyehai, yeye ninamsifu na nitamsifu milele.
Kwa hiyo na huyo ni mumeo kwa vile unamsifu ?
 
weekiazi hangaika ilaukweli weekama siomuislam tayari umeshajikatia tiketiyako yamotoni endeleakuandika upupuwako ilimjifurahishe namakafiri wenzako
uchungu huu ungetumia kukemea magaid wanaua watoto wasio na hatia
 
hahahahaha huyokristo nibinadamu kamamimi nawewe atakuajenausalama wangu? mwenyeusama wangu nimungu ambae ndiye alieumba kilakitu akiwemo huyokristo wenumakafiri mnaemwabudu badilika achakutegemea uzimakutoka kwabinadamu mwenzako kamawewe sawaee?
Mkuu una mwandiko mchafu mno.
Samahani lakini🙏
 
Unaweza kuweka ushahidi kuwa Yesu yupo hai ? si ni sawa na kusema Nyerere au 2PaC yupo hai ?
Yesu yu hai na wayahudi waliokuwepo kipindi chake waliandika kwamba alifufuka na walimuona akipaa kwenda mbinguni. Ushahidi ni ule umeandikwa kwenye biblia.

Pia ushahidi mkubwa zaidi ni huu tulionao sisi tunaomwamini kwasababu kila siku tunaongea naye katika roho na yupo pamoja nasi hata utimilifu wa nyakati. Huu ushahidi ni wa kiimani hivyo kama humwamini hauwezi kuuelewa.
 
mkuu unakichwakigumu sanakama unashindwa kuelewa kwamba mungu hajazaliwa hajazaa walahafananishwi nakitu chochote ilayeye ndiye ambae ameumbakila kitu ulimwenguni achafikra mgando kumwabudu binadamumwenzako aliezaliwa naakanyonya kwamamake kamawewe
Yesu alikuwepo tangu milele.
 
Mkuu umenifumbua macho, dah ni kweli jamaa Hana hata mwezi ila ni expert member post 1000+.
Note. Jamaa anapoint hapa ajibiwe Kwa hoja kwanini Shia walio Irani na hawa wayemen wahudhi wanapalia timing Makkah na Madina wapapige kiberiti?
Hii mada angeanzisha mtu mwingine watu wengi wangekuwa positive na kutoa ushirikiano katika majibu tatizo historia ya mleta mada ina mhukumu yeye amekuwa mtu wa hovyo hana hekima na kutukana inapokuja masuala ya dini , amechukulia mambo ya dini kama ubishani wa Simba na Yanga kuna uzi alikuwa anamuomba mtu fulani amuwekee aya fulani za Qu'ran kwa bashasha kabisa akisema "niweke nikawalipue waislamu"

Kushinda mtandaoni na kutukana na kusambaza chuki za udini ndio Kazi yake sasa mtu mwenye mentality kama zake ni vigumu kumuelisha na akianzisha kitu sio kwa malengo hayo tena katika uzi huu kuna taarifa ya uwongo kaweka bila ushahidi tena sio kwa muundo wa swali

Sasa mtu akifikia upumbavu wa kiwango kama chake matokeo yake kama haya anakuwa mtu wa kupuuzwa ndio maana watu wengi hawajamjibu tofauti na wananyouliza wengine.
 
Yohana 1:1-5

1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika.

4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.

5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza
Kuanzia Yohana 1:1 Hadi Yohana 1:37 ni maneno ya mwandishi Hapo maneno ya Yesu yanapatikana kuanzia Yohana1:38

Na huyo mwandishi aliyeandika hiyo Yohana1:1 na akakudanganya wewe kuwa Yesu ni Mungu na wewe ukaamini maneno ya mwandishi
Hadi Leo hii huyo mwandishi ajulikani

Watu walimtafuta ili aseme hayo maneno aliyapata wapi lakini hawakufanikiwa kupata background yake Wala sehemu aliyowahi kuishi

Hicho kitabu kiliokotwa Egypt miaka 50 baada ya Yesu kupaa

Nadhani Hadi hapo umeshajijua kuwa wewe ni Tahira


We may never know for certain who wrote the Gospel of John, any more than we can know who wrote the books of Matthew, Mark and Luke. We do know that John is a gospel apart, however. Early Matthew, Mark and Luke are so alike in their telling that they are called the Synoptic Gospels, meaning “seen together”—the parallels are clear when they are looked at side by side. Matthew and Luke follow the version of events in Mark, which is thought by scholars to be the earliest and most historically accurate Gospel. John, however, does not include the same incidents or chronology found in the other three Gospels, and the fact that it is so different has spurred a debate over whether John’s Gospel is historical or not, something that has been noted in Gospel of John commentary for hundreds—even thousands—of years.
 
Yesu yu hai na wayahudi waliokuwepo kipindi chake waliandika kwamba alifufuka na walimuona akipaa kwenda mbinguni. Ushahidi ni ule umeandikwa kwenye biblia.

Pia ushahidi mkubwa zaidi ni huu tulionao sisi tunaomwamini kwasababu kila siku tunaongea naye katika roho na yupo pamoja nasi hata utimilifu wa nyakati. Huu ushahidi ni wa kiimani hivyo kama humwamini hauwezi kuuelewa.
Huu ndio ushahidi wa mtu mwenye akili timamu ?mimi nikisema Bibi yangu aliyefariki mika ya 60 Tandahimba yupo hai kwa sababu kuna watu walimuona miaka hiyo akipaa na kila siku naongea nae katika roho hapo imekaa vipi ?
 
Back
Top Bottom