Kwanini Iran na Yemen wamekuwa na mipango ya miaka mingi kulipua Mecca na Medina?

Kwanini Iran na Yemen wamekuwa na mipango ya miaka mingi kulipua Mecca na Medina?

Kuanzia Yohana 1:1 Hadi Yohana 1:37 ni maneno ya mwandishi Hapo maneno ya Yesu yanapatikana kuanzia Yohana1:38

Na huyo mwandishi aliyeandika hiyo Yohana1:1 na akakudanganya wewe kuwa Yesu ni Mungu na wewe ukaamini maneno ya mwandishi
Hadi Leo hii huyo mwandishi ajulikani

Watu walimtafuta ili aseme hayo maneno aliyapata wapi lakini hawakufanikiwa kupata background yake Wala sehemu aliyowahi kuishi

Hicho kitabu kiliokotwa Egypt miaka 50 baada ya Yesu kupaa
Kwahiyo wewe kijana wa karne ya 21 ndio unafahamu kuliko mwandishi aliyeona kwa macho yake na kusikia kwa masikio yake.
We may never know for certain who wrote the Gospel of John, any more than we can know who wrote the books of Matthew, Mark and Luke. We do know that John is a gospel apart, however. Early Matthew, Mark and Luke are so alike in their telling that they are called the Synoptic Gospels, meaning “seen together”—the parallels are clear when they are looked at side by side. Matthew and Luke follow the version of events in Mark, which is thought by scholars to be the earliest and most historically accurate Gospel. John, however, does not include the same incidents or chronology found in the other three Gospels, and the fact that it is so different has spurred a debate over whether John’s Gospel is historical or not, something that has been noted in Gospel of John commentary for hundreds—even thousands—of years.
Yaani unaokoteza komenti mitandaoni unaziamini kuliko kitabu kilichoandikwa na wanafunzi wa Yesu Kristo.

Kweli hukumu juu yako itakuwa halali.
 
uchungu huu ungetumia kukemea magaid wanaua watoto wasio na hatia
hahaha sinauchungu zaiditu nataka niwaonyeshe mwanga muache kumwabudu binadamu mwenzenu yesu kristo mwanawa bikramariamu
 
HALAFU WAISLAM HAPA MNAKIMBIA KUJIBU HOJA INAYOHUSU IMANI YENU MNALETA MAMBO TOFAUTI NA MADA HII.

ANZISHENI MADA ZA HAYO MASWALI YENU MTAJIBIWA.
 
Hii mada angeanzisha mtu mwingine watu wengi wangekuwa positive na kutoa ushirikiano katika majibu tatizo historia ya mleta mada ina mhukumu yeye amekuwa mtu wa hovyo hana hekima na kutukana inapokuja masuala ya dini , amechukulia mambo ya dini kama ubishani wa Simba na Yanga kuna uzi alikuwa anamuomba mtu fulani amuwekee aya fulani za Qu'ran kwa bashasha kabisa akisema "niweke nikawalipue waislamu"

Kushinda mtandaoni na kutukana na kusambaza chuki za udini ndio Kazi yake sasa mtu mwenye mentality kama zake ni vigumu kumuelisha na akianzisha kitu sio kwa malengo hayo tena katika uzi huu kuna taarifa ya uwongo kaweka bila ushahidi tena sio kwa muundo wa swali

Sasa mtu akifikia upumbavu wa kiwango kama chake matokeo yake kama haya anakuwa mtu wa kupuuzwa ndio maana watu wengi hawajamjibu tofauti na wananyouliza wengine.
Mnaporusha matusi badala ya kujibu hoja mnakuwa watu wa ajabu kuliko huyo anayetaka kuwalipua.

SASA RUDI KWENYE MADA WEWE MWANAZUONI WA KIISLAMU UTUELEZE KWANINI YEMEN NA IRAN WANATAKA KULIPUA MECCA NA MEDINA.
 
HALAFU WAISLAM HAPA MNAKIMBIA KUJIBU HOJA INAYOHUSU IMANI YENU MNALETA MAMBO TOFAUTI NA MADA HII.

ANZISHENI MADA ZA HAYO MASWALI YENU MTAJIBIWA.
umeyakanyaga mkuu ngoja tukufundishe tunaikubali diniyetu ukijanahoja zako uchwara tunakunyoosha
 
Huu ndio ushahidi wa mtu mwenye akili timamu ?mimi nikisema Bibi yangu aliyefariki mika ya 60 Tandahimba yupo hai kwa sababu kuna watu walimuona miaka hiyo akipaa na kila siku naongea nae katika roho hapo imekaa vipi ?
Tuoneshe hao watu wengi na vitabu walivyoandika kuhusu huyo bibi yako. Ukienda Israel utapata taarifa za Yesu loud and clear nje ya maandishi ya biblia.
 
Tuoneshe hao watu wengi na vitabu walivyoandika kuhusu huyo bibi yako. Ukienda Israel utapata taarifa za Yesu loud and clear nje ya maandishi ya biblia.
1.Mzee Matambumbeta kitu cha Bibi
2. Bi Nyambachi mtoto wa mwisho wa Bibi yangu
3.Mzee Chikoti huyu alikuwa mzee wa kimila kijijini wakati huo

Ukienda Mtwara kijiji cha Mihambwe wilaya ya Tandahimba utapata taarifa loud and clear nje ya maandishi.
 
Rudi kwenye mada.
kwaheri baba paroko naona unanipotezea muda ilajuatu kua yesunibinadamu kama wewe naame umbwa na Allah kwahiyo usimwabudu yesu Bali mwabudu aliemuumba ambae niAllah.
 
1.Mzee Matambumbeta kitu cha Bibi
2. Bi Nyambachi mtoto wa mwisho wa Bibi yangu
3.Mzee Chikoti huyu alikuwa mzee wa kimila kijijini wakati huo

Ukienda Mtwara kijiji cha Mihambwe wilaya ya Tandahimba utapata taarifa loud and clear nje ya maandishi.
Sasa hoja yako ni ipi? Bibi yako yupo au hayupo?
 
wee unajitia uchizi milele ipi unayo izungumzia tunajua amezaliwa kama Mimi nawewe nasasaivi duniani hayupo usitufachukulie POA
Yesu Kristo yupo tangu milele ila alipitia tumboni mwa mwanamke kuuchukua mwili na baadae alirudi zake mbinguni alipokuwepo.
 
Wanasema kwamba Marekani na Israel ndio zilianzisha utaratibu wa kutembelea hiyo miji ili kukuza kipato cha Saudi Arabia na kuunganisha jamii za mashariki ya kati.

Pia wanaeleza utaratibu huo uliingizwa kinyemela kwenye kitabu cha dini kabla toleo la mwisho halijatoka.

yaan mtu kauliza swali halaf unamumba ushahid , hv mnatumia nn.kufikir
Wewe ndio hujaelewa mada, hapo kauliza swali kisha yeye mwenyewe akalijibu.

Wewe ni moja kati ya watu wanaoupiga vita uislamu, hivyo sioni ajabu kusapoti kitu ambacho huna uhakikanacho

Olenimala nkoi? Au niongee kichina ndiyo utanielewa!! Naahene
 
kwaheri baba paroko naona unanipotezea muda ilajuatu kua yesunibinadamu kama wewe naame umbwa na Allah kwahiyo usimwabudu yesu Bali mwabudu aliemuumba ambae niAllah.
Yesu Kristo alimuumba Allah ila alipoasi ndio akapigwa na kushushwa duniani.
 
Yesu Kristo yupo tangu milele ila alipitia tumboni mwa mwanamke kuuchukua mwili na baadae alirudi zake mbinguni alipokuwepo.
hahahahaha Yani unavyo elezea kama vile unamdanga mtoto mdogo asieelewa kitu nasema hivi mungu hajawahi kuzaluwa Wala hakuzaa
 
Kwahiyo wewe kijana wa karne ya 21 ndio unafahamu kuliko mwandishi aliyeona kwa macho yake na kusikia kwa masikio yake.

Yaani unaokoteza komenti mitandaoni unaziamini kuliko kitabu kilichoandikwa na wanafunzi wa Yesu Kristo.

Kweli hukumu juu yako itakuwa halali.
Katika injili zote mnazosoma hakuna hata Moja iliyoandikwa na mwanafunzi wa Yesu katika wale 12 zimeandikwa tu na watu kwa kuhadithiana story za zamani kuhusu Yesu na hao watu wanajulikana ila aliyoandika injili ya Yohana ndio ajulikani Hadi Leo

We may never know for certain who wrote the Gospel of John, any more than we can know who wrote the books of Matthew, Mark and Luke. We do know that John is a gospel apart, however. Early Matthew, Mark and Luke are so alike in their telling that they are called the Synoptic Gospels, meaning “seen together”—the parallels are clear when they are looked at side by side. Matthew and Luke follow the version of events in Mark, which is thought by scholars to be the earliest and most historically accurate Gospel

Huyo mwandishi ameweka maneno ya uongo ili kukupotezeni matahira kama wewe

Je! Mungu muumba mbingu na nchi anasemaje kuhusu Yesu

Mungu alimfunulia nabii Isaya ujio wa Yesu

Mathayo 2:6 (KJV)
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.

Na Yesu mwenyewe anathibitisha kuwa utabiri wa nabii Isaya upo sahihi

Mathayo 15:24 (KJV)
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

Sasa kwa kuwa wewe ni Tahira ndio maana unaacha kuufuata maneno ya Mungu na manabii badala yake unafuata maneno ya mtu ambae hata ajulikani
 
Dhehebu hili la Wahabi ni tofauti na mengine.

Itikadi zao kuhusu ulimwengu na juu ya umma mkubwa wa waIslamu wenye mchaganyiko kimataifa, zina ubaguzi wa aina fulani badala ya umoja unaotakiwa.
Wahabi wanatofauti na Shia? Au lao moja? Au wao wanakubalika kama Dhehebu la Kiislam
 
Katika injili zote mnazosoma hakuna hata Moja iliyoandikwa na mwanafunzi wa Yesu katika wale 12 zimeandikwa tu na watu kwa kuhadithiana story za zamani kuhusu Yesu na hao watu wanajulikana ila aliyoandika injili ya Yohana ndio ajulikani Hadi Leo

We may never know for certain who wrote the Gospel of John, any more than we can know who wrote the books of Matthew, Mark and Luke. We do know that John is a gospel apart, however. Early Matthew, Mark and Luke are so alike in their telling that they are called the Synoptic Gospels, meaning “seen together”—the parallels are clear when they are looked at side by side. Matthew and Luke follow the version of events in Mark, which is thought by scholars to be the earliest and most historically accurate Gospel

Huyo mwandishi ameweka maneno ya uongo ili kukupotezeni matahira kama wewe

Je! Mungu muumba mbingu na nchi anasemaje kuhusu Yesu

Mungu alimfunulia nabii Isaya ujio wa Yesu

Mathayo 2:6 (KJV)
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.

Na Yesu mwenyewe anathibitisha kuwa utabiri wa nabii Isaya upo sahihi

Mathayo 15:24 (KJV)
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
Wewe naona unarudia kuokoteza vitu mtandaoni badala ya kuuliza kwa wanaoelewa.
 
Back
Top Bottom