Kwanini Iran na Yemen wamekuwa na mipango ya miaka mingi kulipua Mecca na Medina?

Kwanini Iran na Yemen wamekuwa na mipango ya miaka mingi kulipua Mecca na Medina?

Loo! Hiyo miji ni kwenye Kiti Cha Enzi cha Yule jamaa. Kwa hiyo miji ikilipuliwa italeta taharuki kubwa duniani. Huenda Shetani akageuza kibao na kusema hizo ni njama za Marekani na Israel,matokeo yake Wakristo tutapata shida kila mahali.
 
Wewe naona unarudia kuokoteza vitu mtandaoni badala ya kuuliza kwa wanaoelewa.
Kila J2 unaweka bibilia kwapani unaenda nayo kanisani kumbe hata aliyeandika haumjui ni haki yako kutokumjua Mungu wa kweli

Au wewe unamjua aliyeandika kitabu Cha Yohana?

Kitabu Cha Luka kimeandikwa na mganga wa kienyeji kitabu Cha Mathayo kimeandikwa na farisayo Paulo

Mtaje aliandika kitabu Cha Yohana ili Dunia ikupe zawadi maana Hadi Leo Bado anatafutwa
 
Karbala, Iraq

The World's Biggest Pilgrimage (Karbala, Iraq)



Source : Drew Binsky
 
Kila J2 unaweka bibilia kwapani unaenda nayo kanisani kumbe hata aliyeandika haumjui ni haki yako kutokumjua Mungu wa kweli

Au wewe unamjua aliyeandika kitabu Cha Yohana?

Kitabu Cha Luka kimeandikwa na mganga wa kienyeji kitabu Cha Mathayo kimeandikwa na farisayo Paulo

Mtaje aliandika kitabu Cha Yohana ili Dunia ikupe zawadi maana Hadi Leo Bado anatafutwa
Wewe unaropoka tu kama mwendawazimu. Yohana amejitambulisha mara nyingi sana katika hicho kitabu kama mwanafunzi aliyependwa na Yesu na kwamba ndiye aliyeandika.

Unaenda mitandaoni unaokota komenti ya mtu badala ya kusoma injili ya Yohana yenyewe. Sasa soma hapa chini ili uache kuwa unasikiliza stori za kipumbavu hapo masjid na mitandaoni:

Yohana 20:20-24 SRUV

20 Petro akageuka akamwona yule mwanafunzi aliyependwa na Yesu anafuata; (ndiye huyo aliyeegama kifuani pake wakati wa kula chakula cha jioni, akasema, Bwana, ni nani akusalitiye?)

21 Basi Petro akamwona huyo, akamwambia Yesu, Bwana, na huyu je?

22 Yesu akamwambia, Ikiwa nataka huyu akae hata nitakapokuja, imekuhusuje wewe? Wewe unifuate mimi.

23 Basi neno hilo lilienea katikati ya ndugu ya kwamba mwanafunzi yule hafi. Lakini Yesu hakumwambia ya kwamba hafi; bali, Ikiwa nataka huyu akae hata nitakapokuja, imekuhusuje wewe?

24 Huyu ndiye yule mwanafunzi ayashuhudiaye haya, na aliyeyaandika haya: nasi twajua ya kuwa ushuhuda wake ni kweli

Yohana 20:2 SRUV​

Basi akaenda mbio, akafika kwa Simoni Petro na kwa yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, akawaambia, Wamemwondoa Bwana kaburini, wala hatujui walikomweka.

Yohana 13:23 SRUV​

23 Na palikuwapo mmoja wa wanafunzi wake, ameegama kifuani pa Yesu, ambaye Yesu alimpenda.
 
Yesu Kristo yupo tangu milele ila alipitia tumboni mwa mwanamke kuuchukua mwili na baadae alirudi zake mbinguni alipokuwepo.
Yani malaika awalete bila tumbo yeye aje kwenye tumbo atailiwe yani mungu wenu ametailifa kweli wewe ni mjinga yesu sio mungu yesu ni mwanadamu kama wewe na hata alipokua msalabani alikua analia munhu wangu mungu wangu mbona unaniacha

YESU SI MUNGU:
KWA SABABU NI MWANA ADAMU
Hakuna aya yoyote katika Biblia inayosema kwamba Yesu ni mungu,
kinyume kabisa na baadhi ya Wakristo wanaoamini kwamba Yesu ni
mungu. Tunaposoma Biblia tunakuta aya kadhaa zinazoeleza kwamba
Yesu ni mwana wa Adamu. Basi mwana wa Adamu hawezi kuwa mungu wala mwana wa Mungu. Biblia inasema:
1. Mwana wa Adamu alikuja akila na kunywa, wakasema mlafi huyu na
mlevi. (Mathayo 11:19).
2. Kwani kama vile Yona alivyokuwa mchana na usiku katika tumbo la
nyangumi, hivyo ndivyo, Mwana wa Adamu atakavyokuwa kwa siku tatu mchana na usiku katika moyo wa
nchi. (Mathayo 12:40).
3. Yesu akamwambia, mbweha wana pango, na ndege wa angani wana
viota, lakini mwana wa Adamu hana pa kulaza kichwa chake. (Mathayo 8:
20). Tunaposoma Biblia tunakuta mara nyingi sana Yesu anaitwa Mwana
wa Adamu. Kwa mfano: Mathayo 8:20, 9:6, 12:40, 14:28, 16:27, 17:22, 24:30 na 26:45. Marko 2:10, 9:31 na 14:21-40. Luka 9:44. Yohana 5:27 na
Matendo 7:56.
Kama Mwana wa Kondoo ni kondoo – Mwana wa mbuzi huwa ni mbuzi
vile vile Mwana wa Adamu ni binadamu. Haieleweki ni kwa sheria na
kanuni gani Mwana wa Adamu anapachikwe jina la Mungu au Mwana wa
Mungu? 4. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, Mwana wa Daudi, Mwana wa Ibrahim.
(Mathayo 1:1)
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nchi ngumu hii
 
Haya mzee una kasi Sana uwezi dhani wew Ni member junior utadhani Ni senior member kbsa kumbe Ni kijan wa September 22
Kwani kuna tatizo hata angekuwa member wa October 2022? Wewe wa 2019 ndiyo unajiona wa maana sana kuliko yeye wa September? Nimelazimika na mimi kukuangalia wewe unaedharau member wa September kumbe na wewe ni kuku mgeni tu.Wewe angalia hoja zake,mambo ya kwenda kuchungulia profile yake kajiunga lini ni dalili ya kuishiwa hoja.
 
Wewe unaropoka tu kama mwendawazimu. Yohana amejitambulisha mara nyingi sana katika hicho kitabu kama mwanafunzi aliyependwa na Yesu na kwamba ndiye aliyeandika.

Unaenda mitandaoni unaokota komenti ya mtu badala ya kusoma injili ya Yohana yenyewe. Sasa soma hapa chini ili uache kuwa unasikiliza stori za kipumbavu hapo masjid na mitandaoni:

Yohana 20:20-24 SRUV

20 Petro akageuka akamwona yule mwanafunzi aliyependwa na Yesu anafuata; (ndiye huyo aliyeegama kifuani pake wakati wa kula chakula cha jioni, akasema, Bwana, ni nani akusalitiye?)

21 Basi Petro akamwona huyo, akamwambia Yesu, Bwana, na huyu je?

22 Yesu akamwambia, Ikiwa nataka huyu akae hata nitakapokuja, imekuhusuje wewe? Wewe unifuate mimi.

23 Basi neno hilo lilienea katikati ya ndugu ya kwamba mwanafunzi yule hafi. Lakini Yesu hakumwambia ya kwamba hafi; bali, Ikiwa nataka huyu akae hata nitakapokuja, imekuhusuje wewe?

24 Huyu ndiye yule mwanafunzi ayashuhudiaye haya, na aliyeyaandika haya: nasi twajua ya kuwa ushuhuda wake ni kweli

Yohana 20:2 SRUV​

Basi akaenda mbio, akafika kwa Simoni Petro na kwa yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, akawaambia, Wamemwondoa Bwana kaburini, wala hatujui walikomweka.

Yohana 13:23 SRUV​

23 Na palikuwapo mmoja wa wanafunzi wake, ameegama kifuani pa Yesu, ambaye Yesu alimpenda.
Nilikuwa sijui kama wewe ni Tahira kiasi hicho Yani wewe unadhani Yohana mwanafunzi wa Yesu ndio aliyeandika kitabu Cha Yohana? Nenda ukawaukize mapadri wako watakupa Jibu

Yani nyinyi mmedanganywa Hadi ni wa kuonewa huruma

Aliyeandika kitabu Cha Yohana sio mwanafunzi wa Yesu na Hadi Leo huyo mtu ajulikani ni nani

Na aliyeandika kitabu Cha Luka alikuwa mganga wa kienyeji sio mwanafunzi wa Yesu

Na laiti kama hao wanafinzi waliandika injili na wewe ungefanikiwa kuiona hiyo injili iliyoandikwa na mwanafunzi wa Yesu wewe usingekuwa mkristo

Hadi Yesu siku anapaa mbinguni hakukuwa na dini inayoitwa ukristo ukiristo ulianzishwa miaka 50 baada ya Yesu kupaa na ndio maana hakuna muisrael ukristo
 
Nilikuwa sijui kama wewe ni Tahira kiasi hicho Yani wewe unadhani Yohana mwanafunzi wa Yesu ndio aliyeandika kitabu Cha Yohana? Nenda ukawaukize mapadri wako watakupa Jibu

Yani nyinyi mmedanganywa Hadi ni wa kuonewa huruma

Aliyeandika kitabu Cha Yohana sio mwanafunzi wa Yesu na Hadi Leo huyo mtu ajulikani ni nani

Na aliyeandika kitabu Cha Luka alikuwa mganga wa kienyeji sio mwanafunzi wa Yesu

Na laiti kama hao wanafinzi waliandika injili na wewe ungefanikiwa kuiona hiyo injili iliyoandikwa na mwanafunzi wa Yesu wewe usingekuwa mkristo

Hadi Yesu siku anapaa mbinguni hakukuwa na dini inayoitwa ukristo ukiristo ulianzishwa miaka 50 baada ya Yesu kupaa na ndio maana hakuna muisrael ukristo
Wewe ni idiot hivyo sina muda wa kuendelea kujibu pumba zako. Kakae masjid ukacheze na majini.
 
Wewe ni idiot hivyo sina muda wa kuendelea kujibu pumba zako. Kakae masjid ukacheze na majini.
Yani wewe mweupe sana na kwa mujibu wa maneno ya Yesu moto wa jahanam unakusubiri kwa sababu Yesu anasema ili uende peponi (uzima wa milele) ni lazima ukubali kuwa Mungu ni mmoja na Yesu ametumwa na huyo Mungu mmoja

Yohana 17:3 (KJV)
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Na siku utakapo liamini Hilo andiko hapo itakuwa umeshakua Muislam kama Yesu
 
23 October 2022

BOHORA / BOHRA WATU WA AMANI

Dhehebu mojawapo la dini ya Islam wakiadhimisha siku ya kuzaliwa Mtume


Source: Global TV online
 
Nimewahi kufanya kazi na watu wa jamii hizo mbili na wanaichukia sana hiyo miji iliyopo Saudi Arabia?

Wanasema kwamba Marekani na Israel ndio zilianzisha utaratibu wa kutembelea hiyo miji ili kukuza kipato cha Saudi Arabia na kuunganisha jamii za mashariki ya kati.

Pia wanaeleza utaratibu huo uliingizwa kinyemela kwenye kitabu cha dini kabla toleo la mwisho halijatoka.

Wataalamu mnaweza kutupa maelezo zaidi.
Namkubali sana iran na ana akili sana. Kaona watu miaka nenda rudi wanampigatwani kwa mawe , na hawajafanikiwa kumuua au kimkimbiza hapo anapoishi ,kaamua kutumia nyuklia kumteketezea mbali ili watu wasipoteze na hela kusafiri umbali mrefu kwenda kumrushia mawe wakati yeye ni mjanja anayahepa yote
 
MITAZAMO TOFAUTI BAINA YA WAISLAMU SI JAMBO GENI.

Kuhusu uwepo wa nywele za Mtume Muhammad pia jino, makubazi, joho n.k yake katika nyumba za Makumbusho maeneo mbalimbali ya dunia ya KiIslamu, waumini waelezea mtazamo wao na je malikale (artifacts) hizi zina baraka zake kwa waliodai wamevihifadhi mpaka leo

Dubai, UAE
Dubai Museum 2022

Prophet Muhammad's Hair - Eid Milad Un Nabi 2022


The Hair of the Prophet Muhammad (ﷺ)- Dr. Bilal Philips

 
Namkubali sana iran na ana akili sana. Kaona watu miaka nenda rudi wanampigatwani kwa mawe , na hawajafanikiwa kumuua au kimkimbiza hapo anapoishi ,kaamua kutumia nyuklia kumteketezea mbali ili watu wasipoteze na hela kusafiri umbali mrefu kwenda kumrushia mawe wakati yeye ni mjanja anayahepa yote
Mkuu umewaza mbali kwakweli. Iran anataka kuwapunguzia kazi waislam kwa kumpiga shetani kwa nyuklia.😂😂
 
Wewe unaropoka tu kama mwendawazimu. Yohana amejitambulisha mara nyingi sana katika hicho kitabu kama mwanafunzi aliyependwa na Yesu na kwamba ndiye aliyeandika.

Unaenda mitandaoni unaokota komenti ya mtu badala ya kusoma injili ya Yohana yenyewe. Sasa soma hapa chini ili uache kuwa unasikiliza stori za kipumbavu hapo masjid na mitandaoni:

Yohana 20:20-24 SRUV

20 Petro akageuka akamwona yule mwanafunzi aliyependwa na Yesu anafuata; (ndiye huyo aliyeegama kifuani pake wakati wa kula chakula cha jioni, akasema, Bwana, ni nani akusalitiye?)

21 Basi Petro akamwona huyo, akamwambia Yesu, Bwana, na huyu je?

22 Yesu akamwambia, Ikiwa nataka huyu akae hata nitakapokuja, imekuhusuje wewe? Wewe unifuate mimi.

23 Basi neno hilo lilienea katikati ya ndugu ya kwamba mwanafunzi yule hafi. Lakini Yesu hakumwambia ya kwamba hafi; bali, Ikiwa nataka huyu akae hata nitakapokuja, imekuhusuje wewe?

24 Huyu ndiye yule mwanafunzi ayashuhudiaye haya, na aliyeyaandika haya: nasi twajua ya kuwa ushuhuda wake ni kweli

Yohana 20:2 SRUV​

Basi akaenda mbio, akafika kwa Simoni Petro na kwa yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, akawaambia, Wamemwondoa Bwana kaburini, wala hatujui walikomweka.

Yohana 13:23 SRUV​

23 Na palikuwapo mmoja wa wanafunzi wake, ameegama kifuani pa Yesu, ambaye Yesu alimpenda.
Kama hajaweza kuelewa hapa basi mwisho wake umefika.
 
Back
Top Bottom