Kwanini Iran na Yemen wamekuwa na mipango ya miaka mingi kulipua Mecca na Medina?

Kwanini Iran na Yemen wamekuwa na mipango ya miaka mingi kulipua Mecca na Medina?

Dhehebu hili la Wahabi ni tofauti na mengine.

Itikadi zao kuhusu ulimwengu na juu ya umma mkubwa wa waIslamu wenye mchaganyiko kimataifa, zina ubaguzi wa aina fulani badala ya umoja unaotakiwa.
Kwanini madhehebu mengi na yanapingana ikiwa quran ni moja?
 
Ndugu umewashika pabaya wafuga midevu!!Watakuparula sana we subiri watokee!!
Naona wengine wamekuja kunishambulia na kuacha kujibu hoja japo wachache wamejitahidi kuandika kiungwana.

Wanasema quran ni moja lakini tunaona madhehebu mbalimbali yana quran zao.
 
Kuna watu hawana kazi za kufanya kutwa kufatilia maisha ya watu na kuupiga vita uislamu.

Mada za kuupiga vita uislamu nowadays zimekua nyingi sana, mara waarabu wabaguliwe, wakashifiwe, wazushiwe uongo n.k
Je lililoulizwa kwenye mada hii sio jambo halisi? Wapi hapa uislamu umekashifiwa?
 
Naona wengine wamekuja kunishambulia na kuacha kujibu hoja japo wachache wamejitahidi kuandika kiungwana.

Wanasema quran ni moja lakini tunaona madhehebu mbalimbali yana quran zao.
weekiazi hangaika ilaukweli weekama siomuislam tayari umeshajikatia tiketiyako yamotoni endeleakuandika upupuwako ilimjifurahishe namakafiri wenzako
 
weekiazi hangaika ilaukweli weekama siomuislam tayari umeshajikatia tiketiyako yamotoni endeleakuandika upupuwako ilimjifurahishe namakafiri wenzako
Uzima wa milele ni ndani ya Kristo Yesu, hakuna usalama sehemu nyingine yoyote.
 
Dohhh hii ni hasara kubwa yani marekani na israel ndio walioanzisha hija? nikupe tu taarifa iyo miji pamoja na watu kwenda hija ilikuwepo kabla ayo mataifa mawili ayajaanzishwa na cha kuongezea kwenye uislamu hakuna toleo jipya la kitabu chetu
wanatafuta upenyo iliwaoneshe kuwa diniyetu yauislamu nidini yamchongo kama dinizao zautapeli uzuliukweli wanaujua wenyewe ndiomana wanatapatapa chakuwashauri nikwamba watoke gizani wajekwenye nuru waepuke dinizinazo zalishamanabii uchwara kilasiku viazihawa
 
Uzima wa milele ni ndani ya Kristo Yesu, hakuna usalama sehemu nyingine yoyote.
hahahahaha huyokristo nibinadamu kamamimi nawewe atakuajenausalama wangu? mwenyeusama wangu nimungu ambae ndiye alieumba kilakitu akiwemo huyokristo wenumakafiri mnaemwabudu badilika achakutegemea uzimakutoka kwabinadamu mwenzako kamawewe sawaee?
 
Si hapa mnasema iran ni washia na sio waislam?
Kwa uwelewa wangu.
Ukikiri moyoni na kutamka kwa ulimi kwamba
1. Hakuna apaswae kuabudiwa kwa HAKI isipokuwa ALLAH na
2. HAKIKA MUHAMMAD ni mjumbe wa ALLAH

Hapo tayari umeshakuwa Muislamu. Sasa sijui Kama hao mashia hawavitimizi hivi.
 
Kuna watu hawana kazi za kufanya kutwa kufatilia maisha ya watu na kuupiga vita uislamu.

Mada za kuupiga vita uislamu nowadays zimekua nyingi sana, mara waarabu wabaguliwe, wakashifiwe, wazushiwe uongo n.k

Kwa akili yako kuwa Mwarabu ndiyo kuwa mwislamu?
 
hahahahaha huyokristo nibinadamu kamamimi nawewe atakuajenausalama wangu? mwenyeusama wangu nimungu ambae ndiye alieumba kilakitu akiwemo huyokristo wenumakafiri mnaemwabudu badilika achakutegemea uzimakutoka kwabinadamu mwenzako kamawewe sawaee?
Yesu Kristo ni Mungu aliyehai, ameumba vyote hata huyo Allah wenu.
 
Kwa uwelewa wangu.
Ukikiri moyoni na kutamka kwa ulimi kwamba
1. Hakuna apaswae kuabudiwa kwa HAKI isipokuwa ALLAH na
2. HAKIKA MUHAMMAD ni mjumbe wa ALLAH

Hapo tayari umeshakuwa Muislamu. Sasa sijui Kama hao mashia hawavitimizi hivi.
Kwahiyo kumbe washia ni waislam, sasa kwanini wanataka kulipua Mecca na Medina?
 
Naomba nieleweshe mkuu Shia wao wanamuamini mtume yupi?
Shia ni Cult; shia ilianza kama VUGUVUGU la kisiasa WAKATI wa Khalifa wa nne ALIY BIN ABITWALIB Allah Amridhie, baadaye wakaanzisha THEOLOGIA yao na yote ni kutokana na kukengeuka!! Unajua ni kwa nini SHIA hujipiga mijelede, kujiumiza siku ya maadhimisho ya ASHURA? ambayo ni 10th muharram!!!

Miongoni mwa Itikadi za KISHIA NI KUFICHA KILE WANACHOKIAMINI KAMA SEHEMU YA KIJILINDA NA WANACHOKIDHIHIRISHA SICHO WANACHOKIAMINI...

SHIA WANA ITIKADI NYINGI AMBAZO ZIPO NJE NA MBALI KABISA YA UISLAM!! REJEA MIFANO NILIYOITOA!!

Lakini miongoni mwa Mafunzo ya MUHAMMAD Rehema na amani ziwe juu yake ni kuwaenzi na kuwaheshimu maswahaba LAKINI SHIA WANAWAKUFURISHA SEHEMU KUBWA YA HAO MASWAHABA ISIPOKUWA WACHACHE,

Wanaamini QURAN inayotumiwa na Waislam haijakamilika..


Hata hijjah wao wanahiji NAJAF IRAQ... kwa kifupi ni DEVIANTS of Islamic rightful faith!!!
 
Back
Top Bottom