Kwanini Isack Newton anapewa kuwa most influencial person duniani kuliko Yesu?

Kwahiyo mkuu unataka kusema yesu pamoja nakua na binasaba vya umungu hakua mungu ni uzushi na ujinga wasisi wa kuristo?
Sijaliweka ili swala kiimani,wala hakuna mahala nimesema wanao amin yesu ni mungu ni wajinga...Nimejibu kutokana na Hoja yake..yeye kasema kua inakuaje binadam anakua mtu maarufu zaid kuliko mungu...Nimemuuliza swali la msingi sana kabla ya kujibu swali lake la msingi..nawewe kama utaweza unaweza msaidia kujibu ili,Yesu alikua binadam au mungu...??
Yeye kajibu kua alikua binadam ila anavinasaba vya umungu...bado haelewi amuweke wapi uyo yesu kama ni mungu au ni Binadam..kama utaweza msaidia kujibu ndipo turudi kwenye swali lake la msingi..
 
Hivi seriously Kuna watu wanaamini Yesu ndio Muumba?

Ndugu zangu acheni masihara!

Mungu aache enzi yake huko, aje akae tumboni miezi 9, azaliwe akiwa hajielewi, ajikojolee Kisha tule nae nguna kwa miaka 33, apigike ...

Drama yote hii ni ya nini?
 
Hii ni hoja ya kijinga kufurahisha genge. YESU na isack newton wapi na wapi mpaka walinganishwe? Yesu ana upekee huwezi kumlinganisha na binadamu yeyote aliye maarufu
Mkuu hapo naona unatumia hisia sio akili zako, wewe eleza Yesu alicho fanya cha maana kumpita Isack newton.
 
TOP TEN HII HAPA
 

Attachments

  • B86927AE-A2CA-469E-93B6-C0B472EAE91C.png
    699.6 KB · Views: 7
Jezus kimemponza uchoyo, angeweka wazi formula ya kutembea kwenye maji yeye ndio angeshinda
 
Kama yesu alikua zaidi ya sayansi tueleze vyote alivyo fanya kisayansi na kiimani mkuu, kumpita issack newton.
Yesu alisema kwa wafuasi wake mkiniamini mimi mtafanya mambo makubwa zaidi ya ninayoyafanya
 
Nani alikudanganya?
 

Swali la hovyo sana sana sana, kumjua Yesu na mafunuo kumhusu ni kwa kufunuliwa na Roho Mtakatifu, soma injili, mifumo yote ya Dunia inapingana na Yesu!
 
Science na imani ni vitu viwili tofauti. Wanasanyansi laxima watamuhusudu mwana sayansi mwenzao. Upande mwingine nao unaweza kuja na conclusion tofauti basedbon imani
 
Science na imani ni vitu viwili tofauti. Wanasanyansi laxima watamuhusudu mwana sayansi mwenzao. Upande mwingine nao unaweza kuja na conclusion tofauti basedbon imani
Mkuu unamanisha yesu alikua na upande wa imani peke hakua na upande mgine, kwani yeye hakutimia okisjeni kupumua hakula nk. Imani na sayansi viko sabamba nikama roho na mwili are insparable......kumbe yesu alikua na ufhaifu upande wa sayansi huyu atakuaje Mungu kama ndo hajui sayansi alio weka kuongoza maisha ya binaadamu.
 
Nadhani unashindwa kuelewa facts zangu. Science inataka evidence, sio maandiko empty. Wakina Isaac netwon walifanya vumbuzi mbali mbali kwa evidence, is why ni moja ya influential scientist of all time (considering vitu alivyofanya ,ndio tunatumia leo in modern world)

Yesu alifufua mtu but how? Can you provide evidence of that? Albadilisha maji kuwa wine but how? Alitumia chemical yoyote?
Alipaa kurudi kwa baba Mungu but alipaaje? Method gani ilitumika?

You see imani doesnt ask for deep facts, hizo trivial things kuwa alivuta oxygen so does wanafunzi wake . Oxygen is not a big deal kwa wanadam
Science inataka facts, vitu vilifanyikaje and how. Sio imani, imani zinamiss deep facts
 
Nadhani unashindwa kuelewa facts zangu. Science inataka evidence, sio maandiko empty. Wakina Isaac netwon walifanya vumbuzi mbali mbali kwa evidence, is why ni moja ya influential scientist of all time (considering vitu alivyofanya ,ndio tunatumia leo in modern world)

Yesu alifufua mtu but how? Can you provide evidence of that? Albadilisha maji kuwa wine but how? Alitumia chemical yoyote?
Alipaa kurudi kwa baba Mungu but alipaaje? Method gani ilitumika?

You see imani doesnt ask for deep facts, hizo trivial things kuwa alivuta oxygen so does wanafunzi wake . Oxygen is not a big deal kwa wanadam
Science inataka facts, vitu vilifanyikaje and how. Sio imani, imani zinamiss deep facts
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…