Kwanini Isack Newton anapewa kuwa most influencial person duniani kuliko Yesu?

kuponya wagonjwa na kufufua mfu
Hata Gwajima kwenye kanisa lake la ufufuo hizo kazi anazifanya kama Yesu mzee wa upako hoyo yote na zaidi anayafanya..... labda useme kwamba ni matepeli sio kweli hapo utakua huna Imani pia.
 
Hata Gwajima kwenye kanisa lake la ufufuo hizo kazi anazifanya kama Yesu mzee wa upako hoyo yote na zaidi anayafanya..... labda useme kwamba ni matepeli sio kweli hapo utakua huna Imani pia.
hao kina gwajima hawajawahi kuponya na kufufua wafu, wanafanya abrakadabra tu kwa wapuuzi
 
Are sure that Jesus did what you are alleging or can you prove or its a hearsay of religious fanatics.....who reported and recorded such events such action lack authenticity.
 
hao kina gwajima hawajawahi kuponya na kufufua wafu, wanafanya abrakadabra tu kwa wapuuzi
Unaweza kudhibitisha hilo kwamba ni wahuni ila yesu yeye alifanya kweli kweli. Jitahidi kua na Imani mkuu.
 
Jesus Christ of Nazareth was not a human being.he is a living God.
 
Unaweza kudhibitisha hilo kwamba ni wahuni ila yesu yeye alifanya kweli kweli. Jitahidi kua na Imani mkuu.
kwani we huwaoni matendo yao, wana utaua gani wa kimungu wale?
 
Are sure that Jesus did what you are alleging or can you prove or its a hearsay of religious fanatics.....who reported and recorded such events such action lack authenticity.
i just asked for facts, scientis inafanya kazi hivi, question->finding facts->research->answers.
Nikikaa upande wa science, ukaniambia Yesu alimfufua lazaro, sito ridhika, nitauliza how? Alitumia method gani?
Mwana science haishii kwenye imani, anataka answers with evidence

Nikiwa kama muumini wa dini, sitotaka kwenda deep about what happened, and how, i will just beleive. Since imani ndio msingi wa dini yoyote
 
Wrong arrangement labda ulete source Muhammad first Isack newton second Jesus third...neenda google ku-prove right.
Yesu ndo mtu mwenye impact zaidi duniani hata tukiachana na maswala ya dini Wala sayansi kwa mfano tu nikikuuliza huyo mtume kaacha alama impact gani duniani zaidi ya uislamu hautakua na jibu...

Lakini Yesu ndiye sababu Leo hii ni mwaka 2024... Yaani Yesu alipozaliwa tu ndo dunia ikaanza kuhesabu mwaka wa kwanza...

Sasa nitajie impact za hao wengine
 
Propaganda hizi hazitakuja kuisha😆😆

Ninachoweza kusema ni mambo yafuatayo;

-Imagine someone very influential hadi mudy akaamua kumwingiza kweny story zake za uongo ili awavutie wakristo(watu wa kitabu) waingie kweny uislamu, but katika kumwingiza kweny story zake za uongo akambadilisha jina akamwita Issa then akamvua uungu wake, so that he could fit perfectly kweny story zake alizopewa pangoni kwa kuinamishwa na malaika jibril

-Eti mudy ndo wakwanza😆😆😆 Yesu katajwa mara nyingi kweny quran kuliko hata mudy, hakuna muislamu asiyemjua yesu, kwanza kweny mafundisho yenu lazima mmezeshwe kwamba yesu hakuwa mungu bali alikuwa nabii wa kawaida tu, but kuna wakristo wengi hawamjui hata huyo Mudy na hawajui hata mambo yake.

-Kwa taarifa yako, huyo Isaac Newton mwenyew alikuwa mfuasi wa kuaminika wa Yesu, aliisoma sana biblia wakati akifanya uchunguzi wa kutambua siku za mwisho, naweza sema Isaac Newton was a dedicated Christian and he took inspiration from Jesus Christ.

Ntamalizia kwa kusema Yesu hahitaji hizo statistics zenu, hata awe namba 3, 5, 10, 100 ukweli utabaki kuwa ukweli tu.
 
Most influential with respect to who? from where? by whom? Andiko la nani aliyerank hizo rank zako? hata mimi naweza kurank nikamuweka mjomba wangu kuwa most influential 😀
 
yesu nae arudi arushe jiwe angani na likirudi chini ,atoe sababu kwann tutamwelewa ,habari ya kudili na mtu haonekani kwa utetezi wa kijinga eti fumbo la Imani!!!!
Newton nae arud atembee juu ya maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…