Kweli kutojua ni ujinga kweli kweli kuna calender zaidi ya 10 duniani kulingana na sehemu unao nchi kuna BC AD AH nk wewe unajua moja tu duh.Yesu ndo mtu mwenye impact zaidi duniani hata tukiachana na maswala ya dini Wala sayansi kwa mfano tu nikikuuliza huyo mtume kaacha alama impact gani duniani zaidi ya uislamu hautakua na jibu...
Lakini Yesu ndiye sababu Leo hii ni mwaka 2024... Yaani Yesu alipozaliwa tu ndo dunia ikaanza kuhesabu mwaka wa kwanza...
Sasa nitajie impact za hao wengine
Yaani yesu ali muumba mtu?, yaani kweli uwezo wa kufikiri ni zero, uwezo wa kusoma na kuelewa napo ni zero, haya soma hapaGoogle pamoja na wana sayansi wa dunia wamekubaliana kwamba watu marufu funian tangu enzi na enzi Isack newton iko juu ya Yesu, wakati Yesu ni Mungu mbona yanachanganya wakati Mungu huyu huyu ndo alir muumba huyu Isack newton.
Muhammad the Islamic prophet amepewa nafasi ya kwanza na watu wasio waislamu wanao pinga mafunsisho yake hili lina tufindisha nini. Sikiliza video hiyo.View attachment 3154798
umem checkmateKwahiyo mkuu unataka kusema yesu pamoja nakua na binasaba vya umungu hakua mungu ni uzushi na ujinga wasisi wa kuristo?
Unaongea utahira mzee dunia nzima inajua huu ni mwaka 2024... Kama unabisha bishaKweli kutojua ni ujinga kweli kweli kuna calender zaidi ya 10 duniani kulingana na sehemu unao nchi kuna BC AD AH nk wewe unajua moja tu duh.
We ni mjinga sanaa unafikiri kila mtu ni mtanzaniaUnaongea utahira mzee dunia nzima inajua huu ni mwaka 2024... Kama unabisha bisha
We ndo mjinga kama mamaakoWe ni mjinga sanaa unafikiri kila mtu ni mtanzania
Hahaaa kjiingiza mwenyew kumbe wanajua yesu ni calibre ya issac newtonUnaandika utazani hauna kichwa mkuu...Umesema watu maarufu si ndio..then ukasema Isack Newton...Then ukasema Mtu huyo alitakiwa kua Yesu,kwa sababu yesu Ni mungu...mbona Unatuchanganya tuelewe kipi...em tuliza kichwa then tuambie ili tujue tuna solve vp malalamiko yako..Yesu Ni Mtu au Ni mungu...??,tuanzie apo kwanza..
Unatumia Pepsi ya zamani au bongrUkisikia neno yesu jua ni hadithi za alinacha.
Vinasaba vya Umungu?Mkuu sisi wa kuristu tunaamini yesu alikua binaadamu na vinasaba vya Umungu pia kuna kipindi anawekwa msalabani uko analia hapo alikua binaadamu, kwahiyo niko sahihi kuwekwa katika binaadamu, jifinze dini yako mkuu.
Watu hawajui kuwa Newton alikuwa mfuasi wa Yesu, Tena ameandika mengi kuhusu kitabu cha Daniel kuliko hata makabrasha ya CalculusPropaganda hizi hazitakuja kuisha😆😆
Ninachoweza kusema ni mambo yafuatayo;
-Imagine someone very influential hadi mudy akaamua kumwingiza kweny story zake za uongo ili awavutie wakristo(watu wa kitabu) waingie kweny uislamu, but katika kumwingiza kweny story zake za uongo akambadilisha jina akamwita Issa then akamvua uungu wake, so that he could fit perfectly kweny story zake alizopewa pangoni kwa kuinamishwa na malaika jibril
-Eti mudy ndo wakwanza😆😆😆 Yesu katajwa mara nyingi kweny quran kuliko hata mudy, hakuna muislamu asiyemjua yesu, kwanza kweny mafundisho yenu lazima mmezeshwe kwamba yesu hakuwa mungu bali alikuwa nabii wa kawaida tu, but kuna wakristo wengi hawamjui hata huyo Mudy na hawajui hata mambo yake.
-Kwa taarifa yako, huyo Isaac Newton mwenyew alikuwa mfuasi wa kuaminika wa Yesu, aliisoma sana biblia wakati akifanya uchunguzi wa kutambua siku za mwisho, naweza sema Isaac Newton was a dedicated Christian and he took inspiration from Jesus Christ.
Ntamalizia kwa kusema Yesu hahitaji hizo statistics zenu, hata awe namba 3, 5, 10, 100 ukweli utabaki kuwa ukweli tu.
True bro, he spent most of his time reading the book of Daniel kwasababu ya prophecies zilizopo kweny hicho kitabu.Watu hawajui kuwa Newton alikuwa mfuasi wa Yesu, Tena ameandika mengi kuhusu kitabu cha Daniel kuliko hata makabrasha ya Calculus
Influence ya Yesu ni kubwa sana, huyo jamaa ni muislamu ,ameileta hiyo mada kwa mgongo kwamba mudy ndio influencer zaidi,True bro, he spent most of his time reading the book of Daniel kwasababu ya prophecies zilizopo kweny hicho kitabu.
Huyu jamaa aliyeanzisha uzi hana hata akili ya kuchanganua, hakuna mtu aliyeishi hapa duniani mweny influence kama yesu, Yesu anajulikana na christians wote and non-christians, na ukimjua yesu utajua tuu mambo yake, utajua tuu alifanya nn na watu wanamchukuliaje, but for mudy sidhani kwakweli.
Ni rahisi kwa muislamu kumjua yesu na mambo aliyofanya kuliko mkristo kumjua muhammad.
Islam was started for many purposes, but the main purpose was kuua uungu wa Yesu, na hawajafanikiwa.Influence ya Yesu ni kubwa sana, huyo jamaa ni muislamu ,ameileta hiyo mada kwa mgongo kwamba mudy ndio influencer zaidi,
Hajui kuwa hata huyo mudy ilibidi aibe story za Yesu na kumuita Yesu ili kitabu chake kipate Umaarufu,
Newton Mwenyewe ni mfuasi wa Yesu
Biblia ndio kitabu kilichouzwa sana sababu ya Yesu
Yesu ana wafuasi mabilioni Leo hapa duniani
Mkuu substetiate your statement plz.....Islam was started for many purposes, but the main purpose was kuua uungu wa Yesu, na hawajafanikiwa.
Watu kama hawa unakubaliana nao tu usipoteze muda, hata akisema kingwendu kamzidi influence yesu mwambie sawa.