Kwanini jamii ya Wayahudi inalindwa sana duniani kuliko watu weusi?

Kwanini jamii ya Wayahudi inalindwa sana duniani kuliko watu weusi?

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Jamii ya wayahudi imekuwa ni jamii inayolindwa sana duniani kiasi kwamba ukiongea neno lolote lenye kiashiria kibaya au cha kibaguzi dhidi yao hata kama ni cha ukweli lazima wakushughulikie.

Ila jamii ya watu weusi kutwa kucha inabaguliwa lakini hatua hazichukuliwi na inaonekana ni sawa tu. Refer the Kanye West saga. Na mara zote matamshi yoyote yale juu ya wayahudi lazima wayahusishe na holocaust iliyotokea kule ujerumani nyakati za Adolf Hitler.

Inavyoonekana wayahudi wameshika maeneo na sekta nyeti duniani. Ni kwanini hi jamii ilindwe hivo? Na je ni kweli watu wanawachukia wayahudi na zipi sababu ya watu kuwachukia?

Maana hata waarabu hawawapendi wayahudi, wazungu hawawapendi wayahudi ni watu weusi pekee duniani wanaowapenda wayahudi ila bado watu weusi ndio jamii inayochukiwa kuliko zote duniani na hakuna hatua zakuilinda jamii ya watu weusi isipotee duniani.
 
Mimi ni myahudi mweusi

I never understand kwanini mnapenda muitwe wayahudi ilhali mnajua fika koo/kabila/tamaduni zenu. Mnatokwa Hadi povu kujifananisha nao, hamuupendi uAfrica wenu? Mnaona aibu kuwa waafrika? Mmekua brainwashed hadi mmekua mazwazwa kiasi mnajinasabisha na watu wasiowatumbua. Inabdilisha nini kwenye maisha yako wewe ukijiita myahudi au mchina au muarabu ilhali unajua fika identity yako?

I, for one, ni Mmatumbi sitaki kabisa uzwazwa wa kufananishwa na jamii zingine hata kama mnadai the original Jews were blacker than the kettle.
 
Hao wazungu waashkenazi siyo wayahudi original.Wapo wayahudi halisi,nenda Ethiopia utawakuta wengi Sana.

Hao unaodai ndo wayahudi original walipelekwa Israel yanayowakuta huko hawana hamu. Tatizo la miafrika ni kukataa vyao na kung'ang'ania vya wengine. Wengine wanajiona wao miyahudi, wengine wanajikuta miarabu wengine wanajiona wao mizungu ilimradi waukimbie uafrika wao mwishoe wanaonekana vituko tu.
 
Wayahudi ndio jamii pekee iliyopambana isipotezwe ulimwengu huu. Zilikuwepo jamii kadhaa na zilishapotezwa mfano aborigines of Australia ndio wenyeji wa Australia nzima kabla ya wafungwa wa Uingereza kufika pale na kuifanya nchi nzima ni yao hadi leo nchi ya wazungu watupu. Jiulize weusi walienda wapi, jamii za makabila kama Kamilaroi watu wake wanahesabika na sasa wamechanganya damu kama rapper The Kid LAROI.

Red Indies wa Marekani makabila kama Navajo, Cherokee na Apache walishapotea wamebaki wachache mno. Miaka ya 1940s jeshi la Marekani lilitrain Navajo code breakers watumike kufanya mawasiliano kwenye WW2 kwa vile hakuna yeyote duniani anaweza kujua lugha yao ambayo haifundishiki popote na wanaoitumia ni wachache mno ndani ndani ya Marekani umo. Marekani imebaki ya wahamiaji.

Namibia hadi leo ina watu milioni mbili kisa ya wakoloni Wajerumani kuua ovyo. Jamii za watu wa Amazon rain forest zilishapotezwa na wakulima, wafugaji, wawindaji na wakata mbao kule Brazil. Mifano ni mingi.

Wayahudi wanajijua walivyo na tabia zisizovumilika na jamii tofauti, hawaeleweki kwa namna fulani na sio kosa lao hivyo wanaishi kwa kujihami. Wana historia ya kupigwa, kufanywa mateka na kuonewa mara nyingi kuliko jamii nyingine. Sisi Waafrika hatujafikia manyanyaso kama waliyowahi pitia. Kama utumwa mbona washaenda mara nyingi tu, kama kutawaliwa washafanyiwa ila sisi hakuna jamii iliwahi taka kutuangamiza. Kasome The Siege of Masada iliyofanywa na Warumi dhidi ya Wayahudi miaka ya 70 kwenye vita ya kwanza ya Warumi na Wayahudi. Kasome kwanini hadi leo wanatafuta sanduku lao la Agano hawalipati, ilikuwaje wakalipoteza.

Bado kuna historical events nyingi mfano kutumikishwa na Warumi kuanzia enzi kabla ya Yesu, holocaust ya Nazi Germany dhidi ya Wayahudi wa Ulaya, vita ya Waisraeli na Waarabu kuanzia 1948 mpaka leo ugaidi dhidi yao mdogo mdogo.

Bila wao kuwa na influence kwenye dunia na kulindana watapotea
 
Wayahudi ndio jamii pekee iliyopambana isipotezwe ulimwengu huu. Zilikuwepo jamii kadhaa na zilishapotezwa mfano aborigines of Australia ndio wenyeji wa Australia nzima kabla ya wafungwa wa Uingereza kufika pale na kuifanya nchi nzima ni yao hadi leo nchi ya wazungu watupu. Jiulize weusi walienda wapi, jamii za makabila kama Kamilaroi watu wake wanahesabika na sasa wamechanganya damu kama rapper The Kid LAROI.

Red Indies wa Marekani makabila kama Navajo, Cherokee na Apache walishapotea wamebaki wachache mno. Miaka ya 1940s jeshi la Marekani lilitrain Navajo code breakers watumike kufanya mawasiliano kwenye WW2 kwa vile hakuna yeyote duniani anaweza kujua lugha yao ambayo haifundishiki popote na wanaoitumia ni wachache mno ndani ndani ya Marekani umo. Marekani imebaki ya wahamiaji.

Namibia hadi leo ina watu milioni mbili kisa ya wakoloni Wajerumani kuua ovyo. Jamii za watu wa Amazon rain forest zilishapotezwa na wakulima, wafugaji, wawindaji na wakata mbao kule Brazil. Mifano ni mingi.

Wayahudi wanajijua walivyo na tabia zisizovumilika na jamii tofauti, hawaeleweki kwa namna fulani na sio kosa lao hivyo wanaishi kwa kujihami. Wana historia ya kupigwa, kufanywa mateka na kuonewa mara nyingi kuliko jamii nyingine. Sisi Waafrika hatujafikia manyanyaso kama waliyowahi pitia. Kama utumwa mbona washaenda mara nyingi tu, kama kutawaliwa washafanyiwa ila sisi hakuna jamii iliwahi taka kutuangamiza. Kasome The Siege of Masada iliyofanywa na Warumi dhidi ya Wayahudi miaka ya 70 kwenye vita ya kwanza ya Warumi na Wayahudi. Kasome kwanini hadi leo wanatafuta sanduku lao la Agano hawalipati, ilikuwaje wakalipoteza.

Bado kuna historical events nyingi mfano kutumikishwa na Warumi kuanzia enzi kabla ya Yesu, holocaust ya Nazi Germany dhidi ya Wayahudi wa Ulaya, vita ya Waisraeli na Waarabu kuanzia 1948 mpaka leo ugaidi dhidi yao mdogo mdogo.

Bila wao kuwa na influence kwenye dunia na kulindana watapotea
Madhila ambayo watu weusi wamekutana nayo ni makubwa mno kuliko jews. Mkuu kuna nyakati waafrika walikuwa wanachomwa kama mishkaki na wazungu na watu wanapewa nyama wale. Acha kusema jews wamepitia mengi kuliko watu weusi kwasababu taarifa zao nyingi ni za kupika. Watu weusi hawapendwi na jamii yoyote ile duniani kuna black massacre ilitokea huko marekani ikiwa na lengo la kutokomeza watu weusi wote marekani.
 
Wayahudi ndio jamii pekee iliyopambana isipotezwe ulimwengu huu. Zilikuwepo jamii kadhaa na zilishapotezwa mfano aborigines of Australia ndio wenyeji wa Australia nzima kabla ya wafungwa wa Uingereza kufika pale na kuifanya nchi nzima ni yao hadi leo nchi ya wazungu watupu. Jiulize weusi walienda wapi, jamii za makabila kama Kamilaroi watu wake wanahesabika na sasa wamechanganya damu kama rapper The Kid LAROI.

Red Indies wa Marekani makabila kama Navajo, Cherokee na Apache walishapotea wamebaki wachache mno. Miaka ya 1940s jeshi la Marekani lilitrain Navajo code breakers watumike kufanya mawasiliano kwenye WW2 kwa vile hakuna yeyote duniani anaweza kujua lugha yao ambayo haifundishiki popote na wanaoitumia ni wachache mno ndani ndani ya Marekani umo. Marekani imebaki ya wahamiaji.

Namibia hadi leo ina watu milioni mbili kisa ya wakoloni Wajerumani kuua ovyo. Jamii za watu wa Amazon rain forest zilishapotezwa na wakulima, wafugaji, wawindaji na wakata mbao kule Brazil. Mifano ni mingi.

Wayahudi wanajijua walivyo na tabia zisizovumilika na jamii tofauti, hawaeleweki kwa namna fulani na sio kosa lao hivyo wanaishi kwa kujihami. Wana historia ya kupigwa, kufanywa mateka na kuonewa mara nyingi kuliko jamii nyingine. Sisi Waafrika hatujafikia manyanyaso kama waliyowahi pitia. Kama utumwa mbona washaenda mara nyingi tu, kama kutawaliwa washafanyiwa ila sisi hakuna jamii iliwahi taka kutuangamiza. Kasome The Siege of Masada iliyofanywa na Warumi dhidi ya Wayahudi miaka ya 70 kwenye vita ya kwanza ya Warumi na Wayahudi. Kasome kwanini hadi leo wanatafuta sanduku lao la Agano hawalipati, ilikuwaje wakalipoteza.

Bado kuna historical events nyingi mfano kutumikishwa na Warumi kuanzia enzi kabla ya Yesu, holocaust ya Nazi Germany dhidi ya Wayahudi wa Ulaya, vita ya Waisraeli na Waarabu kuanzia 1948 mpaka leo ugaidi dhidi yao mdogo mdogo.

Bila wao kuwa na influence kwenye dunia na kulindana watapotea
Fact ni kwamba Wayahudi ndio wanaotawala dunia kwa Sasa kwa kutumia fake identity.
 
Jamii ya wayahudi imekuwa ni jamii inayolindwa sana duniani kiasi kwamba ukiongea neno lolote lenye kiashiria kibaya au cha kibaguzi dhidi yao hata kama ni cha ukweli lazima wakushughulikie.

Ila jamii ya watu weusi kutwa kucha inabaguliwa lakini hatua hazichukuliwi na inaonekana ni sawa tu. Refer the kanye west saga. Na mara zote matamshi yoyote yale juu ya wayahudi lazima wayahusishe na holocaust iliyotokea kule ujerumani nyakati za adolf Hitler.

Inavyoonekana wayahudi wameshika maeneo na sekta nyeti duniani. Ni kwanini hi jamii ilindwe hivo? Na je ni kweli watu wanawachukia wayahudi na zipi sababu ya watu kuwachukia?

Maana hata waarabu hawawapendi wayahudi, wazungu hawawapendi wayahudi ni watu weusi pekee duniani wanaowapenda wayahudi ila bado watu weusi ndio jamii inayochukiwa kuliko zote duniani na hakuna hatua zakuilinda jamii ya watu weusi isipotee duniani.

Refer your bible
 
Fact ni kwamba Wayahudi ndio wanaotawala dunia kwa Sasa kwa kutumia fake identity.
Kwahyo kama ni hivo ni haki ya watu weusi sasa kulindwa maana ni jamii iliyoko nyuma kuliko zote.
 
Back
Top Bottom