Kwanini jamii ya Wayahudi inalindwa sana duniani kuliko watu weusi?

And wakauzwa wapi? Coz Bible inasema waliuzwa kona 4 za Dunia. Na waliokimbia baada ya Roma kuwapa kichapo walikimbilia wapi? Huko kaskazini germ any na spai ambako mrumi alikuwepo au alikimbilia ambako aduo hayupo.
 
We mwenye unajichanganya na kujipuliza waafrica wapo kama nilivyokwambia na watakuwepo sana tu. But wayahudi aka Negro hawakuwa WAafrika na ndio waliotoka Israel washuka afrika the. Wakauzwa WA utumwani America na Dunia kote. Wewe unawachanganya weusi wote unawaweka bakuli Moja.
Roma alivyowafukuza waisrael kwa kichapo then akaja mwarabu hapo wakachapana na Rome ilipoanza kuanguka wakaona hawana faida na Hilo eneo wakasepa. Baadae wakaja waingereza nao wakasepa. Na hakuwa nchi kama DOLA kwa mda mrefu sana mpk UN na UK walipoamua kuweka hapo...... Na kwa kuwa walijua sio sehemu Yao na ndio maana Kuna kipindi wakitaka wawalete UGANDA.... Ile declaration waganda wakagoma...... Sasa kama tangu miaka hiyo ni eneo Lao Hao Wazungu kwanjni walitaka kuwaleta Uganda.....???
 
Mkuu hiyo mbona ni rahisi tu kujua mafano sisi watanzania ni weusi lakini tunapo kutana ni raihisi kujua huyu ni mchaga au msukuma nk.
Pia kumbuka Waisrael walipewa eneo lao maalum la kukaa kwa sababu wao ni wafugaji na Farao aliwapa eneo hilo kwa sababu hiyo. Wazungu wanatawa kwa hila nyingi kumbuka vitu vingi walivitoa Misri na kuvigeuza ni mali yao mfano Obelski zilizo kwenye miji mikubwa asili yake ni Misri.

Wanatumia movie nk kutudidimiza, ishu za Mapicha yao yakionyesha Malaika ni mweupe au Yesu na Mitume ni weupe hiyo ni mind control na hii project wamefanikiwa sana. Mfano leo hata wewe leo ukivumbua kitu wanaweza kukununua au kukumaliza na ule uvumbuzi wako wanampa mtoto wao.
 
waliotajwa kwenye biblia sio Hawa ..
 
Tena cha kusikitisha waafrika walikuwa wanauzwa utumumwani na machief wao yaani ubaguzi tulifanyiana wenyewe. Yaani waafrika ndio jamii pekee isiyopendana wao kwa wao then wanasingizia wanabaguliwa na kuchukiwa na wengine kumbe tatizo ni wao wenyewe.
 
Ni kwa sababu wana tabia za kimalaya kiasi cha kuweza kuwauza hata mama zao jambo ambalo mswahili hawezi kufanya isipokuwa kwa wachache kama vile wachaga na wakikuyu. Pia, wanatumika kuwatisha waarabu na hivyo kuwalazimisha kununua silaha toka magharibi na kuneemesha uchumi wa nchi hizi nyemelezi. Pia, wayahudi ni wabaguzi na matapeli sawa na mabwana zao. Maana, kiasili wayahudi ni waarabu. Lakini sasa ukiangalia wanaojiita waarabu wengi ni warusi na wazungu waliowatapeli waarabu
 
Hao Warekani na Uingereza ndio wayahudi wenyewe si unajua wale jamaa wapo kila kona ya Dunia. Usifikiri wayahidi wapi Israeli tu wametapakaa ulaya nzima. Unaweza kuona Mgiriki au Mrusi kumbe asili yake ni myahudi.
 
w
Refer your bible, Soma vizuri kwa utulivu na sio kwa malengo ya kukosoa, Google, Soma Bible, Google and continue to do that
weka andiko bas sio rahisi kusoma biblia yote
 
uyahudi ni jamii sio dini ,wapo wayahudi ambao wana dini zao zofauti na uyahudi
Huwezi kuwa na IQ kubwa kisa race,uyahudi ni dini na si rangi ya ngozi au kabila,hao unadhani ni wayahudi ni wazungu tu wa ulaya mashariki
 
uyahudi ni jamii sio dini ,wapo wayahudi ambao wana dini zao zofauti na uyahudi
Uyahudi ni dini,shida imekuja kwa muda mrefu dini hiyo imekua ikifuatwa na watu wanaojinasibisha na uisrael,lakini hivi karibuni pamekua na wayahudi nje ya wanaoitwa waisrael,Kuna wayahudi waethiopia nk,taifa linajulikana Kama Israel ambalo miongoni mwa dini zake ni uislam na ukiristo,Kuna waisrael waarabu
 
Hao Warekani na Uingereza ndio wayahudi wenyewe si unajua wale jamaa wapo kila kona ya Dunia. Usifikiri wayahidi wapi Israeli tu wametapakaa ulaya nzima. Unaweza kuona Mgiriki au Mrusi kumbe asili yake ni myahudi.
Uyahudi ni dini,huwezi kuwa na asili ya uyahudi,marekani na uingereza siyo wayahudi,Kama unamaanisha Israel basi Hilo taifa lilianzishwa na waingereza na wafaransa
 
waarabu ni watu gani? samahani swali lina logic flani inachanganya
 
Uyahudi ni dini,huwezi kuwa na asili ya uyahudi,marekani na uingereza siyo wayahudi,Kama unamaanisha Israel basi Hilo taifa lilianzishwa na waingereza na wafaransa
Heeee! Embu nipe muongozo kwa hiyo kumbe hata mimi mmatumbi naweza kuwa myahud?
 
Kwa upeo Wangu mdogo hawa watu wenye vinasaba vya uyahudi wana akili sn...IQ yao ipo juu mno ndio mana marekani hataumuambie nn hawezi acha kuwalinda hawa viumbe...nihatari sn Kwa kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…