Kwanini jamii za kiislamu wanapenda sana kupokea kuliko kutoa? Hawaoni kama wanaharibu utu wao?

Kwanini jamii za kiislamu wanapenda sana kupokea kuliko kutoa? Hawaoni kama wanaharibu utu wao?

Jamii za kiislamu wanapenda misaada sana as if they are always unable bodied. Ukienda tabora, ujiji, zanzibar nk hata huduma za jamii ni duni hata kujenga misikiti tu hawawezi mpaka ajitokeze tajiri mmoja awajengee.

Ukienda jamii hizo utakuta maji ya visima ndo yamejaa halafu visima vyenyewe ni misaada tena vikicjimbwa wanajiandika kabisa kwamba imam flani ndo kajenga.

Jamani badilikeni vya bure ni manyanyaso halafu vinakufanya always uwe mnyonge
Wakikosa misaada wanauza Vipande vya nchi
 
Kanisa ni moja tu katiliki. Yale mengine ni biashara
Kama unaongelea makanisa ya Roman Catholic huwa yanajengwa na Wazungu wa kutoka Italy kitu ambacho ni sawasawa na ulichokosoa kwa waislamu kujengewa misikiti na waarabu,kwa kifupi hujui unachokiongea.
Na pia nina mashaka na umri wako huenda umezaliwa miaka ya 2000 hujui yale makanisa unayoyaona ameyajenga nani umeyakuta yashajengwa tayari.
Nakumbuka miaka ya 1995 kurudi nyuma walikuwa wale wazungu wa Italy wanakuja wanajenga kanisa kisha wanapita mitaani kuonesha sinema mbalimbali kisha wanagawa zawadi mbalimbali mitaani nadhani ulikuwa bado hujazaliwa
 
Lakini hamtoagi licha ya kujua faida ya sadaka. Igeni kwa wakristo hasa Roma haya mengini ni biashara za watu
Sadaka huwa tunatoa kile mtu alichobarikiwa bila matangazo bila kulazimishwa na binadamu au bila kushinikizwa na binadamu au bila kulazimishwa kiwango cha kutoa na mtu ambaye ni kiumbe kama sisi.
Na kingine msikitini akitokea mtu anasisitiza watu watoe sadaka nq akataja kiwango maalumu basi inabidi aitolee maelezo je ina matumizi gani je ni ya ujenzi wa msikiti?ya kununua mazulia?Ya kusimamia usafi?
Huwa hatutoi hela kiboyaboya halafu mtu aende kununulia mafuta ya gari yake akale bata wikiendi,au mnamchangia sadaka mwenzenu anaichukua anaenda kulipia hotel ya kulala na malaya wikiendi wewe mwenyewe unahesabia hela yako uliyoitoa imeenda kwa Mungu.
Fungukeni akili msipelekeshwe kama manyumbu jifunzeni kuhoji,mtu mmoja asiwatawale kana kwamba yeye ndio amekabidhiwa funguo ya peponi na Mungu wakati na yeye hajui hatima yake siku ya mwisho na yeye atapanga foleni ya kuhukumiwa sawa na wewe tu.
 
Mbona UMEROPOKA sana kijana!?
Kwani hiyo misikiti na hivyo visima si wanajenga waislam wenyewe!?
Kuna tabu gani muislam kujengea ama kuchimbia wenzake visima!?
Kuna taasisi ya kikristo imewahi kuchimba visima!?
Halafu huduma za kijamii kama maji,hospitali, n.k ni jukumu la serikali sio watu binafsi.
Hali iliyoko Tabora ni kama iliyoko Rukwa,Songea,Njombe na kwingineko.
Je na hiyo mikoa yenye wakristo wengi nayo imekuwaje na hali hiyo ngumu kiuchumi!?
Yani unasema waislam wanapenda kupokea kuliko kutoa ilhali hivyo visima wamejijengea wenyewe.
We makalio kweli.
We mpuuzi! Tabora uwezi fananisha na mikoa uliyo taja apo juu tabora ni njaa tupu! Yaani kupokea ndo jadi yao.
 
Matu ru wewe tabora njaa yaani njaaa kama watu wa misaada tutupu akuna nafuu ya maisha lakini njombe rukwa akuna njaa mpuu zi wewe.
Tuliza matako kima wewe.
Hiyo mikoa yote nimetembea kuna njaa tupu hunidanganyi kitu mbwa maji wewe.
KOTE NIMETEMBEA HUKO.
 
Mbona UMEROPOKA sana kijana!?
Kwani hiyo misikiti na hivyo visima si wanajenga waislam wenyewe!?
Kuna tabu gani muislam kujengea ama kuchimbia wenzake visima!?
Kuna taasisi ya kikristo imewahi kuchimba visima!?
Halafu huduma za kijamii kama maji,hospitali, n.k ni jukumu la serikali sio watu binafsi.
Hali iliyoko Tabora ni kama iliyoko Rukwa,Songea,Njombe na kwingineko.
Je na hiyo mikoa yenye wakristo wengi nayo imekuwaje na hali hiyo ngumu kiuchumi!?
Yani unasema waislam wanapenda kupokea kuliko kutoa ilhali hivyo visima wamejijengea wenyewe.
We makalio kweli.
Akili za kufikiri huwa hawana hao,huzibwa na chuki,utasema hizo sadaka hutolewa na wakiristo
 
We msen ge, makanisa yanajengws kilakukicha we unatuletea mambo ya 1995 kweli?🖕.
Mbona unapaniki kuambiwa ukweli,makanisa yanayojengwa na watu binafsi ni ya walokole na madhehebu mengine yasiyo na jina yale kama ya akina Mwamposa.
Unajifanya mkristo mkereketwa kumbe hata makanisa yanavyojengwa hujui kichwa maji wewe.
 
Naam! Huu ni mhamsiko wa sisi tujiweze

Asante mtoa mada

Wale ambao hutoa, wanaombewa sana na Mungu kuendela kuwabariki, ni wakati wa sisi Waislam hasa weusi kutoa swadaka zetu ambazo Mungu ametubariki ili Mungu aubariki umma wa waislam wa Tanzania
Misikiti yote tz imejengwa na nani!?..nani hulipia umeme,maji nk!?..ulishawahi kwenda msikitini?..ulikuta sanduku la sadaka?..ukitoa?
 
Mbona unapaniki kuambiwa ukweli,makanisa yanayojengwa na watu binafsi ni ya walokole na madhehebu mengine yasiyo na jina yale kama ya akina Mwamposa.
Unajifanya mkristo mkereketwa kumbe hata makanisa yanavyojengwa hujui kichwa maji wewe.
Matako ya masikini ulia mbwata mbwata.
 
Sadaka huwa tunatoa kile mtu alichobarikiwa bila matangazo bila kulazimishwa na binadamu au bila kushinikizwa na binadamu au bila kulazimishwa kiwango cha kutoa na mtu ambaye ni kiumbe kama sisi.
Na kingine msikitini akitokea mtu anasisitiza watu watoe sadaka nq akataja kiwango maalumu basi inabidi aitolee maelezo je ina matumizi gani je ni ya ujenzi wa msikiti?ya kununua mazulia?Ya kusimamia usafi?
Huwa hatutoi hela kiboyaboya halafu mtu aende kununulia mafuta ya gari yake akale bata wikiendi,au mnamchangia sadaka mwenzenu anaichukua anaenda kulipia hotel ya kulala na malaya wikiendi wewe mwenyewe unahesabia hela yako uliyoitoa imeenda kwa Mungu.
Fungukeni akili msipelekeshwe kama manyumbu jifunzeni kuhoji,mtu mmoja asiwatawale kana kwamba yeye ndio amekabidhiwa funguo ya peponi na Mungu wakati na yeye hajui hatima yake siku ya mwisho na yeye atapanga foleni ya kuhukumiwa sawa na wewe tu.
Sisi siyo wachoyo ndugh yangu. Kutoa ni wajibu wetu. Pasre akizitumia vibaya atajuana yeye na mungu wake siyo mimi tena. Jukumu langu nakuwa nimeshatimiza
 
Kama unaongelea makanisa ya Roman Catholic huwa yanajengwa na Wazungu wa kutoka Italy kitu ambacho ni sawasawa na ulichokosoa kwa waislamu kujengewa misikiti na waarabu,kwa kifupi hujui unachokiongea.
Na pia nina mashaka na umri wako huenda umezaliwa miaka ya 2000 hujui yale makanisa unayoyaona ameyajenga nani umeyakuta yashajengwa tayari.
Nakumbuka miaka ya 1995 kurudi nyuma walikuwa wale wazungu wa Italy wanakuja wanajenga kanisa kisha wanapita mitaani kuonesha sinema mbalimbali kisha wanagawa zawadi mbalimbali mitaani nadhani ulikuwa bado hujazaliwa
Kila siku tunajenga makanisa sisi wenyewe. Wazungu wameshajitoa ndugu yangu. Sasa hivi tunajenga st joseph cathedral kule kigamboni na tunakamuliwa pesa haswa ila hatuumii kwa sababu ni wajibu wetu
 
Sisi siyo wachoyo ndugh yangu. Kutoa ni wajibu wetu. Pasre akizitumia vibaya atajuana yeye na mungu wake siyo mimi tena. Jukumu langu nakuwa nimeshatimiza
Kama wewe sio mchoyo ni bora ukasaidie watoto yatima,ndugu zako kijijini,majirani zako kuliko kumpelekea mtu mmoja ananunulia mafuta kwenye harrier yake wewe unarudi nyumbani kwa miguu si utaahira huu
 
Kama wewe sio mchoyo ni bora ukasaidie watoto yatima,ndugu zako kijijini,majirani zako kuliko kumpelekea mtu mmoja ananunulia mafuta kwenye harrier yake wewe unarudi nyumbani kwa miguu si utaahira huu
Tumeamliwa na biblia kutoa sadaka bila kujali inaliwa ama la. Ni wajibu na kutotoa ni dhambi kubwa
 
Back
Top Bottom