Kwanini jamii za kiislamu wanapenda sana kupokea kuliko kutoa? Hawaoni kama wanaharibu utu wao?

Kwanini jamii za kiislamu wanapenda sana kupokea kuliko kutoa? Hawaoni kama wanaharibu utu wao?

Jamii za kiislamu wanapenda misaada sana as if they are always unable bodied. Ukienda Tabora, Ujiji, Zanzibar nk hata huduma za jamii ni duni hata kujenga misikiti tu hawawezi mpaka ajitokeze tajiri mmoja awajengee.

Ukienda jamii hizo utakuta maji ya visima ndo yamejaa halafu visima vyenyewe ni misaada tena vikichimbwa wanaviandika kabisa kwamba Imam flani ndo kajenga.

Jamani badilikeni vya bure ni manyanyaso halafu vinakufanya always uwe mnyonge.
nimesabuskraibu
 
katoliki nio vinara wa kupokea hadi wanavimbiwa na kutosaidia kabisaa

mfano mdogo tuh wao ni wamiliki wa shule zilizojengwa kwa sadaka za waumini kisha kuwekewa ada kubwa kwajili ya matajiri,lakini wao kusaidia kaya masikini ndani ya waumini wao kwa kutoa hata nafasi mbili kuwasomesha watoto wao ni tabu
 
Jamii za kiislamu wanapenda misaada sana as if they are always unable bodied. Ukienda Tabora, Ujiji, Zanzibar nk hata huduma za jamii ni duni hata kujenga misikiti tu hawawezi mpaka ajitokeze tajiri mmoja awajengee.

Ukienda jamii hizo utakuta maji ya visima ndo yamejaa halafu visima vyenyewe ni misaada tena vikichimbwa wanaviandika kabisa kwamba Imam flani ndo kajenga.

Jamani badilikeni vya bure ni manyanyaso halafu vinakufanya always uwe mnyonge.
Sio waisilamu. Sema wavivu wote wana akili moja ya kutaka huruma.
 
Jamii za kiislamu wanapenda misaada sana as if they are always unable bodied. Ukienda Tabora, Ujiji, Zanzibar nk hata huduma za jamii ni duni hata kujenga misikiti tu hawawezi mpaka ajitokeze tajiri mmoja awajengee.

Ukienda jamii hizo utakuta maji ya visima ndo yamejaa halafu visima vyenyewe ni misaada tena vikichimbwa wanaviandika kabisa kwamba Imam flani ndo kajenga.

Jamani badilikeni vya bure ni manyanyaso halafu vinakufanya always uwe mnyonge.
Kuanzia Bugando,KCMC, vyuo shule hadi makanisa mengi ya mainstream ni misaada ya Wazungu ,ukiacha ya Kuhani Musa na Kiboko ya Wachawi.
 
Back
Top Bottom