Jamesdominic
JF-Expert Member
- Nov 26, 2022
- 549
- 732
Zipo nyuzi waweza enda ukapeleka au nenda fb kabishane akuna mtu anataka kuishi tabora wazawa wenyewe wapo mikoa jilani na awataki kusikia.Nimeifunga au nimekupa ukweli?
NJOMBE NI KATI YA MIKOA MASIKINI AU LAAAH?
Kama unabisha nikuletee takwimu hapa
tunaomba ushahidiCha kuongezea Catholic churches zote ZINA RUZUKU TOKA SERIKALINI TOKA ENZI ZA MWALIMU JULIUS NYERERE.
HADI SASA,akibisha tumletee ushahidi.
Kuna ambao wanachinjiwa kondoo kila ijumaa wanagawiwaJamii za kiislamu wanapenda misaada sana as if they are always unable bodied. Ukienda tabora, ujiji, zanzibar nk hata huduma za jamii ni duni hata kujenga misikiti tu hawawezi mpaka ajitokeze tajiri mmoja awajengee.
Ukienda jamii hizo utakuta maji ya visima ndo yamejaa halafu visima vyenyewe ni misaada tena vikicjimbwa wanajiandika kabisa kwamba imam flani ndo kajenga.
Jamani badilikeni vya bure ni manyanyaso halafu vinakufanya always uwe mnyonge
Kwaufupi Dini zote azijaanzia Afrika!.Uislam umezania uarabuni ambako kuna mila na utamaduni wa utwana na ubwana, mabwana kusaidia watwana. Jaribu kusoma hadithi nyingi zenye chimbuko la huko, uone jinsi kulivyo na simulizi nyingi za matajiri wakubwa kuandaa sherehe, au kusaidia watu n.k. Huko ndiko utakuta simulizi za watwana kuangukia mabwana ili wasiwadhuru, au tajiri kuamuaru jamii ipikiwe chakula nk
Tena baadhi ya misikiti wanagawa kwa majina siku izi😜😜😜. Hizi Dini ngumuKuna ambao wanachinjiwa kondoo kila ijumaa wanagawiwa
Wamama wamevaa hijab wengi wapo kwenye foleni
Hapana, sio zote Mkuujamii yawakristo wanajiweza sana au?
Sio kweli, hiyo 99% unaweza kuweka Ushahidi wake hapa?Wanajiweza wapi ilhali taasisi za kikristo kibao zinapewa ruzuku na serikali.
Ikiwemo wakatoliki,makanisa 99% ni ruzuku za serikali.
Huyo anayedai hivyo serikali yake imepokea vingi vya hao waislam anaowadai hawajiwezi.
Nimekuuliza upande gani wa mji,jibu Kama mtu unayeijua tabora yenye njaa Kama ulivyodaiIpo kata moja ya ipuli.
Sijui unachoongea lakini serikali ndo mnufaika mkuu na uwekezaji wa kanisa Catholic.Makanisa ambayo yanajengwa na wazungu na ruzuku ya serikali!?
Au haujui kuwa serikali inatoa ruzuku ya zaidi ya bilioni moja kila mwezi kwenda taasisi ya CATHOLIC Tanzania?
Niambie kuna taasisi gani ya kiislam inapata ruzuku toka serikalini?
Hiyo comment sikukujibu wewe nilimjibu mtu mwingine na niliyemjibu ameniquote na kunijibu kwa nidhamu sio kama wewe uliyekurupuka sikujui hunijui kilichokufanya upaniki na kuja kutukana ni nini?sasa huoni kwa hicho ulichokifanya unadhalilisha wakristo wote waonekane hawana nidhamu kwa sababu yako wewe?View attachment 3042161
Ungefuta huu ujinga kwanza.
Yes hili pia nililisahau kuliwekaCha kuongezea Catholic churches zote ZINA RUZUKU TOKA SERIKALINI TOKA ENZI ZA MWALIMU JULIUS NYERERE.
HADI SASA,akibisha tumletee ushahidi.
Ukimaliza lala ata wewe umenitukana vilele umeniita mlevi maybe na wewe ndo nidhamu yako?.Hiyo comment sikukujibu wewe nilimjibu mtu mwingine na niliyemjibu ameniquote na kunijibu kwa nidhamu sio kama wewe uliyekurupuka sikujui hunijui kilichokufanya upaniki na kuja kutukana ni nini?sasa huoni kwa hicho ulichokifanya unadhalilisha wakristo wote waonekane hawana nidhamu kwa sababu yako wewe?
Ni wavivu haswa muda mwingi wanakuwa wanacheza baoJamii za kiislamu wanapenda misaada sana as if they are always unable bodied. Ukienda tabora, ujiji, zanzibar nk hata huduma za jamii ni duni hata kujenga misikiti tu hawawezi mpaka ajitokeze tajiri mmoja awajengee.
Ukienda jamii hizo utakuta maji ya visima ndo yamejaa halafu visima vyenyewe ni misaada tena vikicjimbwa wanajiandika kabisa kwamba imam flani ndo kajenga.
Jamani badilikeni vya bure ni manyanyaso halafu vinakufanya always uwe mnyonge
Sulemani alikuwa tajiri kupita kiasiInaonyesha kuwa wao wanamuabudu Mungu wa kweli, wanamtanguliza Mungu mbele kuliko pesa. Yesu hakuwa na pesa, alikuwa tu fundi seremala, wakristu wanatanguliza pesa mbele. Kwa ufupi, Waislamu Mungu mbele, pesa nyuma, Wakristu pesa mbele Mungu nyuma.
Hahaaa ruzuku ya 99% hahaaaa acha uzushi mfano kcmc na hospitali nyingi za private na mashule makubwa na vyuo vingi vinamilikiwa na makanisa nyinyi waisĺamu ukiondoa chuo cha MUM mnamiliki niniWanajiweza wapi ilhali taasisi za kikristo kibao zinapewa ruzuku na serikali.
Ikiwemo wakatoliki,makanisa 99% ni ruzuku za serikali.
Huyo anayedai hivyo serikali yake imepokea vingi vya hao waislam anaowadai hawajiwezi.
Nimekushuku ni mlevi baada ya kufuatilia staili yako ya maneno unayocomment ni tofauti na wachangiaji woteUkimaliza lala ata wewe umenitukana vilele umeniita mlevi maybe na wewe ndo nidhamu yako?.