Kwanini jamii za kiislamu wanapenda sana kupokea kuliko kutoa? Hawaoni kama wanaharibu utu wao?

Mkuu unetiririka vizuri sana ila para yako ya mwisho imekutia doa sana. Ebu kuwa mstaarabu, hiyo sio tabia na maadili ya Ki-Islamu. JIREKEBISHE
 
kanisa nimali yamtu wee kenge.ila msikiti nimali wamungu
Mungu na misikiti wapi na wapi ndugu??

Mungu amiliki msikiti halafu wewe kilundu unawe ndipo uingie😁😁!!!!mna mzaha sana na Mungu.
 
Mbona unapaniki kuambiwa ukweli,makanisa yanayojengwa na watu binafsi ni ya walokole na madhehebu mengine yasiyo na jina yale kama ya akina Mwamposa.
Unajifanya mkristo mkereketwa kumbe hata makanisa yanavyojengwa hujui kichwa maji wewe.
Mkuu polepole, haya mambo ya MUNGU hayataki hasira. Wapi Mwamposa amejenga kanisa?
 
Vibao bara barani CHANGIA ujenzi wa msikiti m.
 
Mkuu kwenye kilimo Tabora huwezi kuilinganisha na Njombe hata kidogo. Hadhii ya Njombe ni level ya Mbeya, Ruvuma, Iringa, Manyara, Arusha, Kilimanjaro; then tambua kuwa kwenye malaya kuna FEDHA.
 
Ndio unatakiwa ufurahi kwa kuwa wamekuwa maskini wakijitokeza ndio kama magoti alivyovamia alikosa kidogo kusema ni magaidi wale watoto,waislamu walijitahidi kujidhatiti kwa kila
Furahi!
 
Mkuu unetiririka vizuri sana ila para yako ya mwisho imekutia doa sana. Ebu kuwa mstaarabu, hiyo sio tabia na maadili ya Ki-Islamu. JIREKEBISHE
Najua mkuu niwieni radhi,nimeghafirika maana alikuja pasi na adabu huyu jamaa.
 
Kwa nini serikali haikutaka kujenga bila kushirikiana na yeyote? Wakati huo waislamu walikuwa wamekatazwa kujenga hospitali?
 
Mkuu kwenye kilimo Tabora huwezi kuilinganisha na Njombe hata kidogo. Hadhii ya Njombe ni level ya Mbeya, Ruvuma, Iringa, Manyara, Arusha, Kilimanjaro; then tambua kuwa kwenye malaya kuna FEDHA.
Nachojaribu kuzungumza ni kuwa Tabora hakuna njaa ya chakula.
Maana kuna vyakula vyao na pia kuna mazao yanaotoka Katavi kuilisha Tabora.
Ila ukiona sehemu malaya wengi jua kuna anguko la kiuchumi hapo kiasi wanawake wamekosa namna mpaka wanajiuza.
 
Kwa nini serikali haikutaka kujenga bila kushirikiana na yeyote? Wakati huo waislamu walikuwa wamekatazwa kujenga hospitali?
Unajua waislam wameleta mchango gani katika hili taifa!?
Kwani kulikua hakuna matajiri wa kiislam ambao angeshirikiana nao Nyerere!?
Hata sasa hivi mbona serikali ilikataa kutoa ruzuku kwa taasisi za kiislam licha ya kuona wana mchango mkubwa?
 
Hasa watu wa pwani.

Baraza la mawaziri lina mawaziri sita toka mkoa wa pwani ndio maana tunakopa sana.
 
Waafrika tumekuwa wajinga sana. Kizazi hata kizazi.

Yaani mpaka sasa tunaendelea kufarakanishwa na kugombanishwa kwa misingi na vijitabu vya mababu wa wazungu na waarabu vilivyoandikwa miaka 1500 iliyopita!?
 
Nachojaribu kuzungumza ni kuwa Tabora hakuna njaa ya chakula.
Maana kuna vyakula vyao na pia kuna mazao yanaotoka Katavi kuilisha Tabora.
Ila ukiona sehemu malaya wengi jua kuna anguko la kiuchumi hapo kiasi wanawake wamekosa namna mpaka wanajiuza.
Mkuu hawa unao waita malaya hawa wezi kukaa sehemu ama mahali hamna pesa, maana kama fedha hamna basi na biashara haipo; kwa mfano Dar, warembo hawa utawakuta sehemu zenye mzunguko mzuri wa fedha; kama Coco Beach, sehemu za starehe.
 
Mkuu hawa unao waita malaya hawa wezi kukaa sehemu ama mahali hamna pesa, maana kama fedha hamna basi na biashara haipo; kwa mfano Dar, warembo hawa utawakuta sehemu zenye mzunguko mzuri wa fedha; kama Coco Beach, sehemu za starehe.
Mkuu malaya kuwepo sehemu sio kigezo cha hiyo sehemu kuwa na pesa.
Temeke Sudan karibia na Temeke hospitali kuna malaya kibao kiasi wako radhi uwaingilie hata kwa 2000.
Yani inaonesha jinsi gani umasikini umewala kiasi wakakosa namna wakaamua kuuza utu wao.
 
Punguza ujuaji yani niwe kiongozi wà kanisa hayo makubaliano nisiyajue uyajue wewe
Kiongozi wa kanisa gani!?
Kanisa uchwara labda.
Taasisi ya kikatoliki ya na cardinal unajulia wapi wewe mikataba yao na siri zao!?
Embu kajambe mbele.
Ingekua wewe ni cardinal basi tungezungumza,ila naonekana naongea na mtu asiyefahamu kitu.
 
Wakikosa misaada wanauza Vipande vya nchi
Mbunge wa Morogoro mjini Abood Mwarabu, Mbunge wa Gairo Shabibi Mwarabu, Mbunge wa Mvomero nadhani Mholanzi Van zeeland. Ndo kawaida yao vya kupewa wanapenda, wanadanganywa na khanga, chupa za Chai, Gari la msaada kuzikia. Na asilimia kubwa ni Islamic.
 
Mm ni mkristo lakini katika hilo sikuungi mkono. Waislamu hao ndiyo wamejenga visima lukuki vya maji kila kona ya nchi na hayo maji tunakunywa sote, huko siyo kutoa? Tuache kashfa j na chuki juu ya Imani ya watu wengine.
 
Mkuu polepole, haya mambo ya MUNGU hayataki hasira. Wapi Mwamposa amejenga kanisa?
Mwamposa nimemtolea mfano tu wa dhehebu,badala ya kumtaja Mwamposa pia ningeweza kumtaja Kakobe,Mzee wa upako,Gwajima wote staili zao zinafanana.
Nadhani umepata picha ya nilichokusudia kusema.
Na hata kama huyo Mwamposa hana kanisa sio tatizo ujue bado anajipanga hii haibadilishi chochote kwenye mjadala wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…