King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kila mtu atasemwa kwa ufisadi wake ,kama alifanya kidogo atasemwa kidogo ,akiwa mpigaji sana atasemwa sana tu.Kweli ukiwa kiongozi lazima usemwe, lakini kama nia ya kusema ni kupinga ufisadi, basi ni vyema wote wasemwe kwa usawa, sio kubagua nani asemwe nani asisemwe.
Lakini ana haki ya kufanya hivyo, sheria na taratibu za chama chake zinamruhusu.Kajitakia mwenyewe kwa kuanza kujipanga kwa urais kabla ya wakati.
Lakini yapo mazuri aliyowahi kufanyaHapendeki tu, kakaa kidalali dalali sana.
Baba yake anamponza kuwananga viongozi wakuu. Huu mtindo wa kutengeneza mfumo wa kurithishana unatukera sana sisi raia.Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Januari hana uwezo wowote. Isingekuwa JK na urafiki na Baba yake mzee Makamba Yusuf saa hizi angekuwa msanii wa singeli tu kama Meja Kunta.Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Hata simjui aiseeAliyekuwa Waziri wa mambo ya nje, mbunge wa bumbuli.
Mkuu, mbona nasikia Deo filikunjombe alipewa helicopter ambayo ilitakiwa itumike na JPM, inamaana Ile ndege iliandaliwa na akina January ili kumdhuru JPM?Nje ya mada kidogo:
Nani alihusika kifo cha Deo Filikunjombe?
Makamba alijiharibia baada ya kushangilia kifo cha Magufuli na kuponda mradi wa umeme.
Aende chato aombe msamaha vinginevyo asahau urais
Mkuu Siasa za tz ni hatarishi sana ukikaa kizembe unatema bungo, cunajua sera yetu ni kanyaja Twende.Kama ni fitina basi tunapo elekea tutaona fitina nyingi zaidi, lakini mafisadi wanapaswa kukemewa bila kubagua nani asemwe nani asisemwe.
Kampeni za Jakaya Kikwete na "mtandao" wake zilikuwa chafu.Kama hiyo ndyo sababu, basi alipaswa kuchukiwa na wanaohusika na hiyo nafasi, lakini nashangaa wananchi ndiyo wanaongoza kumsema vibaya, au tayari wamelishwa sumu?
Mkuu sasa nimetambua kwamba sababu ya haya yote ni kiti cha urais, muda ni mwalimu mzuri, wacha tusubiriJanuari hana uwezo wowote. Isingekuwa JK na urafiki na Baba yake mzee Makamba Yusuf saa hizi angekuwa msanii wa singeli tu kama Meja Kunta.
Yaani Samia kampa uwaziri wa nishati baada ya kutemwa na Magufuli. Yeye baada ya kufanya kazi kwa ajili ya Watanzania alikwenda pale kukusanya fedha za ufisadi ili aje agombee uRais wa Tanzania dhidi ya mama Samia mwaka 2025.
Badala yake nchi ikaingia gizani kwa mgawo wa umeme wa miezi 6. Baada ya kuhamishwa wizara kwenda Mambo ya Nje akachukia na akaanza kumtukana mama kwa kumtumia Mange Kimambi wa California kupitia page zake za Instagram.
Mtu mwenyewe hana vyeti baada ya kufukuzwa Galanos kwa kuiba mitihani eti ana ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania??
Januari nakuhakikishia uRais wa Tz utausikiliza kwenye redio na TV tu kama marehemu Lowasa na Seif Sharrif
January fanya mambo mengine, kuna maisha nje ya siasa..... Ni kweli hatukutakiNimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Ni conclude tu kusemwa hakuna ambaye hawezi kuchukiwa hapa duniani kuna msanii mmoja aliiimba bora "Wakuu heshimu wa kukupenda ipo siku watakuchukia"Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Kama anataka kuuza mlima meru, inamaana yeye ndiye aliuza bandari na loliondo?January Makamba yuko kimya sana afatiliwe anafanya nini isije ikawa anatafuta mteja wa kumuuzia Mlima meru
Kawaulize au nenda BUMBULI kaangalie maendeleo aliyoyafanya Kisha urudi tena😀😀Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Mbona wabunge wengi tu wameshindwa kutatua kero za majimbo yao, kwanini January ndyo atolewe kafara kwa kubebeshwa huo mzigo?Kawaulize au nenda BUMBULI kaangalie maendeleo aliyoyafanya Kisha urudi tena😀😀
Hama TANZANIA 🇹🇿 maana hakwepeki ni swala la mda tu. Time will tell!Hata simjui aisee
Bumbuli ndyo wanapaswa kusema hawamtaki kwani wao ndyo humpigia kura, watanzania wengine mnasema hamumtaki bila kutoa sababu za msingi.January fanya mambo mengine, kuna maisha nje ya siasa..... Ni kweli hatukutaki