Kwanini January Makamba anachukiwa kiasi hiki, kipi amewakosea watanzania?

Kwanini January Makamba anachukiwa kiasi hiki, kipi amewakosea watanzania?

Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.

Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?

Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.

Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Kosa lake aliingia 3 bora
 
Januari hana uwezo wowote. Isingekuwa JK na urafiki na Baba yake mzee Makamba Yusuf saa hizi angekuwa msanii wa singeli tu kama Meja Kunta.

Yaani Samia kampa uwaziri wa nishati baada ya kutemwa na Magufuli. Yeye baada ya kufanya kazi kwa ajili ya Watanzania alikwenda pale kukusanya fedha za ufisadi ili aje agombee uRais wa Tanzania dhidi ya mama Samia mwaka 2025.

Badala yake nchi ikaingia gizani kwa mgawo wa umeme wa miezi 6. Baada ya kuhamishwa wizara kwenda Mambo ya Nje akachukia na akaanza kumtukana mama kwa kumtumia Mange Kimambi wa California kupitia page zake za Instagram.

Mtu mwenyewe hana vyeti baada ya kufukuzwa Galanos kwa kuiba mitihani eti ana ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania??

Januari nakuhakikishia uRais wa Tz utausikiliza kwenye redio na TV tu kama marehemu Lowasa na Seif Sharrif
Si naskia alikuwa mtukutu sana ata Forest hill Moro alikuwa mtukutu naskia alishapigwa Hadi risasi ya mguu nawaambia siwapangi
 
Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.

Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?

Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.

Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
January anapenda kuzungumza mambo ki intellectual zaidi, sijawahi kuona intellectual mwingine zaidi ya Nyerere na Lissu aliyekubalika sana katika siasa za Tanzania.

Siasa za Tanzania zinapenda zaidi watu Oya Oya, waswahili swahili na comedians.
 
Mkuu kuzungumza ki intellectual ndy aina gani ya mazungumzo hiyo, nijuze tafadhali
Mwerevu wa taarifa, takwimu na mambo mengi mbalimbali na mwenye kuwasilisha kwa uhodari wa hali ya juu.
 
Mwerevu wa taarifa, takwimu na mambo mengi mbalimbali.
Vyema, sasa kama ni kweli ni mwerevu wa takwimu na mambo mengine, mbona hiyo ni sifa nzuri kabisa na anapaswa kuheshimiwa
 
Back
Top Bottom