Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,819
- 7,638
Mwinyi, Mkapa na Kikwete walifanya nini cha kukumbukwa ili kuanzisha mradi huu mkubwa?Sidhani kama kuna ukweli katika hoja hiyo, kama ambavyo hutaki kutambua mchango wa wengine katika agenda hiyo, nao pia kwa mizani yao, watafanya vile inavowapendeza.
Hata wapambe wanajua, ndio maana Wanatumia nguvu nyingi kukwepa. Sisi tushawajua.Na kwa mara ya kwanza leo Samia kamtaja JPM lakini kwa nusu sekunde na wapambe wake wote January na Maharage wamejitahidi sana kutoa maelezo yao ya karibu kurasa 20 bila kuwataja Kambarage na JPM. wana taabu na hata wamejaribu kumpandikiza Kikwete eti alijaribu kutaka kujenga huo mradi na Kambarage hawakumtaja kabisa wakati pale kuna kibanda alichoishi Kambarage akiuota huo mradi.
samia ana roho mbaya na ni dhahiri kabisa kiasi kwenye miradi yote aliyoianzisha JPM anataka legacy apewe yeye lakini ukienda hata Tegeta mitaani watakuambia nani ni nani
Samia ni roho mbaya sana hivyo kifo cha JPM kwake ni fursa
Poleni sana ila makofi wayopiga watu hapo Rufiji ni ujumbe tosha.
Huu ukoo unaongoza Sasa kuchukiwa hapa bongo. Itabidi wakaoge mara saba.Jamaa ni mchawi ,sema yeye hachawii usiku kama Hawa wanaotusumbua.
Ni mtu wa waganga sana sana .
Mnakumbuka baada ya uchaguzi wa JPM alivyoanza kumponda JPM Kwa vile vipicha vyake !!!
Ana Roho kama ya Baba yake, waswahili tu hao.
Makamba ni mwanaume wa kiislamu anasoma aya inayompa manufaa kama alivyosema mama yao.Ukweli lazima usemwe, kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNHP), hasa kwenye hotuba zenu?
Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere akashindwa, awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE, hawakuwa na habari na mradi huo, waliupa kisogo.
Hayati Magufuli kwa nguvu kubwa na ujasiri usio na shaka akaamua kutekeleza wazo hilo.
Miongoni mwa waliohujumu juhudi za ujenzi wa hili bwawa ni wewe waziri wa sasa wa nishati, January Makamba, kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira, ikapelekea mpaka kuondolewa baraza la mawaziri.
Leo hotuba ya mkurugenzi mkuu Maharage Chande na waziri wake wamejificha kwenye kichaka cha mipasho hasa waziri Makamba.
Nijielekeze kwenye usanii wa waziri Makamba kutambua juhudi za watangulizi kwenye ujenzi wa bwawa hilo, katengeneza zawadi za kutambua michango ya mzee Mwinyi ,na Jakaya, wana mchango gani ikiwa mradi waliupa kisogo?
Makamba junior kawapa medali za kinafiki sana, hata wao wamejisikia aibu sana kupewa medali za ushiriki wao kwa mradi wakati hawajashiriki hata kidogo.,dhambi kubwa sana ikiambatana na unafiki wa hali ya juu.
Huyu kijana ndio anawaza kuwa rais wa hii nchi. Tuna hasara kubwa kama taifa.
Nimpongeze rais Samia kwa kujaribu kuusema ukweli kuhusu kazi kubwa ya hayati Magufuli katika kufanikisha mradi huu.
Kumekuwa na syndicate kupoteza Juhudi za hayati Magufuli kwa kuzimeza kijumla jumla na wasiostahili. Mojawapo ni hilo tukio la kinafiki la kutambua mchango wa hao watanguli kuhusu bwawa hili, wakati si washiriki.
Namalizia kwa kumwambia waziri Makamba na walio nyuma yake kwamba watanzania hawadanganyiki tena, Magufuli aliwafumbua macho.
Huu mchezo wa kujaza vijana mitandaoni kumdhihaki, mmeona leo jinsi likitajwa jina lake makofi na shangwe kama lote.
Nikiashiria kwamba kimwili hatuko naye ila kifikra tukonae, acheni majungu dhidi ya marehemu.
kamuulize mzee Makamba ambaye bado akimuwaza magufuli anaanza kuweweseka2025 kivuli kitachukua fomu ya uraisi kikatatue matatizo ya maji na umeme?
Acha kuuonea moyo kwa kuweka majitu katili ndani yake.Kama suala ni jina la JPM, na kutaka kufuta Legacy yake , msihangaike sana.
Kwanza Daraja Hilo lisiitwe Daraja la JPM.
Lakini pia kama ilivyofanyika Leo, Hizo Medali zenu na Tuzo , muwape wastaafu ambao hawajafa kwakua ni watu wazuri!!.
JPM wetu mtuachie Aishi Moyoni , Nadhani Kwa kufanya hivo sisi watanzania tutamsahau JPM na Nyinyi mtapanda chati 🤣
Hapa huyu mzee alizani anamkashfu Magufuli kumbe ndio anaongea ukweli utakao muumiza yeye milele.“Watu wazuri hawafi” mzee Makamba
Kama hawakufanya kitu, kwanini kila mkizungumzia hili lazima muwahusishe?Mwinyi, Mkapa na Kikwete walifanya nini cha kukumbukwa ili kuanzisha mradi huu mkubwa?
Mimi sijawahi kuunga mkono utekelezaji wa mradi huu lkn najua ni njozi ya mwalimu ambayo hakuna aliyethubutu kuitekeleza isipokuwa mwendazake.
Tuache unafiki na kuwapamba wasiopambika.
Akiweweseka Utingo unapata maji na umeme? Ifike wakati tuachane na mambo yasiyo na matokeo chanya kwenye jamii zetu.kamuulize mzee Makamba ambaye bado akimuwaza magufuli anaanza kuweweseka
Jinyonge wewe na wapumbavu wenzako mnaomlilia huyo dhalim aliyeko jehanamKama umechoka jinyonge.
Hivi siku hizi unauzia wapi hicho kinyeo chako? Unazeeka na ushoga wakoShetani anamjua shetani mwenzake. Ugay pekee ndio unaouweza mengi makubwa kwako.
Samia sio JPM, watu anaowapenda yeye haiwezekani wakawa ni hao hao wanaopendwa na JPM. Hili ni tatizo la wabongo wengi, kumchagulia mtu maadui na marafiki tena wale wa karibu.Anapakwa matope au ndio ukweli wenyewe
Walimpaje ushindi perfomance ya jpm ipo kwa wananchi tangu akiwa waziri .kama makamba alimpa uraisi jpm nadhani 2025 watampa tena mama tuone.Kama Makamba angekuwa ndio Rais Nina hakika ilo bwawa lisingejengwa lingeishia hapo Kwa jinsi walivyokuwa hawamatch
JPM aliwapuuza waliompa ushindi na wao wanampuuza
Makamba hakuwahi kumuomba msamaha JPM usisahau ilo
Nappe, kinana, makamba Mzee walienda kuomba msamaha Makamba Jr hakunda usisahau ilo na JPM hakuwahi mfanya kitu
umedandia gari kwa mbele. hilo ni jibu nilikuwa nampa bwege mmojaAkiweweseka Utingo unapata maji na umeme? Ifike wakati tuachane na mambo yasiyo na matokeo chanya kwenye jamii zetu.
Wakati mwingine reply kwa anayehusika.umedandia gari kwa mbele. hilo ni jibu nilikuwa nampa bwege mmoja
mbona unateseka sana....shida iko wapi? unateseka kwa mtu ambaye wala hunifahamu? camoon. kana huna ngozi ya uvumilivu acha kuingia jfWakati mwingine reply kwa anayehusika.
View attachment 2455369
Hivi mzee km yule tena alikua kiongozi na pia ni mzazi ana watoto na familia ww unamuita choko 🥱🥱.. kibaya zaidi mzee wa watu katangulia mbele za haki [emoji24][emoji24]..lakini ndo tabia zenu watoto wa guest house heshima hakuna.hamuwezi kumfufua huyo choko wenu???