Kwanini January Makamba unakataa kutambua nguvu na juhudi za hayati Magufuli kwenye JNPP?

Kwanini January Makamba unakataa kutambua nguvu na juhudi za hayati Magufuli kwenye JNPP?

Jamani magufuri amekufa hebu tuondoleeni upumbavu wake hapa
 
Hivi kama hayati JPM angekuwepo January Makamba angepiga dili kama la Mahindra Tech? Bil 81 na ushee ambazo Mahidra tech walikula nae bila kazi yoyote ya maana kwa taifa letu.

Leo hii anadiriki kumchafua hayati JPM kwa chuki tu.

Kisa rais aliyepo anafumbia ufisadi anaofanya.
 
Una ushahidi?

Yesu alipofika karibu aliuona Mji akaulilia akisema laiti ungelijua yapasayo laiti ungelijua Amani
 
Jamaa alivyokuwa waziri wa mazingira awamu ya Magufuli alipinga ujenzi wa bwawa la umeme, ila ktk awamu ya mama akapewa uwazir wa nishati mgao ukaanza na bwawa likaanza kusua sua mara sijui tunasubir clane toka china
 
Jamaa alivyokuwa waziri wa mazingira awamu ya Magufuli alipinga ujenzi wa bwawa la umeme, ila ktk awamu ya mama akapewa uwazir wa nishati mgao ukaanza na bwawa likaanza kusua sua mara sijui tunasubir clane toka china
Makamba Jr ni hazard kwa taifa letu
 
Hivi kama hayati JPM angekuwepo January Makamba angepiga dili kama la Mahindra Tech? Bil 81 na ushee ambazo Mahidra tech walikula nae bila kazi yoyote ya maana kwa taifa letu.

Leo hii anadiriki kumchafua hayati JPM kwa chuki tu.

Kisa rais aliyepo anafumbia ufisadi anaofanya.
Thubutu!
 
Ukweli lazima usemwe, kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNHP), hasa kwenye hotuba zenu?

Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere akashindwa, awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE, hawakuwa na habari na mradi huo, waliupa kisogo.

Hayati Magufuli kwa nguvu kubwa na ujasiri usio na shaka akaamua kutekeleza wazo hilo.

Miongoni mwa waliohujumu juhudi za ujenzi wa hili bwawa ni wewe waziri wa sasa wa nishati, January Makamba, kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira, ikapelekea mpaka kuondolewa baraza la mawaziri.

Leo hotuba ya mkurugenzi mkuu Maharage Chande na waziri wake wamejificha kwenye kichaka cha mipasho hasa waziri Makamba.

Nijielekeze kwenye usanii wa waziri Makamba kutambua juhudi za watangulizi kwenye ujenzi wa bwawa hilo, katengeneza zawadi za kutambua michango ya mzee Mwinyi ,na Jakaya, wana mchango gani ikiwa mradi waliupa kisogo?

Makamba junior kawapa medali za kinafiki sana, hata wao wamejisikia aibu sana kupewa medali za ushiriki wao kwa mradi wakati hawajashiriki hata kidogo.,dhambi kubwa sana ikiambatana na unafiki wa hali ya juu.

Huyu kijana ndio anawaza kuwa rais wa hii nchi. Tuna hasara kubwa kama taifa.

Nimpongeze rais Samia kwa kujaribu kuusema ukweli kuhusu kazi kubwa ya hayati Magufuli katika kufanikisha mradi huu.

Kumekuwa na syndicate kupoteza Juhudi za hayati Magufuli kwa kuzimeza kijumla jumla na wasiostahili. Mojawapo ni hilo tukio la kinafiki la kutambua mchango wa hao watangulizi kuhusu bwawa hili, wakati si washiriki.

Namalizia kwa kumwambia waziri Makamba na walio nyuma yake kwamba watanzania hawadanganyiki tena, Magufuli aliwafumbua macho.

Huu mchezo wa kujaza vijana mitandaoni kumdhihaki, mmeona leo jinsi likitajwa jina lake makofi na shangwe kama lote.

Nikiashiria kwamba kimwili hatuko naye ila kifikra tukonae, acheni majungu dhidi ya marehemu.
Makamba ndio anatajwa kumiliki hekalu kubwa huko Dubai la mabilioni ya dola, hawa watu wanalewa sana na utajiri wa kidunia wakisahau kuwa haya maisha ni mafupi sana.

Dada yake Mwamvita ni mponda maisha kupindukia kiatu akikivaa Kim Kardashian jumamosi jioni akaweka picha kwenye kurasa zake za mitandaoni Jumatatu mchana Mwamvita ataweka picha amekivaa kiatu kile kile mtandaoni.

Hizi starehe za dada mtu zina presha ya moja kwa moja kwenye cheo cha kaka mtu.
 
Makamba ndio anatajwa kumiliki hekalu kubwa huko Dubai la mabilioni ya dola, hawa watu wanalewa sana na utajiri wa kidunia wakisahau kuwa haya maisha ni mafupi sana.

Dada yake Mwamvita ni mponda maisha kupindukia kiatu akikivaa Kim Kardashian jumamosi jioni akaweka picha kwenye kurasa zake za mitandaoni Jumatatu mchana Mwamvita ataweka picha amekivaa kiatu kile kile mtandaoni.

Hizi starehe za dada mtu zina presha ya moja kwa moja kwenye cheo cha kaka mtu.
Pia kuna muda wao kusaga meno, believe in me,muhimu wapewe maisha marefu
 
Ukweli lazima usemwe, kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNHP), hasa kwenye hotuba zenu?

Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere akashindwa, awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE, hawakuwa na habari na mradi huo, waliupa kisogo.

Hayati Magufuli kwa nguvu kubwa na ujasiri usio na shaka akaamua kutekeleza wazo hilo.

Miongoni mwa waliohujumu juhudi za ujenzi wa hili bwawa ni wewe waziri wa sasa wa nishati, January Makamba, kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira, ikapelekea mpaka kuondolewa baraza la mawaziri.

Leo hotuba ya mkurugenzi mkuu Maharage Chande na waziri wake wamejificha kwenye kichaka cha mipasho hasa waziri Makamba.

Nijielekeze kwenye usanii wa waziri Makamba kutambua juhudi za watangulizi kwenye ujenzi wa bwawa hilo, katengeneza zawadi za kutambua michango ya mzee Mwinyi ,na Jakaya, wana mchango gani ikiwa mradi waliupa kisogo?

Makamba junior kawapa medali za kinafiki sana, hata wao wamejisikia aibu sana kupewa medali za ushiriki wao kwa mradi wakati hawajashiriki hata kidogo.,dhambi kubwa sana ikiambatana na unafiki wa hali ya juu.

Huyu kijana ndio anawaza kuwa rais wa hii nchi. Tuna hasara kubwa kama taifa.

Nimpongeze rais Samia kwa kujaribu kuusema ukweli kuhusu kazi kubwa ya hayati Magufuli katika kufanikisha mradi huu.

Kumekuwa na syndicate kupoteza Juhudi za hayati Magufuli kwa kuzimeza kijumla jumla na wasiostahili. Mojawapo ni hilo tukio la kinafiki la kutambua mchango wa hao watangulizi kuhusu bwawa hili, wakati si washiriki.

Namalizia kwa kumwambia waziri Makamba na walio nyuma yake kwamba watanzania hawadanganyiki tena, Magufuli aliwafumbua macho.

Huu mchezo wa kujaza vijana mitandaoni kumdhihaki, mmeona leo jinsi likitajwa jina lake makofi na shangwe kama lote.

Nikiashiria kwamba kimwili hatuko naye ila kifikra tukonae, acheni majungu dhidi ya marehemu.

Daaaah!! :Drake: thetallest uliona mbali sana. Mungu aendelee kukupa macho ya darubini kali zaidi.​

 
Back
Top Bottom