innosaint gerald
Member
- Jan 2, 2017
- 30
- 32
Nyie ndio kina makamba mnaobeza juhudi za wale waliokuwa na uthubutu. Hopeless kabisa ww.Tumechoka na hizo ishu za huyo mfu wenu, kama vipi mwambieni gwajiboy amuibue upya kwa vile anayo makarama ya kufufua wafu.
Kwa kuwa haujui unalolinena, Sio kosa lako, ila siku ukija kujua, utalia na kusaga meno.Yesu mbona hamchoki naye, si ni mfu pia? Usitupangie wewe.
Kusaga meno kwa yesu wa picha za kanisani?,nani alikwambia huyo ndio yesu mwenyewe?Kwa kuwa haujui unalolinena, Sio kosa lako, ila siku ukija kujua, utalia na kusaga meno.
Mfu wenu yupo motoni anaokwa kama ndafu dadeqYesu mbona hamchoki naye, si ni mfu pia? Usitupangie wewe.
Tuliza kishundu hicho mfu wenu anapokea ujira wake jehanamMbona Yesu na Muddy hamuwachoki, si wafu wale?
Kwanini sasa tupangiane?
Mjane bado unaombokeza tu,olewa yule mjinga harudi tenaBasi hilo bwawa kajenga Makamba na familia yake......nyie level yenu ni kuchimba kisima sawa wewe pimbi...
Tuliza kishundu hicho mfu wenu anapokea ujira wake jehanam
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Makamba Jr ni hazard kwa taifa letuJamaa alivyokuwa waziri wa mazingira awamu ya Magufuli alipinga ujenzi wa bwawa la umeme, ila ktk awamu ya mama akapewa uwazir wa nishati mgao ukaanza na bwawa likaanza kusua sua mara sijui tunasubir clane toka china
Thubutu!Hivi kama hayati JPM angekuwepo January Makamba angepiga dili kama la Mahindra Tech? Bil 81 na ushee ambazo Mahidra tech walikula nae bila kazi yoyote ya maana kwa taifa letu.
Leo hii anadiriki kumchafua hayati JPM kwa chuki tu.
Kisa rais aliyepo anafumbia ufisadi anaofanya.
Makamba ndio anatajwa kumiliki hekalu kubwa huko Dubai la mabilioni ya dola, hawa watu wanalewa sana na utajiri wa kidunia wakisahau kuwa haya maisha ni mafupi sana.Ukweli lazima usemwe, kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNHP), hasa kwenye hotuba zenu?
Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere akashindwa, awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE, hawakuwa na habari na mradi huo, waliupa kisogo.
Hayati Magufuli kwa nguvu kubwa na ujasiri usio na shaka akaamua kutekeleza wazo hilo.
Miongoni mwa waliohujumu juhudi za ujenzi wa hili bwawa ni wewe waziri wa sasa wa nishati, January Makamba, kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira, ikapelekea mpaka kuondolewa baraza la mawaziri.
Leo hotuba ya mkurugenzi mkuu Maharage Chande na waziri wake wamejificha kwenye kichaka cha mipasho hasa waziri Makamba.
Nijielekeze kwenye usanii wa waziri Makamba kutambua juhudi za watangulizi kwenye ujenzi wa bwawa hilo, katengeneza zawadi za kutambua michango ya mzee Mwinyi ,na Jakaya, wana mchango gani ikiwa mradi waliupa kisogo?
Makamba junior kawapa medali za kinafiki sana, hata wao wamejisikia aibu sana kupewa medali za ushiriki wao kwa mradi wakati hawajashiriki hata kidogo.,dhambi kubwa sana ikiambatana na unafiki wa hali ya juu.
Huyu kijana ndio anawaza kuwa rais wa hii nchi. Tuna hasara kubwa kama taifa.
Nimpongeze rais Samia kwa kujaribu kuusema ukweli kuhusu kazi kubwa ya hayati Magufuli katika kufanikisha mradi huu.
Kumekuwa na syndicate kupoteza Juhudi za hayati Magufuli kwa kuzimeza kijumla jumla na wasiostahili. Mojawapo ni hilo tukio la kinafiki la kutambua mchango wa hao watangulizi kuhusu bwawa hili, wakati si washiriki.
Namalizia kwa kumwambia waziri Makamba na walio nyuma yake kwamba watanzania hawadanganyiki tena, Magufuli aliwafumbua macho.
Huu mchezo wa kujaza vijana mitandaoni kumdhihaki, mmeona leo jinsi likitajwa jina lake makofi na shangwe kama lote.
Nikiashiria kwamba kimwili hatuko naye ila kifikra tukonae, acheni majungu dhidi ya marehemu.
Pia kuna muda wao kusaga meno, believe in me,muhimu wapewe maisha marefuMakamba ndio anatajwa kumiliki hekalu kubwa huko Dubai la mabilioni ya dola, hawa watu wanalewa sana na utajiri wa kidunia wakisahau kuwa haya maisha ni mafupi sana.
Dada yake Mwamvita ni mponda maisha kupindukia kiatu akikivaa Kim Kardashian jumamosi jioni akaweka picha kwenye kurasa zake za mitandaoni Jumatatu mchana Mwamvita ataweka picha amekivaa kiatu kile kile mtandaoni.
Hizi starehe za dada mtu zina presha ya moja kwa moja kwenye cheo cha kaka mtu.
JK alimuona hayati JPM kuwa ni mshamba wakati ukweli yeye na marafiki zake ndio malimbukeni wa kutupwa.Pia kuna muda wao kusaga meno, believe in me,muhimu wapewe maisha marefu
Rudia tena kusemaJK alimuona hayati JPM kuwa ni mshamba wakati ukweli yeye na marafiki zake ndio malimbukeni wa kutupwa.
Ukweli lazima usemwe, kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNHP), hasa kwenye hotuba zenu?
Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere akashindwa, awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE, hawakuwa na habari na mradi huo, waliupa kisogo.
Hayati Magufuli kwa nguvu kubwa na ujasiri usio na shaka akaamua kutekeleza wazo hilo.
Miongoni mwa waliohujumu juhudi za ujenzi wa hili bwawa ni wewe waziri wa sasa wa nishati, January Makamba, kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira, ikapelekea mpaka kuondolewa baraza la mawaziri.
Leo hotuba ya mkurugenzi mkuu Maharage Chande na waziri wake wamejificha kwenye kichaka cha mipasho hasa waziri Makamba.
Nijielekeze kwenye usanii wa waziri Makamba kutambua juhudi za watangulizi kwenye ujenzi wa bwawa hilo, katengeneza zawadi za kutambua michango ya mzee Mwinyi ,na Jakaya, wana mchango gani ikiwa mradi waliupa kisogo?
Makamba junior kawapa medali za kinafiki sana, hata wao wamejisikia aibu sana kupewa medali za ushiriki wao kwa mradi wakati hawajashiriki hata kidogo.,dhambi kubwa sana ikiambatana na unafiki wa hali ya juu.
Huyu kijana ndio anawaza kuwa rais wa hii nchi. Tuna hasara kubwa kama taifa.
Nimpongeze rais Samia kwa kujaribu kuusema ukweli kuhusu kazi kubwa ya hayati Magufuli katika kufanikisha mradi huu.
Kumekuwa na syndicate kupoteza Juhudi za hayati Magufuli kwa kuzimeza kijumla jumla na wasiostahili. Mojawapo ni hilo tukio la kinafiki la kutambua mchango wa hao watangulizi kuhusu bwawa hili, wakati si washiriki.
Namalizia kwa kumwambia waziri Makamba na walio nyuma yake kwamba watanzania hawadanganyiki tena, Magufuli aliwafumbua macho.
Huu mchezo wa kujaza vijana mitandaoni kumdhihaki, mmeona leo jinsi likitajwa jina lake makofi na shangwe kama lote.
Nikiashiria kwamba kimwili hatuko naye ila kifikra tukonae, acheni majungu dhidi ya marehemu.