Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Dah, umenikumbusha mbali ulipomtaja Charles de Gaulle ππ½Israel viongozi wake wa jeshi huwa wako competent mno sio kama Nigeria uko. Hata Ufaransa ile vita ya pili ya dunia walikuwa na majenerali hamna kitu mpaka alipojitokeza Charles de Gaulle akiwa uhamishoni
Benjamin hakuwepo Entebbe, alikuwa anaongoza kikosi chake cha spec ops kingine. Ndugu yao wa mwisho ndiye aliyekuwa team member kwa unit ya Sayeret Matkal, hakuwahi kuwa commander kama wenzake wawili.Ina maana mkuu Netanyahus kule Entebe walikuwa wawili? Yona Netanyahu alikuwepo na ndiye aliyeuwawa kwenye tukio hilo. Vipi kuhusu Benyamini naye alikuwepo?
Kila mjomba atakaeliwa risasi alafu aendelee vita, baada ya kutibiwa yaani akiwa bado na ma bandage yake basi cheo cha u generali wakipata kule! π€£ π€£ π€£Sudan Kusini wa generals zaidi ya 700[emoji23][emoji23]
Hehe, mwanadamu sio kamili. Kachanganya mafaili tuKwa hiyo mleta mada katupiga kudai waziri mkuu wa Sasa wa Israel alikuwepo Entebe siku hiyo.
Pale kuna mchezo mbaya ulifanyika, na yule kijana wake anajua. Vipi ukubali chief awe mbele kuongoza strike na yeye hata bado ako madarakani kama rais? Hivi hakukua na vijana mahiri wangekuwa frontline? Africa hii dadeq! π€£ π€£ π€£... ha ha ha! Umenikumbusha Iddris DerbyMarshal of Chadaliyeuwawa kwa mkuki na mwasi mmoja hivi haribuni siku chache kabla ya kuapishwa tena kwa awamu ya sita ya urais Chad!
Hajui licha ya Benjamin na nduguze kuwa viongozi wa vikundi Special vya kijeshi na kufanya Operation kibao successful, hakuna aliwahi kufikia hicho cheo cha Rav Aluf. Ingekuwa nchi nyingine hao jamaa wangekuwa na minyota kibao mabegani! π€£ π€£ π€£... kaka; Rav Aluf (Lieutenant General), the highest military rank in IDF ni zaidi ma-Field Marshall unaowajua wewe! Kuwa Lieutentant General isikuchanganye ukadhani ni sawa na Lieutenant General wa shitholes! Hizo ni namba nyingine!
Acha uongo, Benjamin hakushiriki Entebbe, hakuwezi kuwa na ma commander wawili kwenye elite commando unit moja ya Sayeret Matkal. πHata huyu alishiriki,brother wake ndio alipoteza maisha uwanja wa vita.
Nafikiri familia yao wote,watoto wa kiume ni members wa elite force
π π π π π π π π π π Tupe link ya hiyo rehersal basi...! π€£Hapana yule alikuwa kaka yake na alikua operation kamanda ,kabla ya oparation kifanyika alijua kabisa yeye atakufa maana kabla ya operation walifanya rehersal ikaonekana kuna watu watapigwa risasi akiwemo yeye
Wacha hata sheria yao mkuu, hiyo iko kila pahali, huwezi pata kundi/Unit moja ya special ops, sana sana huwa na members 4-5, ikiwa na Commander wawili. It's a No!Katika sheria za israel kwenye mission yoyote ya hatari kama ile ni marufuku ndugu wa tumbo moja kushirikia kama wewe na kaka yako ni makomandoo basi anachukuliwa mmoja tu.benjamin netanyahu hakuwemo kwenye ile operation kwa kuwa alikuwemo ndugu yake huyo.
Huyo uliyemtaja, Benjamin, ndiye PM wa Israel sahi mkuu!Hakuna sehemu nimemzungumzia waziri mkuu wa sasa,soma vizuri uzi wangu mkuu.
Mwamba unatuuza aliyeshiriki ni al mahrum kakake Jonathan ' Yono ' Netanyahu....mwaka 1976 mission in Entebbe alikuwa military colonel wa Special forces ilipotekwa ndege ya Air France..Israel upewi nyota au kupandishwa cheo kwa kukaa darasani au kisiasa,kule lazima ufanikishe mission maalum,au upate mafunzo yahari ya juu kiasi fulani,
Waziri mkuu wa sasa hv ni komandoo,special forces,alishiriki kwenye operation ya entebe ya kuokoa wanaisrsel waliokuwa wametekwa.
Sio hapa kwetu ukikuta general ana likitambi kama pipa,hajawahi kwenda kwenye mission yoyote,zaidi ya kukaa ofcn,kuingiza ndugu zake jeshini,na kula rushwa tu.
Hivo vikundi vingine hata visingekuwepo kazi zingeenda. Haganah ndio lilizusha revolts kwa Waingereza, likavamia maeneo ya Palestinians na kulinda Jewish settlements. Yitzhak Rabin mwenyewe alikuwa member wa kundi hili. Hili ndio lilikuja kurasimishwa kuwa jeshi, hivo vingine role yake ndogo.Siyo Haganah peke yake kulikuwa pia na Palmach na vingine.
Kuanzia juu hadi chini πHebe weka mtiririko wa vyeo vya jeshi hapa na sifa zao toka chini hadi rank ya juu kabisa!!!
Juzi tayari kuna baadhi walio serve AU kule Somalia, tayari washafanywa ma generali! π€£Hapo uganda tu,kuna utitiri wa majenerali.
Famous members of the Haganah included Yitzhak Rabin, Ariel Sharon, Rehavam Ze'evi, Dov Hoz, Moshe Dayan, Yigal Allon and Dr. Ruth Westheimer.Hivo vikundi vingine hata visingekuwepo kazi zingeenda. Haganah ndio lilizusha revolts kwa Waingereza, likavamia maeneo ya Palestinians na kulinda Jewish settlements. Yitzhak Rabin mwenyewe alikuwa member wa kundi hili. Hili ndio lilikuja kurasimishwa kuwa jeshi, hivo vingine role yake ndogo.
Hata jina rasmi la jeshi la Israel hivi sasa lina neno Haganah
Siyo kweli,vikundi vyote viliunganishwa na kuunda IDF chini ya David Ben Gurion.Tafuta kundi lilomuua Count Benadote ,utamkuta Yitzak Shamir aliyekuja kuwa waziri mkuu wakati wa intifadha ya kwanza.Hivo vikundi vingine hata visingekuwepo kazi zingeenda. Haganah ndio lilizusha revolts kwa Waingereza, likavamia maeneo ya Palestinians na kulinda Jewish settlements. Yitzhak Rabin mwenyewe alikuwa member wa kundi hili. Hili ndio lilikuja kurasimishwa kuwa jeshi, hivo vingine role yake ndogo.
Hata jina rasmi la jeshi la Israel hivi sasa lina neno Haganah
IrgunSiyo kweli,vikundi vyote viliunganishwa na kuunda IDF chini ya David Ben Gurion.Tafuta kundi lilomuua Count Benadote ,utamkuta Yitzak Shamir aliyekuja kuwa waziri mkuu wakati wa intifadha ya kwanza.