Kwa nyongeza, ni komandoo peke yake aliyefariki katika hii mission, wengine wote walirudi salama salimini...Nikusahihishe kidogo yule wa mission Entebbe ni kaka wa huyu kwa jina Jonathan Netanyahu. Na alipoteza maisha yake hapo hapo Entebbe
Mtoto wake ni producer wa moviesView attachment 1784987
Moshe Dayan Mzee wa kijicho kimoja, alikua hatari sana huyu mwamba..!!!
😀😀😀😀Juzi tayari kuna baadhi walio serve AU kule Somalia, tayari washafanywa ma generali! 🤣
Mwamba unatuuza aliyeshiriki ni al mahrum kakake Jonathan ' Yono ' Netanyahu....mwaka 1976 mission in Entebbe alikuwa military colonel wa Special forces ilipotekwa ndege ya Air France..
Benjamin'Bibi' Netanyahu ni mchumia tumbo kama wanasiasa wengine tu..ndo maana hata Benny Gantz alimpiga kwenye election kaishia Ministry of Defence ambayo kwa Israel ndio roho na survival ya nchi....
Walikuwa mabraza watatu, mkubwa akiwa Yona, na wote walikuwa spec ops operators.Huyo Benjamin ameshiriki operation nyingi mno mfuatilie kwao karibia wote ni makomandoo
Africa ni vyeo vya kupeana tu wakati kijeshi hawapo vizuri, yaani madikteta yanawapa vyeo ili yalindweNilikua naangalia vita inayoendelea huko 'Middle East' kati ya Israel na wapalestina.
Nimegundua Jeshi la Israeli halina Four Stars General, Mkuu wa Jeshi la Israeli ni Lieutenant General (3 Stars General)
Kwa nin iko hivyo na wakati Majeshi ya Kiafrika ambayo ni very weak lakini yana mpaka Marshall?
... na mamedali yasiyo na idadi kila aina ya rangi vifuani kulia na kushoto wakati Rav Aluf sana sana utakuta "bawa" tu kwenye mfuko wa kushoto.Hajui licha ya Benjamin na nduguze kuwa viongozi wa vikundi Special vya kijeshi na kufanya Operation kibao successful, hakuna aliwahi kufikia hicho cheo cha Rav Aluf. Ingekuwa nchi nyingine hao jamaa wangekuwa na minyota kibao mabegani! 🤣 🤣 🤣
Bro ingependeza sana kama ungekuwa una update uzi kulingana na majibu ya watu. Wenye majibu mazuri yaweke hapo juu.Nilikua naangalia vita inayoendelea huko 'Middle East' kati ya Israel na wapalestina.
Nimegundua Jeshi la Israeli halina Four Stars General, Mkuu wa Jeshi la Israeli ni Lieutenant General (3 Stars General)
Kwa nin iko hivyo na wakati Majeshi ya Kiafrika ambayo ni very weak lakini yana mpaka Marshall?
Africa hoyee!!!🤣 🤣 🤣... na mamedali yasiyo na idadi kila aina ya rangi vifuani kulia na kushoto wakati Rav Aluf sana sana utakuta "bawa" tu kwenye mfuko wa kushoto.
Israel upewi nyota au kupandishwa cheo kwa kukaa darasani au kisiasa,kule lazima ufanikishe mission maalum,au upate mafunzo yahari ya juu kiasi fulani,
Waziri mkuu wa sasa hv ni komandoo,special forces,alishiriki kwenye operation ya entebe ya kuokoa wanaisrsel waliokuwa wametekwa.
Sio hapa kwetu ukikuta general ana likitambi kama pipa,hajawahi kwenda kwenye mission yoyote,zaidi ya kukaa ofcn,kuingiza ndugu zake jeshini,na kula rushwa tu.
Alikuwa kaka yake au mdogo wake sio yeyeIsrael upewi nyota au kupandishwa cheo kwa kukaa darasani au kisiasa,kule lazima ufanikishe mission maalum,au upate mafunzo yahari ya juu kiasi fulani,
Waziri mkuu wa sasa hv ni komandoo,special forces,alishiriki kwenye operation ya entebe ya kuokoa wanaisrsel waliokuwa wametekwa.
Sio hapa kwetu ukikuta general ana likitambi kama pipa,hajawahi kwenda kwenye mission yoyote,zaidi ya kukaa ofcn,kuingiza ndugu zake jeshini,na kula rushwa tu.
Alikuwa mkubwa wao, yaani first bornAlikuwa kaka yake au mdogo wake sio yeye
Hawa ndugu wawili Jonathan Netanyahu na Benjamin Netanyahu alikuwepo kwenye Op Ent alikua Jonathan ,na ndiye aliouawa, Huyu Waziri Mkuu anaitwa Benjamin NetanyahuIna maana mkuu Netanyahus kule Entebe walikuwa wawili? Yona Netanyahu alikuwepo na ndiye aliyeuwawa kwenye tukio hilo. Vipi kuhusu Benyamini naye alikuwepo?
Safi kabisa mkuu.... Nina documentary nyingi sana za SS kuanzia kina Marshall Rommel, Von Manstein na zile battles decisive kma Kursk na Tank battle ya Hochwald gap.Huwa sifatilii sana jeshi la Israel sina mwamko nalo. Nakomaa na iliyokuwa Nazi Germany ambayo ni very complex, na pia Russia
Hapana mkuu hakuna uzi specifically nilikozungumzia ila mara chache inatokea nagusia kidogo. Mostly humu wanapenda kuzungumzia current trending issues. Alafu pia sipendi kuanzisha uzi kwa hiyo unakuta vitu vingi vya kusema lakini tunakosa pa kuchangia.Safi kabisa mkuu.... Nina documentary nyingi sana za SS kuanzia kina Marshall Rommel, Von Manstein na zile battles decisive kma Kursk na Tank battle ya Hochwald gap.
Kuna nyuzi umezungumzia Nazi germany unipe link mkuu?
Wakati wa operation Entebbe, Benjamin Netanyahu alikuwa America masomoni. Hivyo hakushiriki kwa namna yoyote ile. Na kwenye operation hiyo kulikuwa na LT COL Jonathan au Yonathan Netanyahu mmoja tu na alikuwa ndiye kiongozi wa operation hiyo.Hata huyu alishiriki,brother wake ndio alipoteza maisha uwanja wa vita.
Nafikiri familia yao wote,watoto wa kiume ni members wa elite force
Itabidi nikufollow niwe naona comment zako hasa mada kama hizi za kijeshi, Seems u have a lot in store.Hapana mkuu hakuna uzi specifically nilikozungumzia ila mara chache inatokea nagusia kidogo. Mostly humu wanapenda kuzungumzia current trending issues. Alafu pia sipendi kuanzisha uzi kwa hiyo unakuta vitu vingi vya kusema lakini tunakosa pa kuchangia.
Dessert Fox alikuwa vizuri kapigana na kina Field Marshall Monty wakiwa na silaha kibao na supplies za kutosha ila wakaja kumshinda alipoishiwa ammunition. Namkubali kwa vile pia alikuwa na utu sio kama kina Himmler na Reinhard Heydrich ambao ni wakatili alafu vitani wazembe.
Ila SS walikuwa na jeshi kamilifu bahati nzuri Hitler alikuwa mjuaji. Alitoka jeshini akiwa na rank ndogo mno ila akataka kuongoza majenerali wake kupigana na nchi nyingi wakati hakuwahi ongoza hata company wala group. Bora Stalin aliwaachia kina Rokossovsky na Zhukov