Pre GE2025 Kwanini Jeshi la polisi liruhusu kongamano la vijana Duniani kwa Vijana wa CCM na ACT Wazalendo na kuzuia la Vijana wa CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata huo ukichaa ni lazima uambiwe; hakuna mTanzania anayekubali hadaa tena.
nakuombea tu Neema na Baraka za Mungu Moyo wako usipasuke, maana mihemko ghadhabu sio kitu kizuri moyoni πŸ’
 
Unaombea wapi?
Hizo balaa usizielekezekwangu. Mtu wa aina yako huna baraka yoyote.
Basi Mungu akuhurumie akuondolee na kukuepusha na chuki, mihemko na roho ya kuyaporomosha bila hata sababu πŸ’
 
Hata kwenye hizo akili zilizo vurugwa na bangi na ukichaa, najuwa hofu kubwa imetandakwa yanayofuata.
sure,
mwenye hofu na mwenye kukata tamaa amejaa hasira, moyoni, mihemko na ghadhabu moyoni kupindukia , daima ni mkali sana 🀣
 
pokea Neema na Baraka za Mungu na upumzike salama na kwa Amani, Aimen πŸ™
Mwombe sana huyo mungu wako akuonyeshe ujinga mnao wafanyia waTanzania. Nenda katubu kwake akusaidie kuachana na hizi bange mbaya na akuponye huu ukichaa unao kusumbua.
 
Jusa na Mwinyi ni vijana?
Tundu Lisu,Sugu na Mnyika na Mbowe nao NI vijana?

Hongereni Chadema pia Kwa kusherehekea siku ya vijana duniani

Kusherehekea sikukuu ni popote hata rumande

Hongereni sana
 
Polisi hongereni sana kwa kuwakabili hao wanaotaka kuonyesha viashiria vya uvunjovu wa amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…