ushauri mzuri wa kiungwana kabisa, lakini wataishia kupandisha mihemko zaidi na pengine kukuporomoshea matusi tena πErythrocyte tatizo la CDM ni mihemko. Wajifunze kuandaa mikakati kimya kimya na kijasusi!
Nikikabiliana na shetani anayejifanya mpole, silaha yoyote ni lazima itumike. Kwa watu wa aina yenu hakuna kuchagua silaha inayofaa. Yoyote inafaa mradi ifanye kazi.si inaonyesha dhahiri shahiri gentleman unavyo yaporomosha kwa nyakati tofauti tofauti π
unamzungumzia chairman MBOWE au vice chairman WENJE gentleman?π€£Yeye alibweka bweka watu wakajuwa ukichaa wake ulipo. Huyu unayempigania hapa ukichaa wake ni wa kujichekesha huku akifanya maovu yale yale; kama wewe unavyojifanya kuwa .
Huyo unamjuwa wewe, mbona umemkazania sana hapa? Kashindwa kulipa deni mlilo mkopesha?unamzungumzia chairman MBOWE au vice chairman WENJE gentleman?π€£
ukweli haunaga upole wala kukabiliana na yeyote, daima unajitosheleza na unajitegemea πNikikabiliana na shetani anayejifanya mpole, silaha yoyote ni lazima itumike. Kwa watu wa aina yenu hakuna kuchagua silaha inayofaa. Yoyote inafaa mradi ifanye kazi.
Upumbavu wa tamaduni zenu huko usifikiri unatumika kila mahali kwa ufanisi.ukweli haunaga upole wala kukabiliana na yeyote, daima unajitosheleza na unajitegemea π
hayo mengine ya kishirikina deal nayo wewe but ukweli utabaki kama ulivyo π
Makamu mwenyekiti mpya Taifa au?π€£Huyo unamjuwa wewe, mbona umemkazania sana hapa? Kashindwa kulipa deni mlilo mkopesha?
Hangaika unavyotaka mwenyewe. Nipo hapa kwa niaba ya waTanzania mnao waodhani ni wajinga kuamini hadaa zenu.Makamu mwenyekiti mpya Taifa au?π€£
nilijua tu Lazima ukweli uibue mihemko na ghadhabu tena kwasabb hakuna mwenye mihemko anapenda kuambiwa ukweli....Upumbavu wa tamaduni zenu huko usifikiri unatumika kila mahali kwa ufanisi.
Tatizo ni hizo bangi zako na ukichaa; bado huelewi?nilijua tu Lazima ukweli uibue mihemko na ghadhabu tena kwasabb hakuna mwenye mihemko anapenda kuambiwa ukweli....
mimi kiongozi wa wananchi na wananchi wangu, mathalani hapa jimboni tumekamilisha mipango na vipaumbele muhimu kwa ufanisi mkubwa mno, mpaka mwisho wa mwaka huu ufanisi utakua ni zaidi ya 100%π
kwani kuna tatizo lolote hapo muungwana? π
siwezi babaika wala kuhangaika na mtu moja mie,Hangaika unavyotaka mwenyewe. Nipo hapa kwa niaba ya waTanzania mnao waodhani ni wajinga kuamini hadaa zenu.
Ndio ukichaa wenyewe huo kama hujui!siwezi babaika wala kuhangaika na mtu moja mie,
kuna mamilioni ya raia ndio nahangaika nao ili wapate mahitaji yao muhimu kwa uhakika , waporomoshaji nao wamo na tunakwenda nao vivyo hivyo π
ile kaz ya maana na muhimu zaidi, ni kuwaleta wananchi maendeleo, na hiyo naifanya kwa bidii, weledi na maarifa sana mpaka hawa wanainchi wapate maendeleo πTatizo ni hizo bangi zako na ukichaa; bado huelewi?
Kamwambie anaye kuleta hapa kila siku, kuwa hiyo kazi uliyo tumwa huiwezi.
Hata huo ukichaa ni lazima uambiwe; hakuna mTanzania anayekubali hadaa tena.ile kaz ya maana na muhimu zaidi, ni kuwaleta wananchi maendeleo, na hiyo naifanya kwa bidii, weledi na maarifa sana mpaka hawa wanainchi wapate maendeleo π
hiyo ndio kazi pekee nafanya
nguvu inapaswa kutumika kufanya kazi na sio kuhemka na kuanza kuyaporomosha π€£Ndio ukichaa wenyewe huo kama hujui!
Unataka hadi ubebwe kwa nguvu ukapate huduma?
Nguvu pekee iliyo baki ni kuwafurumusha washenzi nyie.nguvu inapaswa kutumika kufanya kazi na sio kuhemka na kuanza kuyaporomosha π€£