Kwanini Jeshi la Polisi mnamuacha Mdude Nyagali anamdhalilisha Rais wetu pasipo kumchukulia hatua?

Tangia lini Mdude akawa na uwezo wa kujenga hoja? Kama unaona Mdude ni mjenga hoja basi utakuwa na tatizo kubwa sana
..Kama huwezi ku-appreciate hoja na maandiko ya Mdude basi utakuwa na tatizo kubwa sana.

..Mdude ameandika mpaka Kitabu kuhusu mapito yake ktk harakati za kisiasa. Sasa niambie Watanzania wangapi wamefanya hivyo.

..Mdude sio mkamilifu, anayo mapungufu ya kibinadamu. Lakini ni wachache wanaweza kuhimili mitikisiko ya kisiasa aliyopitia.
 
Kwa hiyo unamfundisha kazi IGP si ndio maana yake?
Simfundishi kazi na hakuna mahali niliposema kuwa namfundisha kazi. Soma uelewe nilichoandika. Kwa ufupi hakuna demokrasia ya kumdhalilisha mwingine kama sehemu ya kutumia uhuru wako. Halipo jambo la namna hiyo popote pale.
 
Wewe ni mjinga . Hatuna Rais kwasasa Bali tuna fisadi na tapeli. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 
Atachukuliwa na vyombo husika maana hayupo juu ya sheria.
Kuna nchi inaongozwa na juha binti kiziwi malkia mikopo , anasema wanyama hawali madini so, tuchimbe tu. Aloo!. Hv ccm wanawatoaga ubongo ndio muwe wanachama au?. Maana ccm hawaelewi chochote n km wamekufa kiakili(zombies)
Hivi ccm ikitoka madarakani nyie machawa mtaendele kuipa fake promo?
 
Mdude Na matatizo makubwa sana kichwani mwake na siyo madogo kama unavyotaka kutuaminisha hapa.yule jamaa haja adabu kabisa. Ni mtu ambaye ameshaathirka kabisa na anahitaji msaikolojia kumsaidia kurejea katika hali ya ubinadamu. Kwani wewe kwa akili yako unaona Mdude ni mzima kichwani mwake?
 
Huna lolote unalolielewa kichwani mwako zaidi ya kuropoka ropoka tu hapa kama mlevi wa gongo.
Ninachokupendea bwana mwashambwa pamoja na ujinga wako kichwani unajua kucheza karata zako safi watu wanakutukana lakini wewe uko makini kuchunga ulimi wako ili upalilie teuzi
Safi sana kijana bado kidogo tu utateuliwa kuwa hata katibu taarifa najua unausaka sana uteuzi ingawa kiukweli kichwani mwako Kuna makamasi tu
 
Mchukulie wewe sasa , Kwa nini unasakizia wengine?
Roho yako chafu ya kishetani usilazimishe na wengine wakawa nayo
 
Mchukulie wewe sasa , Kwa nini unasakizia wengine?
Roho yako chafu ya kishetani usilazimishe na wengine wakawa nayo
Kwani hujuwi wenye mamlaka ya kufanya hivyo? Kwanini unaonyesha umbumbumbu wako kiasi hiki.
 
Sipo hapa jukwaani kwa ajili ya kutafuta uteuzi ndugu yangu. Nipo kwaajili ya kuzungumza ukweli tu.
 
Hata Mimi nashangaa, nadhani ni project Fulani.

Hivi hata Rais mwenyewe anakubalina na hayo ya mdude? Wanahangaika na Mange wakati Mdude Yuko hapa.hapa Bongo.

Kwa nini wasimfiche mazima akapumzike ndani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…