Kwanini JF?

Kwanini JF?

ha ha ha....

Mentor that is a compliment i bliv... Thankyou..
I hope you heart is now beating calm calm calm...
Moyo umetulia...zaidi ya mtungi maji,
Nafsi yafurahia...cha zaidi sihitaji;
Kamwe usijerudia...muhimbili ntalazwa,
Taarifa japo toa...kazi nisijefukuzwa!!!
 
Moyo umetulia...zaidi ya mtungi maji,
Nafsi yafurahia...cha zaidi sihitaji;
Kamwe usijerudia...muhimbili ntalazwa,
Taarifa japo toa...kazi nisijefukuzwa!!!


Mentor next time will do the above...
alafu hayo maneno mazuri kweli... nataka
nikujulishe mapemaaa mimi ni full dada wa Mjini....lol
 
Mentor next time will do the above...
alafu hayo maneno mazuri kweli... nataka
nikujulishe mapemaaa mimi ni full dada wa Mjini....lol
ila waonyesha una tofauti!!!
Please tell me ts true...:violin:
 
ila waonyesha una tofauti!!!
Please tell me ts true...:violin:


I am so sorry kua am not.... Dah! pole kuku dissapoint...
usijali lakini... kwani urafiki plutonic rafiki hafai??? lol
 
Me chanzo cha kutaka kujua kuhusu Jf ni mh. Kibonde kuna siku kwenye kipindi chake cha jahaz alikuwa anailalamikia na kuiponda kwa kumsema vibaya wakati huo alikuwa na Gadner so ndo nikaamua kuifatilia kuna nini hasa ndani yake na hatimaye nikajiunga.Thanks Kibonde kwa kunionyesha njia
 
Me chanzo cha kutaka kujua kuhusu Jf ni mh. Kibonde kuna siku kwenye kipindi chake cha jahaz alikuwa anailalamikia na kuiponda kwa kumsema vibaya wakati huo alikuwa na Gadner so ndo nikaamua kuifatilia kuna nini hasa ndani yake na hatimaye nikajiunga.Thanks Kibonde kwa kunionyesha njia


I Can not stand the vulgarity za Kibonde but nisipomshukuru hapa
it wont be justice for i am happy kua you are a fellow JF member and that
umeweza toa sababu zilizokusukuma kujiunga...

Mkare_wenu Thankyou for sharing...
 
I am so sorry kua am not.... Dah! pole kuku dissapoint...
usijali lakini... kwani urafiki plutonic rafiki hafai??? lol

(def.) platonic- free from physical desire.
Ofcourse, mwanzo mzuri huo!
 
(def.) platonic- free from physical desire.
Ofcourse, mwanzo mzuri huo!


Thanks for the correction...
and of course i second the motion...lol
But ni mwanzo mzuri na ndo mwisho...
 
Ninajitahidi kufikiri kwanini watu wanajiunga JF.

Mimi nilijiunga kwa nia ya dhati ya kutaka kujua zaidi watu wanavyoinyonya nchi yetu hasa kupitia Siasa. Wakati ninajiunga sikujua kama kuna majukwaa mengine kama Chit Chat, IT, Elimu, Jukwaa la wakubwa n.k kwa kuwa haikuwa nia yangu kutafuta vitu hivyo.

Bahati mbaya mtu hazuiliwi kukaa jukwaa moja, na si ajabu ukaona mtu anakurupuka toka jukwaa la wakubwa akiwa uchi na kwenda kuchangia mada nzito zilizopo kwenye majukwaa makini kama siasa. Wengine wakawa wanalalama kwamba wanaume wa JF hawawatokei, wao wanang'ang'ania siasa tu. Wapo wanaolia kwa kulizwa ndani ya JF.

JF inakua sana. Wengine siku zote walikuwa wanapiga chabo tu, hasa pale matukio makubwa yanapotokea ila wakaishia kuingia ndani. Na wapo ambao wao huja kuandika tu na kukimbia ati sisi ndio tusome. Wengine wametumwa (na vyama vyao au sirikali) kuja kuharibu tu au kukusanya taarifa.

Hii ndio JF yetu, Sijui wewe ulikujaje hapa?
 
Mimi nilivutiwa na "breaking news" , wakati niko nje, kufuatilia sakata la kujiuzulu edward lowassa.
Nikawa msomaji weee! Baadae nikajiunga.
 
Mimi nilikuwa naifuatilia hii JF toka 2008 kwa kusoma tu na kama reference yangu kwenye study kipindi hicho, baada ya kupewa taarifa na mshkaji wangu wa pale MNF....
Baadae nikapata kijiwe permanent, hivy ikawa daily kwaanzia asubuhi mpaka jioni, pitia majukwaa yote...
Basi baada ya mda kidogo nikawa nikijaribu ku-access naambiwa siwezi tena kufungua JF mpaka nijisajiri..
Nikaona isiwe taabu nikajiunga fasta tu hapo majuzi
 
mi nilikuwa napenda kupata habar za wasanii na siku nikaamua kujiunga kabisa na nipo na nitaendelea kuwepo
 
nilikuwa nikiskia sikia tu, baadae nikawa napita pita kila asubuhi nikiingia ofisini, wakati napitia magazeti basi nikajikuta nimejiunga kuwa memba. ila tangu 2006 nilikuwa napita kama mgeni tu
 
Kuna mtu kaileta hii thread ya zamaniiiiiiiiii dah kweli watu wana kumbukumbu
 
Mi nilisoma jf nikiwa sijajiunga kwa muda wa zaidi ya miaka mitatu. niliona pana watu wenye akili sana nikavutiwa na topic ya gide na nyumba yake nyekundu na alivyokuwa analalamikia jf. nikavutiwa. nikatoa hata kamchango buku ten kabla sijajiunga baadae ndo nikajiunga rasmi panafurahisha hata sisi wa mwaka 47 tunapunguza msongo wa mawazo idumu jf.
 
Ninajitahidi kufikiri kwanini watu wanajiunga JF.

Mimi nilijiunga kwa nia ya dhati ya kutaka kujua zaidi watu wanavyoinyonya nchi yetu hasa kupitia Siasa. Wakati ninajiunga sikujua kama kuna majukwaa mengine kama Chit Chat, IT, Elimu, Jukwaa la wakubwa n.k kwa kuwa haikuwa nia yangu kutafuta vitu hivyo.

Bahati mbaya mtu hazuiliwi kukaa jukwaa moja, na si ajabu ukaona mtu anakurupuka toka jukwaa la wakubwa akiwa uchi na kwenda kuchangia mada nzito zilizopo kwenye majukwaa makini kama siasa. Wengine wakawa wanalalama kwamba wanaume wa JF hawawatokei, wao wanang'ang'ania siasa tu. Wapo wanaolia kwa kulizwa ndani ya JF.

JF inakua sana. Wengine siku zote walikuwa wanapiga chabo tu, hasa pale matukio makubwa yanapotokea ila wakaishia kuingia ndani. Na wapo ambao wao huja kuandika tu na kukimbia ati sisi ndio tusome. Wengine wametumwa (na vyama vyao au sirikali) kuja kuharibu tu au kukusanya taarifa.

Hii ndio JF yetu, Sijui wewe ulikujaje hapa?



In some way your are responsible kuurudisha huu uzi hapa.... THANK YOU.

BTW nimependa insight yako... Very Interesting.
 
Mimi nilivutiwa na "breaking news" , wakati niko nje, kufuatilia sakata la kujiuzulu edward lowassa.
Nikawa msomaji weee! Baadae nikajiunga.



Le Gagnant in other words tufurahie blunder za Lowassa et al
for hio iilchangia ma breaking news mengi mpaka wewe ukawepo JF...LOL


Thank you for sharing...
 
Mimi nilikuwa naifuatilia hii JF toka 2008 kwa kusoma tu na kama reference yangu kwenye study kipindi hicho, baada ya kupewa taarifa na mshkaji wangu wa pale MNF....
Baadae nikapata kijiwe permanent, hivy ikawa daily kwaanzia asubuhi mpaka jioni, pitia majukwaa yote...
Basi baada ya mda kidogo nikawa nikijaribu ku-access naambiwa siwezi tena kufungua JF mpaka nijisajiri..
Nikaona isiwe taabu nikajiunga fasta tu hapo majuzi



JG ulijitahidi aisee.. a guest kwa mda wooote huo. Ni dhahiri kua wee upo soo patient, browsing bila participation for more than a year... Nimefurahi uko hapa... na more so you are among a list of my friends.. Pamoja Saaana.
 
Back
Top Bottom