Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwl analipwa Million teena huyo umefanya kazi miaka zaidi ya 15+ Serikalini kashakula msoto sana ndio anaanza kuishika Million, nimekujibuKada nyingi tu wanalipwa chini ya milion moja
Kada yenye mshahara mkubwa kuliko walimu ni Afya.Mwl analipwa Million teena huyo umefanya kazi miaka zaidi ya 15+ Serikalini kashakula msoto sana ndio anaanza kuishika Million, nimekujibu
Mshahara wa kwanza wa Mwl mwenye Shahada ni upi na Mshahara wa kwanza wa Mwl mwenye Stashahada ni upi? Tusizungumzie Master's na hapa tunaongelea Walimu yaan Teacher's sio Tutor'sKada yenye mshahara mkubwa kuliko walimu ni Afya.
Kada zingine hazijatofautiana na walimu, tena zingine zimezidiwa.
Sema ualimu hauna marupu rupu, halafu wako wengi ndio maana wanaonekana sana.
Tgts D shahadaMshahara wa kwanza wa Mwl mwenye Shahada ni upi na Mshahara wa kwanza wa Mwl mwenye Stashahada ni upi? Tusizungumzie Master's na hapa tunaongelea Walimu yaan Teacher's sio Tutor's
Hua natamani sana kujua unafundisha nn Madam??Umeuliza sekta zingine au umesikia umekuja tu mbio.....utajikwaa mkuu
Ungeuliza kwanini walimu hawana marupurupu kama sekta zingine... ndiyo tofauti yetu
Kwa Mwezi unalipwa Million ngapi Mwl Atuyeye?Umeuliza sekta zingine au umesikia umekuja tu mbio.....utajikwaa mkuu
Ungeuliza kwanini walimu hawana marupurupu kama sekta zingine... ndiyo tofauti yetu
Sayansi Kilimo pitiapitia uziuzi zake ila anapenda sana kugegedanaHua natamani sana kujua unafundisha nn Madam??
Huyu madam sekta ya "achimnenengule kibinda nkoi" hua hajivungi. Kumbe ticha wa science?Sayansi Kilimo pitiapitia uziuzi zake ila anapenda sana kugegedana
Yaan anajua sana kuulilia muhogo ndio Sayansi KilimoHuyu madam sekta ya "achimnenengule kibinda nkoi" hua hajivungi. Kumbe ticha wa science?
Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye maada hivi ni Kwa nini kada ya ualimu inapewa salary kiduchu kulinganisha na kada nyingine au kazi yao Haina direct impact kwenye jamiii? Naomba kuwasilisha
Stadi za Kazi...kupikapika tuchips ndo mambo yangu🥴Hua natamani sana kujua unafundisha nn Madam??
Madam we unaonekana mkali mno hao watoto huko wanajuta kwenda shule 😂Umeuliza sekta zingine au umesikia umekuja tu mbio.....utajikwaa mkuu
Ungeuliza kwanini walimu hawana marupurupu kama sekta zingine... ndiyo tofauti yetu
🤣🤣🤣🤣🤣Nimeacha ukali kwa watoto umebaki kwa wakubwa...napona taratibuMadam we unaonekana mkali mno hao watoto huko wanajuta kwenda shule 😂