Kwanini kada ya ualimu inapewa mshahara kidogo?

Kwanini kada ya ualimu inapewa mshahara kidogo?

Afya degree except daktari na pharmacy wanakula 1,040,000, daktari ni 1.5m pharmacy around 1.25m

Diploma afya zote wanalamba laki saba kama skosei.

Yani mwenye diploma ya afya analingana na mwenye degree ya ualimu
Sema nao madaktari baada ya makato wanarudi nyumbani na 800k+
 
Waalimu ndio kada inayopendelewa kuliko wengine ila hamjui tu. Mishahara yenu wala sio midogo ni sawa na watumishi wengine tu hakuna tofauti. Nyinyi mna ziada ya yafuatayo
1. Kazi zenu zinaisha saa nane na nusu na wengine wanakula kona kabla hata ya muda huo,
2. Mna likizo kama nne hivi kwa mwaka pale shule zinapofungwa mnakuwa na muda wa kutosha kufanya mambo yenu
3. Sawa hamna posho nyingi lakini kuna kusimamia mitihani, kusahihisha mitihani, kusimamia uchaguzi za serikali, mambo ya sensa na hizi zote mnalipwa

Tatizo lenu waalimu mnakopa sana, unakuta mtu yuko vikoba 3 vyote kakopa, kakopa bank, au hizi microfinance yaani ni shida. ukiwa unakopa lazima utaona mshahara mdogo sababu ya makato
Ukweli mchungu sana huu
 
Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye maada hivi ni Kwa nini kada ya ualimu inapewa salary kiduchu kulinganisha na kada nyingine au kazi yao Haina direct impact kwenye jamiii? Naomba kuwasilisha
Wakiwa na maisha mazuri hasira za kuchapa watoto ovyo watazitoa wapi?
 
Kada zilizo chini ya tamisemi nying mshahara ni sawa Kwa ngazi zote kuanzia certificate had diploma had degree Kuna wengine ni za chini Zaid labda afya ndio kidogo Wana unafuu
Shangazi naomba hela, najua mshahara umeshatoka.
Seriously.
 
Hao wote wakiwa chini ya Serikali za mitaa wanaanzia TGSS E. Daraja moja mbele ya Walimu, mazingira, Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii, Ushirika n.k
Nilishajibu mwanzo hapo mwalimu shahada ni tgts D na kama kada zingine ukiondoa nilizotaja n.k ...naona umerudi na Jibu lilelile Sasa sijui ilikuwa haujaelewa au umejazia hoja nyama.
 
Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye maada hivi ni Kwa nini kada ya ualimu inapewa salary kiduchu kulinganisha na kada nyingine au kazi yao Haina direct impact kwenye jamiii? Naomba kuwasilisha
Mwalimu hazalishi chochote aliwai kunukuliwa kada mmoja mashuhuri wa CCM Taifa.
 
Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye maada hivi ni Kwa nini kada ya ualimu inapewa salary kiduchu kulinganisha na kada nyingine au kazi yao Haina direct impact kwenye jamiii? Naomba kuwasilisha
🏃‍♀️
 
Back
Top Bottom