Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kwasababu gani?Ni kazi yenye laana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasababu gani?Ni kazi yenye laana.
🙏 Marupurupu jameniIvi mnajua kwamba taller wa bank analipwa hela ndogo kuliko mwalim wa degree?? Tena yule mwalim anayeanza
Kabisa bro ni mtu ajiongeze tu ukitegemea mishahara tu utakufa maskiniUkizaliwa mwanaume jua tu ni lazima ule kwa jasho hivo yote kwa yote tupambane sana
Tafiti vizuri.Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye maada hivi ni Kwa nini kada ya ualimu inapewa salary kiduchu kulinganisha na kada nyingine au kazi yao Haina direct impact kwenye jamiii? Naomba kuwasilisha
Walimu amna akili na ni wapumbavu sana ...labda useme kwanini wapumbavu kwenye kada zingine wanalipwa mshahara mkubwa tofauti na walimuNaomba niende Moja Kwa Moja kwenye maada hivi ni Kwa nini kada ya ualimu inapewa salary kiduchu kulinganisha na kada nyingine au kazi yao Haina direct impact kwenye jamiii? Naomba kuwasilisha
Mshahara wa mwl Degree anaonza nao TSH 716000/=, diploma TSH 532000, Certificate TSH 442000/= sijajua kwa afya ila nasikia ni kubwa kdogo kulinganisha ni walimuMleta mada umekariri,twambie huo mshahara mdogo wa kada ya ualimu umelinganisha na kada zipi? Tutajie ndoo tuanzie hapo.Tanzania hakuna kada moja afya ambayo naona wengi ndoo linganisho lao.Tuna kada nyingi sana je unajua mishahara yao?
Wee em sema kweli.Ivi mnajua kwamba taller wa bank analipwa hela ndogo kuliko mwalim wa degree?? Tena yule mwalim anayeanza
Tatizo Makato, na hawana marupu rupu wala posho. LolMshahara wa mwl Degree anaonza nao TSH 716000/=, diploma TSH 532000, Certificate TSH 442000/= sijajua kwa afya ila nasikia ni kubwa kdogo kulinganisha ni walimu
Afya degree except daktari na pharmacy wanakula 1,040,000, daktari ni 1.5m pharmacy around 1.25mMshahara wa mwl Degree anaonza nao TSH 716000/=, diploma TSH 532000, Certificate TSH 442000/= sijajua kwa afya ila nasikia ni kubwa kdogo kulinganisha ni walimu
Huyo teller ana fursa ya kukopa benki na akarudisha bila riba ..mwalimu vipi akope chaki!?? Unajua fursa wanazozipata hao watu wa benki!??Ivi mnajua kwamba taller wa bank analipwa hela ndogo kuliko mwalim wa degree?? Tena yule mwalim anayeanza
Afya, Eng/ujenzi/miundombinu/maji....Kada zilizo chini ya tamisemi nying mshahara ni sawa Kwa ngazi zote kuanzia certificate had diploma had degree Kuna wengine ni za chini Zaid labda afya ndio kidogo Wana unafuu
Wapo wengi mno ndo maana, lakini ni kada nyingi zinalingana salary scale na walimu labda sekta ya afya ndo wapo juu kidogoNaomba niende Moja Kwa Moja kwenye maada hivi ni Kwa nini kada ya ualimu inapewa salary kiduchu kulinganisha na kada nyingine au kazi yao Haina direct impact kwenye jamiii? Naomba kuwasilisha
Hizo ni take home degree basic ni laki 8 km sikoseiMshahara wa mwl Degree anaonza nao TSH 716000/=, diploma TSH 532000, Certificate TSH 442000/= sijajua kwa afya ila nasikia ni kubwa kdogo kulinganisha ni walimu
Kwa Hao ni sawa lkn 1 na point milion sio mshahara Mkubwa japo haufanani na Mwl taasis ndio watu wanakula maisha kuanzia mishahara had poshoAfya, Eng/ujenzi/miundombinu/maji....
Hua natamani sana kujua unafundisha nn Madam??