Kwanini kada ya ualimu inapewa mshahara kidogo?

Afya degree except daktari na pharmacy wanakula 1,040,000, daktari ni 1.5m pharmacy around 1.25m

Diploma afya zote wanalamba laki saba kama skosei.

Yani mwenye diploma ya afya analingana na mwenye degree ya ualimu
Sema nao madaktari baada ya makato wanarudi nyumbani na 800k+
 
Ukweli mchungu sana huu
 
Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye maada hivi ni Kwa nini kada ya ualimu inapewa salary kiduchu kulinganisha na kada nyingine au kazi yao Haina direct impact kwenye jamiii? Naomba kuwasilisha
Wakiwa na maisha mazuri hasira za kuchapa watoto ovyo watazitoa wapi?
 
Kada zilizo chini ya tamisemi nying mshahara ni sawa Kwa ngazi zote kuanzia certificate had diploma had degree Kuna wengine ni za chini Zaid labda afya ndio kidogo Wana unafuu
Shangazi naomba hela, najua mshahara umeshatoka.
Seriously.
 
Hao wote wakiwa chini ya Serikali za mitaa wanaanzia TGSS E. Daraja moja mbele ya Walimu, mazingira, Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii, Ushirika n.k
Nilishajibu mwanzo hapo mwalimu shahada ni tgts D na kama kada zingine ukiondoa nilizotaja n.k ...naona umerudi na Jibu lilelile Sasa sijui ilikuwa haujaelewa au umejazia hoja nyama.
 
Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye maada hivi ni Kwa nini kada ya ualimu inapewa salary kiduchu kulinganisha na kada nyingine au kazi yao Haina direct impact kwenye jamiii? Naomba kuwasilisha
Mwalimu hazalishi chochote aliwai kunukuliwa kada mmoja mashuhuri wa CCM Taifa.
 
Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye maada hivi ni Kwa nini kada ya ualimu inapewa salary kiduchu kulinganisha na kada nyingine au kazi yao Haina direct impact kwenye jamiii? Naomba kuwasilisha
πŸƒβ€β™€οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…