nyingi sana, tena asiwaringanishe na waalimu, wana mshahara wa kawaida hata mwalimu anawazidi, but wana fursa zinazowabeba sana, kama kuachiwa vitip tip kibao na customers, mdogo angu ni teller, anakwambia per day sometimes anaweza kuondoka hata na 500k tips tu, sasa jiulize anakusanya sh napi mwezi mzima? sababu pia ye ni teller wa kudeal na watu wazitoHuyo teller ana fursa ya kukopa benki na akarudisha bila riba ..mwalimu vipi akope chaki!?? Unajua fursa wanazozipata hao watu wa benki!??
You are right..Tatizo Makato, na hawana marupu rupu wala posho. Lol
Hyo ndo basic weweHizo ni take home degree basic ni laki 8 km sikosei
Kama uk daraja G ni sawaMimi ni mwalimu nakunja 1.2,take home
Mwl mwenye Bachelor anazidiwa na Nurse mwenye Diploma, pia anazidiwa na mtu wa TANESCO mwenye Certificate, pia anazidiwa na mtu wa TANAPA mwenye Diploma,Mleta mada umekariri,twambie huo mshahara mdogo wa kada ya ualimu umelinganisha na kada zipi? Tutajie ndoo tuanzie hapo.Tanzania hakuna kada moja afya ambayo naona wengi ndoo linganisho lao.Tuna kada nyingi sana je unajua mishahara yao?
Yeah inawezekana..wawili 4ml kwa mwaka , wewe kwa mwaka sh ngapi karibia 14ml, ukitoa 4ml inabaki 10ml wastani wa laki 9 kwa mwezi..mishahara ya wengi..Halafu una watoto wawili wanasoma EM. Each 2m.
Pumbavu mamako huyo kahaba mbobevuWalimu amna akili na ni wapumbavu sana ...labda useme kwanini wapumbavu kwenye kada zingine wanalipwa mshahara mkubwa tofauti na walimu
Kuimba " jua lile literemke mama" na watoto wa shule ni sawa na kuandika code za php, css, java script, sql, python na html ili wewe ukija hapa jf uweze kucomment na xamp au wamp server ikaweka kumbukumbu, kipi kigumu?....Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye maada hivi ni Kwa nini kada ya ualimu inapewa salary kiduchu kulinganisha na kada nyingine au kazi yao Haina direct impact kwenye jamiii? Naomba kuwasilisha
Si kweli wa bacher ndan ya miak 4 ANAANZ KUL 1.2mMwl analipwa Million teena huyo umefanya kazi miaka zaidi ya 15+ Serikalini kashakula msoto sana ndio anaanza kuishika Million, nimekujibu
Kwa kulitambua hili Makonda akiwa Dar es Salaam aliamuru walimu wasilipe nauliNaomba kuwasilisha
Haya ndiyo maalimu mapumbavu yanayo waambia wanafunzi kwa nini mmepeta 100% kwenye mtihani wangu kwani tulitunga wote ππππwalimu wapumbavu wanaotumika kama toilet paper za ccm kipindi cha uchaguziPumbavu mamako huyo kahaba mbobevu
SawaHyo ndo basic wewe
Nimeandika hapo degree Tena mtu asije bisha πππ sababu ni Hali yangu ya maisha Sasa kama ana bisha aje na vielelezo vyoteeeMwalimu wa grade A, diploma, degree, tutorial assnt, lecturer n.k
Mwalimu wa ngazi gani unae mzungumzia wewe?
Huyo mdogo wako naye ni muongo muongo tu yupo bank gan kwanza na hizo tips anazipokeaje??nyingi sana, tena asiwaringanishe na waalimu, wana mshahara wa kawaida hata mwalimu anawazidi, but wana fursa zinazowabeba sana, kama kuachiwa vitip tip kibao na customers, mdogo angu ni teller, anakwambia per day sometimes anaweza kuondoka hata na 500k tips tu, sasa jiulize anakusanya sh napi mwezi mzima? sababu pia ye ni teller wa kudeal na watu wazito
Kwaio bank teller hachukui hata @ 700k ?!Nimeandika hapo degree Tena mtu asije bisha πππ sababu ni Hali yangu ya maisha Sasa kama ana bisha aje na vielelezo vyoteee
ThubutuuuuuKwaio bank teller hachukui hata @ 700k ?!