zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Duh kumbe anagombea!! Basi anaua chama rasmiMbowe ikiwa atagombea kama nilivyodokezwa kuwa itaita press yake soon, itakuwa ni aibu kubwa sana Kwa kushinda kutambuw alama za nyakati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh kumbe anagombea!! Basi anaua chama rasmiMbowe ikiwa atagombea kama nilivyodokezwa kuwa itaita press yake soon, itakuwa ni aibu kubwa sana Kwa kushinda kutambuw alama za nyakati.
Wewe nani kakudokezaMbowe ikiwa atagombea kama nilivyodokezwa kuwa itaita press yake soon, itakuwa ni aibu kubwa sana Kwa kushinda kutambuw alama za nyakati.
Ingefaa apumzike wakati Bado anaheshima kubwa.
Vinginevyo cdm itapoteza heshima na itapasuka hakuna namba.
Mwisho...Ufike wakati tuukubali uiweli
Ndio maana unaonekana mjinga kama huyo msigwa aliyeshindwa na sugu.Kwa sababu Lissu remote control by Msigwa
Hayo mabwabwa pamoja na kutumia tiss yameshinda kujua ukumbi nani kagharamia yamebaki kupiga ramli huku huyo msigwa amepauka Hadi nyumba yake inataka kupigwa mnada Kwa kushindwa kulipa madeni Leo amlipie lissu kama sio akili za kishoga ni Nini.Eti Lissu kalipiwa ukumbi na Msigwa,
Kwani ukumbi bei gani. Msigwa mwenyewe njaa kali kakimbilia CCM kujiokoa
Soma Uzi wa NyerereDuh kumbe anagombea!! Basi anaua chama rasmi
Mbowe amesimama hadharani na kutangaza kuwa kila mwanachama ana haki ya kugombea uenyekiti. Hajasema kuwa atagombea au la. Lakini watu kwa uoga au kwa nia ya kuleta mpasuko katika chama chake wanakazania kumpambanisha na Lissu. Kumkataa Lissu sio dhambi kama wengi mnavyotaka tuamini.Sawa agombee ila na nyie wafuasi wake msipite na huo upepo wa kwa vile amekiongoza chama kwa muda.mrefu hawezi tena kupata mpinzani ndani ya chama kama mnavyofanya, wengine mmeenda mbali kumfansnisha mbowe na Nyerere ili tu kumpa green tick Jesus! Ndio maana na sisi tunakuja na fear of unknown....wagombee wote ila msitu influence ujinga ujinga
CHADEMA isimame kama CHADEMA ikitambua ya kwamba umati mkubwa wa watanzania unawasapoti tena kwa asilimia 90 ya watanzania wote waliochoshwa na upumbavu wa CCM usio na uwezo wa kujirekebisha.Nia ya CHADEMA haipaswi kuyumbishwa na ulafi na tamaa za viongozi wachache wa CHADEMA wanaokutana na maadui wa CHADEMA na kufanya nao vikao vya siri tena visivyopenda maendeleo ya CHADEMA na ukombozi wa TAIFA HILI la Tanzania dhidi ya uhuni na udhalimu wa CCM na viongozi wake uliotamalaki na uliojaa kiburi cha kijinga kilichojaa wizi wa kura na kupoka mamlaka halo ya wananchi.Kamwe CHADEMA isiruhusu mtego huo wa kipumbavu.Habari wanajamii.
Tangu Lissu atangaze Nia ya kugombea uenyekiti kumetokea kelele za kila aina. Mara ni kirusi ndani ya CHADEMA, mara anafadhiliwa na Msigwa, mara anampango wa kuhamia CCM nk. Kila mtu anasema la kwake.
Nikawaza, Kwanini kelele zimekuwa nyingi kwa Lissu baada ya tangazo lake la kugombea uenyekiti tofauti na Wenje alipotangaza kugombea umakamu mwenyekiti wa CHADEMA.
Kumbuka ya kwamba Wenje alitangaza kuitaka nafasi aliokuwa nayo Lissu. Lakini hakuna aliyemshukia Wenje kwamba ni msaliti au kirusi ndani ya CHADEMA Kwa kutaka nafasi ya anayoshilia Lissu.
Hii sintofahamu inaonesha labda watu walidharau tangazo la Wenje au walimwona ni dhaifu kupambana na Lissu kwenye umakamu Mwenyekiti. Hivyo wakampuuzia. Ila kwa Lissu wamepiga mayowe labda kwa sababu Lissu ana ushawishi ndani ya CHADEMA na anaweza kushinda nafasi hivyo au Lissu anawanachama wengi wanaomuunga mkono kiasi kwamba akifanyiwa figisu anaweza kuhama na kundi kubwa Kama kipindi kile Cha akina Zitto Kabwe na wenzake akina Prof Mkumbo.
Muda utasema na kutoa majibu.
Na wale waliotoka CUF?Walioko ACT Wazalendo karibia wote walikuwa CHADEMA. Hukuwepo 2014?.
Hapana hiyo ni visingizio tu, Msimtafutie Lisu huruma kirahisi hivyo, mwacheni atengeneze base yake naye aende kwenye uchaguzi akiwa na 30% ya ushindi. Mki mlea hivyo, awe anashinda kirahisi rahisi tu kama TLS, na leo Chadema, hawezi kuwa kiongozi mzuri kwa kutegemea kupewa tu kila siku.Kuna kitu unakisahau. Mimi napinga Mbowe kugombea kwasababu alishatangaza kwamba angestaafu mwaka 2023, hivyo kumfanya makamu wake kuingia ulingoni kugombea nafasi hiyo. Hivyo tunapinga yeye kugombea Tena maana alishatangaza kustaafu.