Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwahiyo kila mwenye taaluma akivurunda wakiwemo madaktari hiyo tezi dume ungetibiwa wapi ?Kwa sababu Habari ndio taaluma yake
Umetumia kipimo gani kuona amevurunda?Kwahiyo kila mwenye taaluma akivurunda wakiwemo madaktari hiyo tezi dume ungetibiwa wapi ?
Kwani hujui athari ya Shule za kubebwaSheria karibu zote kandamizi za Habari na Wanahabari zilizopitishwa awamu ya 5, zilipitishwa Nape akiwa Waziri wa Habari.
Na sasa Nape huyu huyu ameingiza Tanzania kwenye orodha ya Nchi za Ajabu na zenye kutia aibu kwenye VPN, sasa swali letu ni hili, kwanini haya yanatokea pale yeye anapokuwa Waziri , au na hili nalo atasema limetoka Ikulu kama alivyosingizia Awamu ya 5?
Mchana MwemaUmetumia kipimo gani kuona amevurunda?
Amina!Mchana Mwema
Mkuu na wewe unatuchosha,kwani matokeo yake ya shule hukuyaona? Sasa mtu ambaye hana akili anakusumbuaje kuumiza kichwa? Anajuana na wanao mteua dhamira yao!!Sheria karibu zote kandamizi za Habari na Wanahabari zilizopitishwa Awamu ya 5, zilipitishwa Nape akiwa Waziri wa Habari.
Na sasa Nape huyu huyu ameingiza Tanzania kwenye orodha ya Nchi za Ajabu na zenye kutia aibu kwenye VPN, sasa swali letu ni hili, kwanini haya yanatokea pale yeye anapokuwa Waziri? Au na hili nalo atasema limetoka Ikulu kama alivyosingizia Awamu ya 5?
Ohooooooo !!!Mkuu na wewe unatuchosha,kwani matokeo yake ya shule hukuyaona? Sasa mtu ambaye hana akili anakusumbuaje kuumiza kichwa? Anajuana na wanao mteua dhamira yao!!
Umekula kona bwasheeMchana Mwema
Alipata dv 4 ya point ngapi?Mkuu na wewe unatuchosha,kwani matokeo yake ya shule hukuyaona? Sasa mtu ambaye hana akili anakusumbuaje kuumiza kichwa? Anajuana na wanao mteua dhamira yao!!
Sasa nabishanaje na chawa wa Nape ?Umekula kona bwashee
Kwa ufaulu wake ule wa O level, na elimu ya unga unga mwana unategemea nini mkuu? Nape ni janga kama majanga mengine! Mungu ampe ufunuo Mteuzi wake!kwanini haya yanatokea pale yeye anapokuwa Waziri?
Mbona husemi zilifutwa yeye akiwa waziri pia?Sheria karibu zote kandamizi za Habari na Wanahabari zilizopitishwa Awamu ya 5, zilipitishwa Nape akiwa Waziri wa Habari.
Na sasa Nape huyu huyu ameingiza Tanzania kwenye orodha ya Nchi za Ajabu na zenye kutia aibu kwenye VPN, sasa swali letu ni hili, kwanini haya yanatokea pale yeye anapokuwa Waziri? Au na hili nalo atasema limetoka Ikulu kama alivyosingizia Awamu ya 5?
Alifuta analeta kandamizi zaidi.....anazunguka Mbuyu!!Mbona husemi zilifutwa yeye akiwa waziri pia?
Sikuelewi Kiswahili chako.Alifuta analeta kandamizi zaidi.....anazunguka Mbuyu!!
Kwahiyo alifuta ili alete hili la VPN ?Mbona husemi zilifutwa yeye akiwa waziri pia?
Na bado !Sikuelewi Kiswahili chako.
La VPN halina tatizo. Kuna tatizo lipi?Kwahiyo alifuta ili alete hili la VPN ?