FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Bado nini?Na bado !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado nini?Na bado !
Tatizo shule!Sheria karibu zote kandamizi za Habari na Wanahabari zilizopitishwa Awamu ya 5, zilipitishwa Nape akiwa Waziri wa Habari.
Na sasa Nape huyu huyu ameingiza Tanzania kwenye orodha ya Nchi za Ajabu na zenye kutia aibu kwenye VPN, sasa swali letu ni hili, kwanini haya yanatokea pale yeye anapokuwa Waziri? Au na hili nalo atasema limetoka Ikulu kama alivyosingizia Awamu ya 5?
Utaanza kunena kwa Lugha kama wale waumini wa GwajimaBado nini?
Nape jamaa hakubaliki Hadi jimboni kwake Yani watu hawamuelewi, Kuna siku nilikuwa nyangao Lindi nikamfuma anazindua sijui nini pale Yani ni sokoni lakini watu waliokuwa hawana habari nae wako busy kuuza upupu JAMAA HAKUNA KITU PALESheria karibu zote kandamizi za Habari na Wanahabari zilizopitishwa Awamu ya 5, zilipitishwa Nape akiwa Waziri wa Habari.
Na sasa Nape huyu huyu ameingiza Tanzania kwenye orodha ya Nchi za Ajabu na zenye kutia aibu kwenye VPN, sasa swali letu ni hili, kwanini haya yanatokea pale yeye anapokuwa Waziri? Au na hili nalo atasema limetoka Ikulu kama alivyosingizia Awamu ya 5?
Nape huwa namfikiria kwa mengi sanaKwa sababu Habari ndio taaluma yake
Unamaanisha misukule ya gwajima?Utaanza kunena kwa Lugha kama wale waumini wa Gwajima