Kwanini kila Nape Nnauye anapokuwa Waziri wa Habari ni lazima utokee mkanganyiko?

Tatizo shule!
 
Mchongo wa uchaguzi ,mana anaujua mziki wa MJOMBA wake LISU

Wanasaka pakufinyia maandamana na mengineyo baada ya uchaguzi
 
Nape jamaa hakubaliki Hadi jimboni kwake Yani watu hawamuelewi, Kuna siku nilikuwa nyangao Lindi nikamfuma anazindua sijui nini pale Yani ni sokoni lakini watu waliokuwa hawana habari nae wako busy kuuza upupu JAMAA HAKUNA KITU PALE
 
Kuna jamaa anajiita kigogo anapita NAE ile mbaya itakuwa wanataka wamzimie mtambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…